Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      mimi05's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 44
      Rep Power : 440
      Likes Received
      3
      Likes Given
      49

      Default Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      Habari wana jamii,naomba ushauri kuhusu maumivu makali ya kichwa upande wa kushoto baada ya kujifungua kawaida.Dr alisema ni kawaida kuumwa kichwa kwa mama anyonyeshaye ila naona yanaongezeka zaidi.Je kama ni kawaida yatachukuwa muda gani kupona? Nilipima HB iko sawa. Asanteni kwa ushauri.

    2. Study Abroad

    3. #2
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,706
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By mimi05
      Habari wana jamii,naomba ushauri kuhusu maumivu makali ya kichwa upande wa kushoto baada ya kujifungua kawaida.Dr alisema ni kawaida kuumwa kichwa kwa mama anyonyeshaye ila naona yanaongezeka zaidi.Je kama ni kawaida yatachukuwa muda gani kupona? Nilipima HB iko sawa. Asanteni kwa ushauri.
      hakikisha unakanda maji hadi kichwani

    4. #3
      mimi05's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 44
      Rep Power : 440
      Likes Received
      3
      Likes Given
      49

      Default

      Asante sana,nitumie maji moto au baridi?
      Quote By The secretary
      hakikisha unakanda maji hadi kichwani

    5. #4
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,706
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By mimi05
      Asante sana,nitumie maji moto au baridi?
      maji ya moto
      mimi05 likes this.

    6. #5
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,558
      Rep Power : 8228
      Likes Received
      1600
      Likes Given
      798

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      Quote By mimi05
      Habari wana jamii,naomba ushauri kuhusu maumivu makali ya kichwa upande wa kushoto baada ya kujifungua kawaida.Dr alisema ni kawaida kuumwa kichwa kwa mama anyonyeshaye ila naona yanaongezeka zaidi.Je kama ni kawaida yatachukuwa muda gani kupona? Nilipima HB iko sawa. Asanteni kwa ushauri.
      Ulijifungua kwa operation (caeserean section) kwa dawa ya ganzi ya 'spinal' (sindani mgongoni)?
      mimi05, measkron and pono like this.
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      mimi05's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 44
      Rep Power : 440
      Likes Received
      3
      Likes Given
      49

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      Quote By Riwa
      Ulijifungua kwa operation (caeserean section) kwa dawa ya ganzi ya 'spinal' (sindani mgongoni)?
      Nilijifungua kawaida tu na sikuwa na tatizo lolote.

    9. #7
      Threezer's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Posts : 9
      Rep Power : 503
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      kunauwezekana wa mtu aliyefanyiwa operation ya uzazi kuchuliwa maji tumbon?

    10. #8
      Threezer's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Posts : 9
      Rep Power : 503
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      kuchuliwa maji ukiwa mzazi kunafaida gani?

    11. #9
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,706
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Threezer
      kuchuliwa maji ukiwa mzazi kunafaida gani?
      husaidia kutoa uchafu wa tumboni

    12. GM7
      #10
      GM7's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 493
      Rep Power : 602
      Likes Received
      5
      Likes Given
      3

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      Nami naungana na mtoa hoja, Maana hata mimi toka mke wangu ajifungue kwa njia ya kawaida kichwa kinaumwa mtindo mmoja. Alipomuuliza daktari akamwambia atumie panadol. Lakini hali bado inaendelea, akitumia panadol maumivu yanatulia ila akiacha tu yanarudia tena.

      Tunaomba wataalamu wa hapa JF, watuelimishe Je hali hii ni kawaida au kuna tatizo lingine? Je, upungufu wa damu baada ya kujifungua unaweza kutokea na kusababisha hali hii? Na nini kifanyike??????
      Aliye juu mfuate hukohuko juu.

    13. #11
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 805
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: Maumivu ya kichwa baada ya kujifungua

      Mimi naomba wote wenye shida hizi waseme bp zao wamepima sasa ziko ngapi na kabla ya kujifungua ilikuwa ngapi coz yawezekana ikawa pressure iko juu inaweza kusababisha kichwa kuuma hasa waliojifungua kawaida, kwa waliojifungua kwa operations hii huwa ni side effect ya spinal anesthesia na hii hutokana na kuamka yaani kuinua kichwa kabla ya masaa 24 tangu ujifungue. Lakini pia tusisahau malaria hivyo mpime na BS pia yawezekana ikawa malaria pia.
      GM7 and measkron like this.

    14. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...