Habari zenu wanaJF.
Jamani naombeni msaada, kwa hapo Dar es salaam, ni sehemu gani wanatoa huduma ya Physiotherapy?
Natanguliza shukurani wandugu.
Habari zenu wanaJF.
Jamani naombeni msaada, kwa hapo Dar es salaam, ni sehemu gani wanatoa huduma ya Physiotherapy?
Natanguliza shukurani wandugu.
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Guys, inamaanisha hakuna hata mmoja anayejua wapi naweza pata hii huduma?
Msaada tafadhalini.
Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....
Inapatikana muhimbili na pia MOI, ukifika uliza idara ya mazoezi
Hospitali zifuatazo zina physiotherapists:
Agha khan, Hindu Mandal, Regency, Lugalo, TMJ na Mount Mkombozi iliyoko kinondoni Morroco. Pia kuna za Private nzuri sana- moja iko Moroco karibu na Furaha Clinic. Kama una pesa taslimu nenda ya Morocco.
Follow Us Here