Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nahitaji Msaada Wenu!

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Calcia's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Question Nahitaji Msaada Wenu!

      Nilitumia dawa za Malaria aina ya Co-Malafin,nilitumia siku tatu,baada ya hapo,siwezi kukaa juani au sehemu yoyote ile yenye joto!yaani Mwili unachomachoma mpaka vinatokea vipele na vinauma sana,sasa inabidi nitafute baridi au maji nijipakepake au kivuli,nikishafanya hivyo mwili unarudi ktk hali yake ya kawaida na vipele vinapotea,sasa niliamua kurudi hospitali wakanambia ni sumu ya hizo dawa!basi wakanipa dawa za kutoa hiyo,lakini bado,nikarudi tena wakanipa dawa zingine nikatumia lakini wapi,nikarudi kupima damu wakakuta kuna malaria na typhoid nikapewa dawa na ikabidi niombe sindano sababu nimekunywa dawa mpaka nkapata vidonda tumboni,dr akaniandikia sindano,za malaria na Allerge nikamaliza lakini hakuna mabadiliko yoyote!yaani kutoka nje mimi usiku au asubuhi sana kabla ya jua,napata shida sana!nashindwa fanya kazi sababu joto na mimi ni sawa na paka na panya,yaani mimi na kivuli, kivuli na mimi!hata ktk daladala siwezi panda ka watu wamejaa!inabidi nipate siti yenye dirisha ili niliache wazi!sasa naombeni msaada wenu ili niweze pona!naamini ntapata ufumbuzi toka kwenu!nahitaji sn msaada wenu! by Calcia.
      Fadhili Paulo likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,205
      Rep Power : 19214
      Likes Received
      8165
      Likes Given
      26639

      Default Re: Nahitaji Msaada Wenu!

      Ninakushauri uende kwenye Hospitali Kuu ya Muhimbili ukaonane na Ma Daktari Mabingwa kuhusu hayo Matatizo uliyonayo. Sijuwi hivi sasa hao Ma Daktrari kama utawakuta? maana kuna mgomo huko nyumbani wa Madaktari. Pole sana mkuu.

      Au jaribu Dawa yangu ya Tiba Mbadala ya Malaria :

      Jaribu kutumia dawa yangu hii Pata kijiko kimoja cha Asali Safi mbichi ya nyuki uchanganye na kijiko kimoja cha Siki ya Apple(Applle Vinegar) au Siki ya Zabibu uwe unakunywa asubuhi kila siku kabla kula kitu Tumia hii Dawa kwa muda wa mwezi Mmoja itakusaidia kuondosha hiyo Malaria yako Sugu.

      Au Tumia Dawa hii Pata ndimu30 uzikamuwe uzitie kwenye chupa moja kisha hiyo chupa uiweke kwenye jua siku 3 baada ya siku 3 uanze kutumia kila siku unywe kipimo cha kikombe cha kahawa Asubuhi kabla ya kula kitu mpaka umalize hiyo chupa utakuwa umeshapona, kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu inshallah. Jaribu kutumia moja kati ya hizi dawa.

      Tumia kisha unipe maelezo yake umefikia wapi ?
      Pleae Give me a feedback.@Calcia
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    4. #3
      Calcia's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nahitaji Msaada Wenu!

      Nashukuru sana kwa maelekezo yako!kwahiyo una maanisha hii hali niliyonayo ni malaria sugu?

    5. #4
      Fadhili Paulo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Location : maajabuyamaji.net
      Posts : 1,116
      Rep Power : 794
      Likes Received
      281
      Likes Given
      996

      Default Re: Nahitaji Msaada Wenu!

      Quote By Calcia
      Nilitumia dawa za Malaria aina ya Co-Malafin,nilitumia siku tatu,baada ya hapo,siwezi kukaa juani au sehemu yoyote ile yenye joto!yaani Mwili unachomachoma mpaka vinatokea vipele na vinauma sana,sasa inabidi nitafute baridi au maji nijipakepake au kivuli,nikishafanya hivyo mwili unarudi ktk hali yake ya kawaida na vipele vinapotea,sasa niliamua kurudi hospitali wakanambia ni sumu ya hizo dawa!basi wakanipa dawa za kutoa hiyo,lakini bado,nikarudi tena wakanipa dawa zingine nikatumia lakini wapi,nikarudi kupima damu wakakuta kuna malaria na typhoid nikapewa dawa na ikabidi niombe sindano sababu nimekunywa dawa mpaka nkapata vidonda tumboni,dr akaniandikia sindano,za malaria na Allerge nikamaliza lakini hakuna mabadiliko yoyote!yaani kutoka nje mimi usiku au asubuhi sana kabla ya jua,napata shida sana!nashindwa fanya kazi sababu joto na mimi ni sawa na paka na panya,yaani mimi na kivuli, kivuli na mimi!hata ktk daladala siwezi panda ka watu wamejaa!inabidi nipate siti yenye dirisha ili niliache wazi!sasa naombeni msaada wenu ili niweze pona!naamini ntapata ufumbuzi toka kwenu!nahitaji sn msaada wenu! by Calcia.
      Pole. Hospitali kwa kawaida wanatoa tu dawa za kutuliza tatizo na siyo kutibu tatizo, angalia walikupa wenyewe hizo dawa za malaria, zimekudhuru wanadai una sumu zilizotokana na hizo dawa za malaria na wanaamua kukupa dawa zingine za kuondoa hiyo sumu. Sasa kwanini hawakukuambia mwanzo wanapokupa dawa za malalria kuwa hizi siyo dawa bali ni SUMU?.

      Nahisi umepungukiwa maji mwilini mwako kwa kiasi kikubwa. Bonyeza link ifuatayo usome namna unaweza kutumia maji: http://maajabuyamaji.net/new-page/jitibu-kwa-kutumia-maji/
      Maji ni Uhai. Tembelea www.maajabuyamaji.net kujifunza namna ya kutumia maji kujikinga na kujitibu na maradhi mbalimbali.

    6. #5
      Mshiloni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 370
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Nahitaji Msaada Wenu!

      Pole sana,nakushauri kama unaweza nenda hospitali ya Wasabato inatazama na hindu mandal hospital.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Calcia's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nahitaji Msaada Wenu!

      Asante sana!nawashukuru sana!ila tatizo mie nipo Iringa,asa hiyo hospitali ya wasabato sijui ka ipo huku Iringa.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...