Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni tatizo gani la afya?

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      uwiii's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Ni tatizo gani la afya?

      Habari wanajamii forum!

      Mimi ni binti wa miaka 27.Tatizo langu ni siku zangu za hedhi.Mwanzo sikuwa na tatizo la kupata siku zangu lakini mwezi uliopita sijaelewa nimepatwa na tatizo gani.Ilikuwa nianze kupata period tarehe 23/06 lkn nikaanza tarehe 22/06.Sasa tatizo ni kwamba damu inayotoka ni kidogo sana ,tofauti na siku nyingine.Damu imekuwa ikitoka matone 2/3 kwa siku na imefanya hivyo kwa siku 10.

      Je inaweza kuwa ni tatizo gani?Msaada tafadhali.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,722
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1455
      Likes Given
      129

      Default Re: Ni tatizo gani la afya?

      Je unatumia njia ya uzazi wa mpango?

    4. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...