Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Habari zenu wadau,
      naombeni msaada wenu wa kitabibu kuhusu kuzidiwa hasira,
      kadri mda wa bunge unavyozidi ndivyo na mimi huzidiwa hasira, nimejitahidi kutolifuatilia na kujaribu kuweka pamba masikioni ila najikuta pamba zimedondoka na luninga inaleta kiyoo chenye picha ya bunge, nazidiwa hasira zaidi nikiona picha ya kiti na wanaoongoza kiti, hasira zinazidi zaidi nikiona picha ya wanaolindwa na kiti hasa wanapovunja kanuni,
      jamani nipo serious, naombeni ushauri wenu watalaam maana kadri siku zinavyozidi nahisi kupatwa na mawazo ya kutembea na kisu ambayo ndiyo silaha pekee ninayomudu kuinunua,
      asanteni.
      BAGAH likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    2. Miaka 50

    3. #2
      BAGAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 4,364
      Rep Power : 8786
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1418

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      ugua pole...G.W.S
      ....ukubwa AKILI...NDEVU uchafu...

    4. #3
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Pigana na ukuta..au omba ushauri kwa abduel mkutane pale leaderz, atakueleza.

    5. #4
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Quote By BAGAH
      ugua pole...G.W.S
      Quote By Kilahunja
      Pigana na ukuta..au omba ushauri kwa abduel mkutane pale leaderz, atakueleza.
      sijawasoma,

      mkuu Elli , man , Henge , nisaidieni aisee, nahisi kuua hata raia mtaani wasiotaka kuniunga mkono kuingia kitaa kupinga huu uongozi DHAIFU wa sirikali ya sasa, wapi madokta aisee?
      Elli likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    6. #5
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,584
      Rep Power : 2553
      Likes Received
      2143
      Likes Given
      1862

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Waungwana walisema maumivu ya kichwa huanza pole pole, sasa usijali najua sasa hivi vichwa vinawauma sana
      Quote By zumbemkuu
      sijawasoma,

      mkuu Elli , man , Henge , nisaidieni aisee, nahisi kuua hata raia mtaani wasiotaka kuniunga mkono kuingia kitaa kupinga huu uongozi DHAIFU wa sirikali ya sasa, wapi madokta aisee?
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???


    7. #6
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Quote By zumbemkuu
      sijawasoma,

      mkuu Elli , man , Henge , nisaidieni aisee, nahisi kuua hata raia mtaani wasiotaka kuniunga mkono kuingia kitaa kupinga huu uongozi DHAIFU wa sirikali ya sasa, wapi madokta aisee?
      Mkuu magamba wanakupa hasila hivyo, Vumilia tuuu!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    8. #7
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Quote By zumbemkuu
      Habari zenu wadau,
      naombeni msaada wenu wa kitabibu kuhusu kuzidiwa hasira,
      kadri mda wa bunge unavyozidi ndivyo na mimi huzidiwa hasira, nimejitahidi kutolifuatilia na kujaribu kuweka pamba masikioni ila najikuta pamba zimedondoka na luninga inaleta kiyoo chenye picha ya bunge, nazidiwa hasira zaidi nikiona picha ya kiti na wanaoongoza kiti, hasira zinazidi zaidi nikiona picha ya wanaolindwa na kiti hasa wanapovunja kanuni,
      jamani nipo serious, naombeni ushauri wenu watalaam maana kadri siku zinavyozidi nahisi kupatwa na mawazo ya kutembea na kisu ambayo ndiyo silaha pekee ninayomudu kuinunua,
      asanteni.
      mKUU NTAKULETEA CD ZA FILMS USIANGALIE TENA AU TUMIA VYEMA KING'AMUZI CHAKO MKUU!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    9. #8
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,248
      Rep Power : 19222
      Likes Received
      8181
      Likes Given
      26704

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Mkuu pole sana na hizo Hasira za ajabu. Mimi ninakuuliza maswali yangu haya (4) Swali (1)kwanza una umri gani? Swali la pili (2) umeowa au una mpenzi? swali langu la (3) unakuwa unafanya tendo la ndoa au tendo la Mapenzi (SEX) kwa Mwezi huwa unafanya mara ngapi? Swali langu (4) Wewe muumini wa dini gani? Ninaomba unipe majibu Maswali yangu Mkuu.@zumbemkuu

      Kuthibiti hasira

      Hasira ni nini?
      Ni hisia ambazo huanza polepole na kupanda kiasi cha mtu kushindwa kujizuia na kubadilika mpigo wako wa moyo kicho chochote kuwameza kusababisha hasira kuanzia kwa kusubiri kwenye mlolongo wa msongamano wa magari hadi kwa kutoelewa na kubaya.

      Ni nini baadhi ya dalili?


      • Kushambulia watu wa maneno makali
      • Kuropokwa kwa sauti
      • Kupigana
      • Kuharibu vitu


      Unazuiaje na kutibu hali hii?


      • Pumua hewa nje na ndani kwa kina.
      • Jaribu kulete mzaha katika hilo jambo
      • Fikiria kuhusu mahali ambapo patakufanya utulie na upumzike
      • Zungumzia na mtu ambaye amekukasirisha kuliko kukaripia
      • Kaa mbali na hali ambapo unajua zitakufanya ukasirike
      • Pata nasaha


      zumbemkuu and Mwali like this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    10. #9
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      mkuu MziziMkavu
      nina umri wa miaka 33.
      nimeoa.
      nina do daily.
      dini yangu mwafrika. (sina bahati ya kutekwa na dini za wageni.)

      asante kwa ushauri mkuu ila sidhani km ntaweza kuzungumza na hili BANGE lote huko dodoma, nimejaribu pia kwenda pale magogoni mara nyingi ili nionane na meneja wa magogoni niseme yote ya moyoni lakini sikupata bahati hiyo,
      MziziMkavu and Mwali like this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    11. #10
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 596
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default

      Quote By zumbemkuu
      mkuu MziziMkavu
      nina umri wa miaka 33.
      nimeoa.
      nina do daily.
      dini yangu mwafrika. (sina bahati ya kutekwa na dini za wageni.)

      asante kwa ushauri mkuu ila sidhani km ntaweza kuzungumza na hili BANGE lote huko dodoma, nimejaribu pia kwenda pale magogoni mara nyingi ili nionane na meneja wa magogoni niseme yote ya moyoni lakini sikupata bahati hiyo,
      wangepatikana watu mia kama wewe tungesikia tu siku dodoma kuna wehu wameingia kufanya fujo na siraha za jadi
      MziziMkavu and zumbemkuu like this.

    12. #11
      MDAU JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 332
      Rep Power : 482
      Likes Received
      43
      Likes Given
      25

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Quote By zumbemkuu
      Habari zenu wadau,
      naombeni msaada wenu wa kitabibu kuhusu kuzidiwa hasira,
      kadri mda wa bunge unavyozidi ndivyo na mimi huzidiwa hasira, nimejitahidi kutolifuatilia na kujaribu kuweka pamba masikioni ila najikuta pamba zimedondoka na luninga inaleta kiyoo chenye picha ya bunge, nazidiwa hasira zaidi nikiona picha ya kiti na wanaoongoza kiti, hasira zinazidi zaidi nikiona picha ya wanaolindwa na kiti hasa wanapovunja kanuni,
      jamani nipo serious, naombeni ushauri wenu watalaam maana kadri siku zinavyozidi nahisi kupatwa na mawazo ya kutembea na kisu ambayo ndiyo silaha pekee ninayomudu kuinunua,
      asanteni.
      Mkuu, kama uko Dar, nenda mtaa wa Lumumba opposite na mgahawa wa Falcon pana jengo la rangi ya kijani na manjano limeandikwa "ofc ndogo ya makao makuu......" Ingia humo omba kadi ya uanachama, utalipia hela kidogo then utapewa kadi ya uanachama yenye rangi ya kijani(chani kiwiti), hapo hasira zote zinakwisha!

      "IF YOU CAN'T BEAT THEM, JOIN THEM"
      LAA ILAHA ILLALLAH MUHAMMADUR RASULULLAH

    13. #12
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Quote By MDAU JR
      Mkuu, kama uko Dar, nenda mtaa wa Lumumba opposite na mgahawa wa Falcon pana jengo la rangi ya kijani na manjano limeandikwa "ofc ndogo ya makao makuu......" Ingia humo omba kadi ya uanachama, utalipia hela kidogo then utapewa kadi ya uanachama yenye rangi ya kijani(chani kiwiti), hapo hasira zote zinakwisha!

      "IF YOU CAN'T BEAT THEM, JOIN THEM"
      ayayayayayaayayayayayayayayaya yayaya
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    14. #13
      HAZOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 1,056
      Rep Power : 629
      Likes Received
      211
      Likes Given
      37

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      Sounds kiding
      JANA SI NIMEKOSEA BOMA NIKAINGIA KWA MAMA MKWE, IMELEWA SANA JANA. CHIBOROIKWE IMECHOOOOKA SANA LEO!!

    15. #14
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,770
      Rep Power : 1267
      Likes Received
      213
      Likes Given
      9

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      umewakilisha tu....karibu watz wote wanahasira km wewe na wengi naamini wamekuzidi....mpaka sasa watu kadhaa wamegombana kwa sababu ya mabishano kuhusu mijadara inavyoendeshwa bungeni......SISI CCM NCHI IMETUSHINDA HAPA TUNASUBIRI WKT TU TUWE CHAMA KIKUU CHA UPINZANI BUNGENI
      zumbemkuu likes this.

    16. #15
      dandabo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th February 2012
      Posts : 194
      Rep Power : 405
      Likes Received
      63
      Likes Given
      4

      Default Re: Msaada tafadhali, hasira zinanizidi.

      mkuu we vunjilia mbali hiyo tv! Hasira zitaisha maana hutaliona tena hilo bunge linalokupa hasira!
      zumbemkuu likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...