Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr tafadhari tafadhari sana

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 495
      Rep Power : 469
      Likes Received
      65
      Likes Given
      295

      Default Dr tafadhari tafadhari sana

      Nina dada yangu anamtoto wa mwaka mmoja wa jinsia ya kike..
      anatatizo la kustuka anapokua usingizini(usiku)-akistuka uwa analia sana,anambembeleza analala..baada ya saa moja anastuka tena..kazi ni hiyohiyo..Naomba ushauri
      "vox populi,vox dei"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,178
      Rep Power : 19208
      Likes Received
      8130
      Likes Given
      26593

      Default Re: Dr tafadhari tafadhari sana

      Tiba ya mtoto mdogo anaye stuka stuka usingizini:

      Chukua dawa inayoitwa mvuje, halititi na kibiriti upele zitwange kisha roweka katika maji kwa muda wa saa kisha muogeshe mtoto kwa maji ya dawa asubuhi, mchana, na jioni.Inshaallah ataacha kushtuka. tumia kisha uje hapa unipe Feedback. MziziMkavu Adharusi
      zomba likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    4. #3
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 495
      Rep Power : 469
      Likes Received
      65
      Likes Given
      295

      Default

      Quote By MziziMkavu
      Tiba ya mtoto mdogo anaye stuka stuka usingizini:

      Chukua dawa inayoitwa mvuje, halititi na kibiriti upele zitwange kisha roweka katika maji kwa muda wa saa kisha muogeshe mtoto kwa maji ya dawa asubuhi, mchana, na jioni.Inshaallah ataacha kushtuka. tumia kisha uje hapa unipe Feedback. MziziMkavu Adharusi
      Nashukuru dr wetu..nitaleta mjb
      MziziMkavu likes this.

    5. #4
      manuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2009
      Posts : 711
      Rep Power : 655
      Likes Received
      263
      Likes Given
      185

      Default Re: Dr tafadhari tafadhari sana

      Mpeleke kwa babu yake Moshi na mbuzi bila kusahau debe la mbege mkirudi mjini atakuwa poa kabisa.
      TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING

    6. #5
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 495
      Rep Power : 469
      Likes Received
      65
      Likes Given
      295

      Default

      Quote By MziziMkavu
      Tiba ya mtoto mdogo anaye stuka stuka usingizini:

      Chukua dawa inayoitwa mvuje, halititi na kibiriti upele zitwange kisha roweka katika maji kwa muda wa saa kisha muogeshe mtoto kwa maji ya dawa asubuhi, mchana, na jioni.Inshaallah ataacha kushtuka. tumia kisha uje hapa unipe Feedback. MziziMkavu Adharusi
      Dr wangu nimeongea na sister,kaniambia haujui Mvuje,Halititi,na Kibiriti upele(ila mi nilihisi labda ni njiti ya kibiriti)
      MziziMkavu likes this.

    7. Miaka 50

    8. CAY
      #6
      CAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 462
      Rep Power : 514
      Likes Received
      84
      Likes Given
      26

      Default Re: Dr tafadhari tafadhari sana

      Quote By manuu
      Mpeleke kwa babu yake Moshi na mbuzi bila kusahau debe la mbege mkirudi mjini atakuwa poa kabisa.
      Haya manuu,ushauri umepokelewa!

    9. #7
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,178
      Rep Power : 19208
      Likes Received
      8130
      Likes Given
      26593

      Default Re: Dr tafadhari tafadhari sana

      Quote By Adharusi
      Dr wangu nimeongea na sister,kaniambia haujui Mvuje,Halititi,na Kibiriti upele(ila mi nilihisi labda ni njiti ya kibiriti)
      Mkuu Mvuje kwa kiingereza unaitwa (Asafetida) angalia picha yake hapo chini:


      Asafetida Mvuje.

      asafetida (powder). Haltiti.






      Kibiriti Upele Upele kwa kiingereza inaitwa sulfur

      Kama upo Dar, nenda maduka ya Wauza Dawa za kiarabu Wapemba yaliyopo Karibu na Soko kuu la Kariakoo Mtaa wa Pemba au Mtaa wa Nyamwezi kaulize hizo Dawa utazipata Mkuu Adharusi La kama haupo Dara chukuwa hizo picha kawaonyeshe wauza Madawa ya Kiarabu popote pale ulipo wewe utapata inshallah tumia kisha uje uniambie umefikia wapi? Give me a Feedback.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    10. #8
      Mahmetkid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : Kagera-Bukoba
      Posts : 414
      Rep Power : 439
      Likes Received
      104
      Likes Given
      8

      Default Re: Dr tafadhari tafadhari sana

      Hiyo ni tabia iliyojengeka kwa huyo mtoto kujiliza, inawezekana hata mchana kitu kidogo kinamliza. Kushituka shituka usiku mara kwa mara na kulia ni michezo mingi anayocheza mchana ndiyo inamsababishia hivi.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...