Kila ninapokula karanga siku inayofuata huwa naharisha sana mpaka kiuno kinauma, ni kawaida!!.
Kila ninapokula karanga siku inayofuata huwa naharisha sana mpaka kiuno kinauma, ni kawaida!!.
GOOD JUDGEMENT COMES FROM EXPERIENCE, BUT EXPERIENCE COMES FROM BAD JUDGEMENT.
mmh! mimi ubuyu!!, nikila tu lazima nikaripoti, imebidi niache kula kabisa.
Vua GAMBA Vaa GWANDA
kama ni hivyo.bora usile
Weweee ,kama umebadili avator yako?hayo ni mafuta yatakudhuru,
bora wewe umepata tiba ya kutoa sumu mwilini kila baada ya miezi mitatu unatakiwa kufyashi uchafu/sumu mwilini magonjwa madogodogo yatakupitia mbali
Usipende kula mara kwa mara utamaliza maji mwilini
fanya hivyo mara 1 kwa wiki au mwez uwe unatoa uchafu mwilini
kuna wengine wanapendea tumbo kama hilo coz wao wakienda toi ni kama mbuz
utakuwa unaallergy na vitu jamii ya nuts.kwan umeshawah kula korosho na na matokeo yapoje?
Mie inanitokezea ikiwa nakula karanga mbichi bila kuziosha. Kama na ww ni hivyo hivyo nakushauri uzioshe kabla hujazila
naomba ushauri wenu
Pasipo maono watu huangamia
Follow Us Here