hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau? Na mwanamke asipofanya mapenzi mda mrefu huweza hata kupata chunusi na uso kuwa rafu, iz t 2ru

Reply With Quote
Follow Us Here