hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau?
hello jf doctors, natumai mu wazima. Nimesikia kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara husaidia ngozi ya mwanamke kuwa nyororo na yakuvutia and virseversa, je ni kweli wadau?
Samahani nikuulize swali "umeolewa"?
'' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly
Hili suala ni ukweli kabisa, kila mwanamke anapofanya mapenzi kuna hormones za kike huwa zinatolewa.
Moja ya kazi za hormones za kike ni kufanya ngozi ya mwanamke kuwa nyororo.
Eeeee ni kweli. Ifanyie research kuanzia leo. baada ya miezi 3 utakuja kuniambia
Follow Us Here