Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi ni dawa kweli?

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Bi nyakomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 657
      Likes Received
      80
      Likes Given
      0

      Default Hivi ni dawa kweli?

      hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau? Na mwanamke asipofanya mapenzi mda mrefu huweza hata kupata chunusi na uso kuwa rafu, iz t 2ru
      Rutashubanyuma likes this.


    2. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,891
      Rep Power : 19451
      Likes Received
      8661
      Likes Given
      28315

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      FAIDA YA SEX KWA AFYA YA MWILI KWA WATU WALIO OWANA KIHALALI



      FAIDA SEX KWA AFYA YA MWILI
      Huimarisha immune system kwenye mwili.
      Wanandoa ambao hushiriki angalau mara mbili kwa wiki walionesha kiwango kikubwa cha antibody zinazosaidia kupigana na magonjwa.

      Huongeza umri wa kuishi.
      Wanaume ambao walikuwa wanafika kileleni (orgasm) zaidi ya miaka 10 wali- boost uwezo wa kuishi miaka zaidi kuliko wale ambao walikuwa na hawafiki kileleni.

      Hupunguza uwezokano wa kupata prostate cancer.
      Wanaume ambao wali ejaculate zaidi ya miaka 35 walikuwa na asilimia 33 pungufu kupata prostate cancer.


      Hupunguza cholesterol (mafuta)
      Kutokana na zoezi la kufanya mapenzi (sex) ni zoezi tosha kuweza kupunguza cholesterol na kuondokana na kupata magonjwa ya moyo.

      Huimarisha mzunguko wa damu mwilini
      Tunapofanya mapenzi mapigo ya moyo huongezeka na mzunguko wa damu huwa na speed zaidi na damu huongezekana maradufu kwenye ubongo na sehemu zingine za mwili na matokeo ni mzunguko wa damu kuwa mzuri mwili mzima.

      Huongeza uwezo wa kukua (growth)
      Watafiti wengi wanakiri kwamba sex huongeza uwezekano wa mifupa kukua na kuimarisha repair ya tishu kwenye mwili.

      Huimarisha uwezo wa kunusa
      Baada ya sex, kuzalishwa kwa homoni ya prolactin huongezeka na huwezesha stem cells zilizopo kwenye ubongo kuzalisha neurons ambazo husaidia kunusa vizuri.

      Hupunguza maumivu (pain relief)
      Unapokaribia kufika kileleni kiwango cha homoni za oxytocin huongezeka mara tano zaidi kuliko kiwango cha kawaida, matokeo ni kutolewa kwa endorphins ambayo hupunguza maumivu ya kila kitu kuanzia kichwa, arthritis nk.

      Huimarisha kibofu cha mkojo
      Wakati wa sex unatumia muscles zile zile unatumia kukojoa (urine), kutumia mara kwa mara kwa hii misuli huwezesha kuwa na uwezo wa kuthibiti kibofu cha mkojo.

      Huimarisha uke
      Wanawake ambao huamua kutoshiriki sex wanakuwa na uwezekano wa kujisikia maumivu wakati wa sex (******l atrophy) kwa kushiriki mara kwa mara uke huwa mwepesi kutoa lubricant na hakuna maumivu.
      Hapa kuna kanuni “use it or lose it!

      Husaidia healing ya vidonda
      Baadhi ya evidence zinapendekeza kwamba sex huweza kusaidia vidonda kupona haraka, ushahidi ni kwamba homoni za oxytocin husaidia vidonda kupona kwa regeneration ya seli mwilini na oxytocin huzalisha pale ukishiriki sex.

      Hupunguza uwezekano wa kupata cancer ya matiti.
      Wanawake ambao hawajawahi kuzaa walionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata cancer ya matiti, hii ina maana kwamba kujihusisha na sex hupunguza kupata cancer ya matiti.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    3. #3
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Kwahiyo mkiwa hamjaoana kihalali sex inakuwa haina faida unazosema?? MziziMkavu
      MziziMkavu likes this.

    4. #4
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,891
      Rep Power : 19451
      Likes Received
      8661
      Likes Given
      28315

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      Quote By Bigirita View Post
      Kwahiyo mkiwa hamjaoana kihalali sex inakuwa haina faida unazosema?? MziziMkavu
      inakuwa haina Faida inakuwa ni tendo la zinaa hata Mungu hapendi hiyo Zinaa Bigirita

      Mathayo, Chapter 5


      5:27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

      5:28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

      5:29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.


      Last edited by MziziMkavu; 18th July 2012 at 07:07.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    5. #5
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By MziziMkavu View Post
      inakuwa haina Faida inakuwa ni tendo la zinaa hata Mungu halipendi hiyo Zinaa Bigirita
      Tendo la zinaa maana yake ni nini? Hiyo ni lugha tu!
      Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kitaalam.

      Prostate cancer, kuongeza mzunguko wa damu, kupunguza cholesteral n.k ....... Hapa hakuna cha mungu wala zinaa.... !


    6. #6
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,891
      Rep Power : 19451
      Likes Received
      8661
      Likes Given
      28315

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      Quote By Bigirita View Post
      Tendo la zinaa maana yake ni nini? Hiyo ni lugha tu!
      Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kitaalam.

      Prostate cancer, kuongeza mzunguko wa damu, kupunguza cholesteral n.k ....... Hapa hakuna cha mungu wala zinaa.... !
      Bigirita
      Mathayo, Chapter 5


      5:27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

      5:28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

      5:29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.

      Rutashubanyuma likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    7. #7
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau? Na mwanamke asipofanya mapenzi mda mrefu huweza hata kupata chunusi na uso kuwa rafu, iz t 2ru
      Bi nyakomba uzoefu wako unasemaje kabla hata sijaanza kuchangia..............lol
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    8. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      Hupunguza uwezekano wa kupata cancer ya matiti.
      Wanawake ambao hawajawahi kuzaa walionekana kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata cancer ya matiti, hii ina maana kwamba kujihusisha na sex hupunguza kupata cancer ya matiti.
      MziziMkavu hoja zote zinaleta mwelekeo wa kukubalika kasoro hii ya mwisho kwa sababu kuzaa na kujaamiana hakuna uhusiano wa moja kwa moja...............wako wengi ambao hawazai lakini hazilali......na wako ambao wamezaa lakini zinalala......................
      MziziMkavu likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #9
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      Mathayo, Chapter 5


      5:27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

      5:28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

      5:29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
      Niaamini mia kwa mia juu ya neno hili La Mwenyezi Mungu.......AMEN
      MziziMkavu likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #10
      Bi nyakomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 657
      Likes Received
      80
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Bi nyakomba uzoefu wako unasemaje kabla hata sijaanza kuchangia..............lol
      Hata cjui ndo maana nikauliza Ruta

    11. #11
      Bi nyakomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 276
      Rep Power : 657
      Likes Received
      80
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      asante mzizi, nimefunguka akili kdg khs hili
      MziziMkavu likes this.

    12. ADK is offline
      ADK
      #12
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 498
      Rep Power : 474
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default Re: Hivi ni dawa kweli?

      Tumeona faida za kufanya tendo la ndoa,je? Hasara zake ni zipi kwa wale wanao do kama dozi ya panadol?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...