Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ugonjwa wa kusahu kwa msichana-ma Dr.naomba msaada!

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      rakeyescarl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2007
      Posts : 344
      Rep Power : 661
      Likes Received
      47
      Likes Given
      217

      Exclamation Ugonjwa wa kusahu kwa msichana-ma Dr.naomba msaada!

      Ma Dr na wana JF wenzangu-natanguliza heshima,
      Nina mtoto ambaye sasa ana umri wa miaka 18,msichana na amemaliza kidato cha 4 kwa kushindwa mtihani -div.0.
      Tatizo lake nimeligundua baada ya wazazi wake kunipa nikae nae ,ametokea kijijini.
      Kusahau kwake ni kwa ajabu; Ukimpa kwa mfano glass ukamwambia -tafadhali peleka glass hii usiiweke kwenye kabati, basi yeye atachukua glasss hiyo na kuiweka kwenye kabati.

      Au ukimwambia tafadhali leo usiende mjini,yeye atakwenda na ukimuuliza nilikwambiaje atasema nilisikia unasema leo niende mjini.

      Je huu ni ugonjwa gani au kuna tiba gani ambayo inabidi nimfanyie na kwa sababu niko DSM nina uwezo wa kumpeleka hospitali yoyote au kwa Dr.yoyote kwa haraka.

      Lakini vitu vingine vyote ambavyo vingefanya kuonekana labda ana matatzio kama ya ukichaa anafanya kawaida eg. kujifanyia shughuli zake, kujipendezesha kupika na kukaa na watu anafanya.
      Natanguliza shukurani kwa atakayenijibu hapa au kwa kutumia email [email protected]
      Rakey.



    2. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,839
      Rep Power : 19440
      Likes Received
      8643
      Likes Given
      28208

      Default Re: Ugonjwa wa kusahu kwa msichana-ma Dr.naomba msaada!

      Atwange Dawa moja inayoitwa Halilaji achanganye na Asali Safi mbichi ya nyuki

      kijiko kimoja kikubwa awe anakunywa kila siku katika maisha yake. Au Apate Mafuta ya siku nyingi ya

      Zaituni ajipake nyuma ya kichwa upande wa kichogoni awe anajipaka kila siku inasaidia sana hayo mafuta ya Zaituni ya siku nyingi

      kupoza ugonjwa wa kusahau. Na ingine awe anakula Sana Figili na Samli Safi ya Ng'ombe.

      itamsaidia kuondosha ugonjwa kusahau. Au ale Zabibu kavu kwa wingi kila siku hiyo pia itamsaidia kuondosha huo ugonjwa wa kusahau.
      ukitaka Dawa zaidi wasiliana na mimi kwa njia ya email yangu ni hii ([email protected]) .@rakeyescarl
      rakeyescarl likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    3. #3
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,907
      Rep Power : 1857
      Likes Received
      626
      Likes Given
      421

      Default Re: Ugonjwa wa kusahu kwa msichana-ma Dr.naomba msaada!

      Pepo la usahaulifu

    4. #4
      Kiduku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 481
      Rep Power : 539
      Likes Received
      69
      Likes Given
      683

      Default Re: Ugonjwa wa kusahu kwa msichana-ma Dr.naomba msaada!

      mtafutie kijana wa kumshughukikia akili itakaa sawa

    5. ADK is offline
      ADK
      #5
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 496
      Rep Power : 474
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By kiduku View Post
      mtafutie kijana wa kumshughukikia akili itakaa sawa
      hivi unamaana gani we kiduku unaposhauri atafutiwe kijana wa kumshugulikia huku watu wako makini


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...