Yapata miezi miwili ninajikuna mno mwili mzima silali usiku nimejaribu dawa nyingi bila mafanikio. Sijui ni allegy gani nimekumbwa. Please help me.
Yapata miezi miwili ninajikuna mno mwili mzima silali usiku nimejaribu dawa nyingi bila mafanikio. Sijui ni allegy gani nimekumbwa. Please help me.
Kapime minyoo, hii ni kwa sababu mara nyingi ugonjwa wa kujikuna unatokana na minyoo please kamwone daktari
There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".
Pole sana! Kuwasha kunaweza kuwa kwa sababu zifuatazn! Infection kama scabieis,psoriasis, allergic reactions,eczema,liver problems,generalized dry skin,exposure to chemicals na nyingine nyingi! How can i easily contact you so that i can know whats the problem with you!
mkuu kuna mafuta yalipikwa kwenye Mboga na kijana wangu baada ya kutumia akaanza kuwasha na akijikuna vipele vinatokea.Msaada please
alergy?
Follow Us Here