Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kumbe vipodozi vina madhara!

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,380
      Rep Power : 677
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default Kumbe vipodozi vina madhara!

      Wanawake nchini
      wametakiwa kubadilika
      kwa kuacha kutumia
      vipodozi vyenye madhara
      mwilini na kuachana na
      dhana kuwa ukiwa
      mweupe au kuwa na
      mapaja manene
      unapendwa zaidi.
      Hayo yamesemwa na
      Kaimu Meneja wa
      Mamlaka ya Chakula na
      Dawa (TFDA), Kanda ya
      Kati, Florent Kyomo.
      Kyomo amesema kuwa,
      asilimia kubwa ya
      waathirika wa vipodozi ni
      wanawake hasa wale
      wenye uelewa mdogo
      ambao hawataki
      kubadilika kwa kudhani
      kuwa weupe ni moja ya
      mafanikio na kupendwa
      zaidi na wanaume.
      Ameongeza kuwa,
      changamoto kubwa
      wanayokabiliana nayo ni
      uelewa wa wananchi juu
      ya matumizi ya vipodozi
      vyenye madhara ambapo
      wengi wao wanashindwa
      kuacha kutumia kutokana
      na kutumia madawa hayo
      kwa muda mrefu na
      kufafanua kuwa, hata
      hivyo kuwa wataendelea
      na mikakati ya kutoa
      elimu zaidi ili watu wengi
      wajue madhara na kuwa
      na dhamira ya kuacha
      kutumia vipodozi hivyo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,198
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      531
      Likes Given
      404

      Default

      Quote By Nzowa Godat
      Wanawake nchini
      wametakiwa kubadilika
      kwa kuacha kutumia
      vipodozi vyenye madhara
      mwilini na kuachana na
      dhana kuwa ukiwa
      mweupe au kuwa na
      mapaja manene
      unapendwa zaidi.
      Hayo yamesemwa na
      Kaimu Meneja wa
      Mamlaka ya Chakula na
      Dawa (TFDA), Kanda ya
      Kati, Florent Kyomo.
      Kyomo amesema kuwa,
      asilimia kubwa ya
      waathirika wa vipodozi ni
      wanawake hasa wale
      wenye uelewa mdogo
      ambao hawataki
      kubadilika kwa kudhani
      kuwa weupe ni moja ya
      mafanikio na kupendwa
      zaidi na wanaume.
      Ameongeza kuwa,
      changamoto kubwa
      wanayokabiliana nayo ni
      uelewa wa wananchi juu
      ya matumizi ya vipodozi
      vyenye madhara ambapo
      wengi wao wanashindwa
      kuacha kutumia kutokana
      na kutumia madawa hayo
      kwa muda mrefu na
      kufafanua kuwa, hata
      hivyo kuwa wataendelea
      na mikakati ya kutoa
      elimu zaidi ili watu wengi
      wajue madhara na kuwa
      na dhamira ya kuacha
      kutumia vipodozi hivyo.
      Wanasikia hawa? Ukimshauri utasikia hutakinipendeze!

    4. #3
      Zabibu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 243
      Rep Power : 425
      Likes Received
      49
      Likes Given
      173

      Default Re: Kumbe vipodozi vina madhara!

      KWELI kabisa mtu unatakiwa ujikubali jinsi MUNGU alivyokuumba na sio kujikoboa koboa
      Zabibu haimenywi...

    5. #4
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 781
      Rep Power : 578
      Likes Received
      248
      Likes Given
      241

      Default Re: Kumbe vipodozi vina madhara!

      teh hata wanaume siku hz wanajichubua tena sana tu, so siyo vizur kusema ni wanawake tu, cha msingi ni kuwa hili jambo lina madhara na wahusike wanapaswa kushauriwa waache kujichubua, na wahusika wenyewe ni wanawake na wanaume wanaotumia hyo mivipodozi na siyo wanawake peke yao.

    6. #5
      Amina Thomas's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th March 2008
      Posts : 224
      Rep Power : 616
      Likes Received
      74
      Likes Given
      11

      Default Re: Kumbe vipodozi vina madhara!

      mimi napingana na kauli ya uelewa mdogo. Kuna wasomi kibao na wengine ni doctors na wanajichubua. Pia ni kweli kuna wanaume wengi tu siku hizi wanajichubua.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      I-NGOSHA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 102
      Rep Power : 401
      Likes Received
      11
      Likes Given
      50

      Default Re: Kumbe vipodozi vina madhara!

      Quote By Amina Thomas
      mimi napingana na kauli ya uelewa mdogo. Kuna wasomi kibao na wengine ni doctors na wanajichubua. Pia ni kweli kuna wanaume wengi tu siku hizi wanajichubua.
      Unaweza ukawa msomi ila ukawa haujajitambua, suala la msingi wapewe elimu ya kujitambua ili waweze kujikubali jinsi walivyo!!

    9. #7
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1208
      Likes Given
      1253

      Default Re: Kumbe vipodozi vina madhara!

      ila tuache maskhara bwana MWANAMKE MWENYE MAPAJA MANENE(figure bomba) NA MWEUPE anavutia wakuu..hasa for single night affair

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...