Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Habari zenu wana MMU.....
      Leo sipo kimapenzi ila ni kuhusiana na uvutaji wa sigara.
      Ni ishu niliyoiona kwa watu wangu wa karibu ambao ni wavutaji wa sigara. Kuna ndugu yangu ambaye ni mvutaji mzuri sana wa sigara ila kila anapokuwa na hasira ndio uvutaji huongezeka.
      Bosi wangu hapa ofisini siku akiwa anavuta sigara basi inakuwa sio siku nzuri ya kuongea naye.
      Kuna uhusiano wowote kati ya uvutaji wa sigara na hali aliyonayo mtu? Mtambuzi na wavutaji wa sigara tafadhali tupeni uzoefu wenu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      What i know inapunguza nguvu za UUME

    4. #3
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,498
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Sidhani kama ni kweli, hizo ni hasira za uume zimeamia kichwani, chini kushwinei
      charminglady likes this.

    5. #4
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,274
      Rep Power : 31328
      Likes Received
      7555
      Likes Given
      7615

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Ingawa viwanda vya sigara huambatanisha kemikali nyingi katika utengenezaji sigara, lakini muhimu kuliko yote ni kemikali hii iitwayo "Nicotiana tabacum" , kemikali hutokana na majani ya tumbaku na ndio inayomfanya mvutaji awe na kiu ya sigara kila mara.Kiasili kemikali ya "nicotine" ni kichangamsho, kichocheo au kiburudisho. Kwa sababu hiyo basi ndio maana wavutaji wengi wakiwa kwenye msongo, mfadhaiko au hasira hukimbilia kuvuta sigara ili walau munkari utulie.
      Katavi and DoPe like this.
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    6. #5
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Quote By Bajabiri
      What i know inapunguza nguvu za UUME
      Hii pia nimewahi kuisikia...

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      SaidAlly's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 909
      Rep Power : 603
      Likes Received
      264
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By Bajabiri
      ..........inapunguza nguvu za UUME
      .........na kuongeza nguvu za UUKE

    9. #7
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 727
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Nadhani sigara haitofautiani sana na pombe ni two sides of the same coin! kuna wengine wakikasirika wanakunywa sana pombe,kwa wanaotumia hebu watupe siri ya hivi vitu!

    10. #8
      Mkekuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 700
      Rep Power : 499
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Hatamimi navuta nahuwa navuta sana niwapo na hasira. kuhusu pombe sijui sababu situmii.

    11. #9
      DoPe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 353
      Likes Received
      0
      Likes Given
      11

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      hamna lolote ni ulimbukeni tu na ujinga, kwani hamna uhusiano wa hasira na kuvuta sigara. Bora KUVUTA BANGI KULIKO kuvuta sigara kwani ina chemical sana..(

    12. #10
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,269
      Rep Power : 13086
      Likes Received
      14148
      Likes Given
      15016

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      hata kujifunza kuvuta sigara huanza unapokuwa na hisia(mara nyingi msongo wa mawazo) sasa lazima uvutaji wake uhusiane na ku-release tension.

      Inahusisha the 'herb of all times'?

    13. #11
      Miranda Michael's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 354
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Hii Ni kweli Kuhusiana na Sigara??

      Na pia napenda kuwajulisha kuwa kuna nutritional supplements kwa ajili ya kupunguza athari za sigara mwilini. Am sorry nimeshindwa kuweka picha kwa tatizo la chombo nlichotumia.kwa ambae atahitaji maelezo zaidi aniPM tafadhali.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...