Jamani tumbo langu naona linaanza kua kubwa. Nadhani hukuninakoelekea nitakua naambiwa nina "Kitambi". I hate this.
Naombeni munishauri nifanye nini. Mimi wala sio mnene ni mwembamba tu wastani.
HINT: Sifanyagi mazoezi
Kama suala ni kufanya mazoezi naombeni wataalam munielekeze ni mazoezi gani nifanye.
Thanxini.

Reply With Quote



"Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."
Follow Us Here