Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kuwashwa na maumivu wakati wa haja kubwa na baada

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. E52
      #1
      E52's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 64
      Rep Power : 445
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default kuwashwa na maumivu wakati wa haja kubwa na baada

      kuna jamaa yangu anasumbuliwa nahilo tatizo, na hana uvimbe wowote kwa nje,,,ipi dawa natural kwa hiyo kitu ?

    2. FemaTV & Radio

    3. C6
      #2
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,054
      Rep Power : 19354
      Likes Received
      1755
      Likes Given
      1502

      Default Re: kuwashwa na maumivu wakati wa haja kubwa na baada

      posibly ana minyoo aina ya Enterobius vermicularis au kwa jina lingine pin worm ambao hutaga mayai na huteremka kwenye maeneo ya haja kubwa wakati wa usiku na kusababisha muwasho wa aibu, unapojikuna unayahamisha hayo mayai kutoka hapo na kuyatawanya nje na kusababisha muendelezo wa maisha ya hao minyoo...


      tiba: dawa ya minyoo kama albendazole (dozi kamili) au mebendazole itasaidia
      ushauri wangu: aende kupata vipimo hospitali na ushauri wa daktari kabla ya kuanza kutumia dawa

    4. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...