Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua
      Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
      Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?

      NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?


    2. #2
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,564
      Rep Power : 809
      Likes Received
      525
      Likes Given
      411

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Hili ni tatizo la kiakili, hebu nenda hospital, kama upo Dar nenda Muhimbili kamwone Dr Hogan au Dr Frank watakusaidia. Afu kipindi hiki acha kuendesha gari mpaka hali hiyo itakapoondoka. Pole sana
      MziziMkavu and gfsonwin like this.

    3. #3
      uttoh2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 580
      Rep Power : 488
      Likes Received
      195
      Likes Given
      8

      Default

      Pole, na uhakika wakati Unafikiria hayo siaminia Kama unakuwa kwenye full control of your mind, Kama huna any depression then hii ni issue inayoitaji Maombi.


      Quote By anne maria View Post
      kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua
      Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
      Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?

      NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?
      MziziMkavu and Anne Maria like this.

    4. BAK is offline
      BAK
      #4
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,827
      Rep Power : 45014
      Likes Received
      8683
      Likes Given
      8666

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Pole sana. Umefanya la maana sana kuwashirikisha dada zako waombe wasikuache uwe pekee yako na unapokuwa kwenye gari hakikisha kunakuwa na mtu pembeni yako ambaye yuko karibu na mlango. Pia itakuwa ni vizuri sana ukaenda hospitali ili kuwaona wataalamu ili wakusaidie na tatizo hili kubwa, sala pia ni muhimu sana ili kuepukana na hali hii. Nakuombea Mungu ili hali hii ya kutaka kusitisha uhai wako uachane nayo.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    5. #5
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 529
      Rep Power : 541
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By anne maria View Post
      kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua
      Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
      Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?

      NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?
      pole sana kwa hali hiyo ndugu. ila naona umeweka mipaka ya ushauri wa namna ya kuondokana na tatizo hilo, eti "tiba yoyote ya hospitalini"

      Fanya yafuatayo:
      • Kama unaishi sehemu ambayo unajitegemea kwa chakula na maradhi (yaani huwa unapata wakati wa kuwaza leo ntakula nini), ondoka nenda kwa ndugu ambaye uko huru sana ukiwa kwake hasa wazazi kama wapo.(kinachotakiwa hapa upate pumziko la bila kuwaza utakula nini. we ule kile watakacho tafuta wazazi)
      • Ikiwa ulizoea kukaa katika familia ya watu wengi yenye ucheshi na pilikapilika za aina mbalimbali na sasa umeondokana nayo, basi ni wakati muafaka wa kutembelea familia hiyo kila Unapohisi hali hiyo inakujia
      • Fuatilia mwenendo wako wa tabia, kama uko katika kipindi cha kujifunza tabia fulani mbaya mf. kuiba, ukatili, uchawi, umalaya, kutukana, dhuluma n.k ambazo hukuwahi kuwa nazo hapo mwanzo achana nazo kabisa hata kama ni kwa ushawishi wa watu wanaokzunguka. Ni bora wakwite fara usalimike kuliko kutimiza matakwa yao uangamie.
      • Kama wewe ni mtu wa kujitenga sana na watu(ant-social) achana na tabia hiyo, wakati wote jumuika na watu upige story mbalimbali na kama huna marafiki basi badili tabia zako mbaya.
      • Jaribu kukumbuka kama kunanadhiri yoyote uliwahi kuweka, kwamba ufe endapo ikiivunja au usipoitimiliza. Na sasa umekwenda kinyume na hiyo nadhili. Kama ndivyo hivyo, basi kama ulivyoamini ktk nadhili,Kwa imani yoyote iliyo kuu kuliko hiyo ya nadhili utaweza kuondokana na hiyo nadhili.
      • hii ya mwisho ni sababu ya kiimani zaidi, yawezekana kuna roho ya mauti inakuandama bila kujali imetokana na nini. Mimi naamini kwamba ukiombewa(yaani hiyo roho ya mauti ikemewe na ikuachie) utapona kabisaa. Ila kama kunauovu unafanya uachane nao na umrudie Mungu wako,vinginevyo hata ukiombewa itatoka na kurudi tena ukiirudia dhambi.

      hata mfadhaiko wa mawazo husababisha hali kama hii,lakini nimeona umekataa kwamba huna mfadhaiko wowote.


      MAOMBI NDIO DAWA YA HILO TATIZO. NIKIWA SHULENI MKWAWA SEC KABLA HAKIJAWA CHUO, HALI HII ILIKUWA IKIMPATA DADA MMOJA HIVI AMBAYE KILA MARA ALIKUWA ANAFANYA MAJARIBIO YA KUJIUA NA KUOKOLEWA NA WATU. ALIKUWA AKIOMBEWA MAPEPO YANASEMA YAMETUMWA NA SHANGAZI YAKE KUMSABABISHIA AJIUE ILI ASIENDELEE NA MASOMO. AKIOMBEWA ALIKUWA ANAOKOKA NA KUPONA LAKINI BAADA YA MWEZI ANARUDIA UOVU NA SAKATA LAKE LINAANZA TENA. MWISHOWE ALIFUKUZWA SHULE KWA UTOVU WA NIDHAMU. SIJUI IKUWAJE HUKO ALIKOELEKEA
      Anne Maria likes this.


    6. leh is offline
      leh
      #6
      leh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Location : Mlimani, Dar
      Posts : 687
      Rep Power : 778
      Likes Received
      264
      Likes Given
      12

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By salosalo View Post
      • hii ya mwisho ni sababu ya kiimani zaidi, yawezekana kuna roho ya mauti inakuandama bila kujali imetokana na nini. Mimi naamini kwamba ukiombewa(yaani hiyo roho ya mauti ikemewe na ikuachie) utapona kabisaa. Ila kama kunauovu unafanya uachane nao na umrudie Mungu wako,vinginevyo hata ukiombewa itatoka na kurudi tena ukiirudia dhambi.
      na mie natanguliza pole zangu, sina cha kuongeza naona salosalo kaafunika yote ila hii ya roho na kuombewa.. sipo kabisa
      Anne Maria likes this.
      "I am doing that which I cannot do, in order that I may learn how to do it." -Picaso
      "I trust everybody, it's the inside them that I don't trust." Stella (the Italian Job)

    7. #7
      Mpigaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 500
      Likes Received
      39
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By anne maria View Post
      kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua
      Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
      Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?

      NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?
      Jitupe tu barabarani,hutakufa!

    8. #8
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      pole sana bidada, ushauri umeshapewa fanya yote uliyoshauriwa hapo juu na mwisho usisahau kukemea hiyo spirit of death (pepo la kujiua, roho ya mauti) it is an issue!

      I am glad umeweka wazi, nusu ya ushindi tayari. I hope hao ndugu zako hawatafungwa kiimani na kudharau shida yako.
      BAK, Azimio Jipya and Anne Maria like this.

    9. #9
      kibol's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,319
      Rep Power : 624
      Likes Received
      329
      Likes Given
      200

      Default

      Quote By Mpigaji View Post
      Jitupe tu barabarani,hutakufa!
      embu jaribu kujiheshimu ndugu yng,mwenzako anaomba ushauri seriously wewe unaleta jokes.sio lazima kila kitu u-comment

    10. #10
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,274
      Rep Power : 34404
      Likes Received
      10492
      Likes Given
      14558

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      pole sana bidada, nakushauri fuatilia ushauri wa salosalo na dr wa kwanza kabisa ili kutatua. Ila nikutie moyo Mungu akisha kuonyesha kitu basi jua kesha kitatua so huwez kujiua tena manake ameshamshinda huyo ibilisi.
      Azimio Jipya and Anne Maria like this.

    11. #11
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,720
      Rep Power : 855
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Yawezekana maisha yako yamekuwa monotonous kiasi cha kupoteza flavour. Unahitaji kubadili staili ya maisha, ipe upya fulani. Kama umefanikiwa sana, na una raha sana, jaribu kuachana na raha hizo na kuishi maisha ya kujinyima kidogo; nenda kijijini na sehemu zenye nature usikilize sauti za ndege na wanyama, nk. Kwa kubadili mtindo wa maisha na mazingira unaweza kuona tena upya wa maisha ktk maana nzuri zaidi.
      Anne Maria likes this.
      God writes straight with crooked lines.

    12. #12
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Ushauri wangu kwako ni huu, mpokee Yesu kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na umwombe akuondolee hayo yote yanayokukabiri. Naamini ukimwomba kwa dhati, utapata unalotaka.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Anne Maria likes this.

    13. #13
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,008
      Rep Power : 2642
      Likes Received
      2309
      Likes Given
      2079

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Pole sana ila mimi hali hio ilinipata nikiwa kidato cha nne na nilifikia stage ya kumeza piriton sikumbuki idadi yake pamoja klorokwini sita nilijiskia kufa ila mchana ule nilikula nikalala nikiamini sitaamka baada ya hapo nikawa headboy na mwenyekiti wa ukwata, sikumbuki kupata tena tatizo hilo; jitahidi kusali
      Anne Maria likes this.

    14. #14
      GTesha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Posts : 199
      Rep Power : 393
      Likes Received
      41
      Likes Given
      9

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      kiembembe ni kama muhehe!

    15. #15
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,266
      Rep Power : 670
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Omba sana dada ilo ni pepo la mauti
      "Ni UPENDO tu"

    16. #16
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By Mupirocin View Post
      Hili ni tatizo la kiakili, hebu nenda hospital, kama upo Dar nenda Muhimbili kamwone Dr Hogan au Dr Frank watakusaidia. Afu kipindi hiki acha kuendesha gari mpaka hali hiyo itakapoondoka. Pole sana
      Asante nitafanya hivyo nikienda dar kwa sasa sipo tz

    17. #17
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By Meritta View Post
      Omba sana dada ilo ni pepo la mauti
      Asante Merrita ninaomba Mungu anisaidie,,..

    18. #18
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By GTesha View Post
      kiembembe ni kama muhehe!
      Una maanisha nini hapa sijakuelewa

    19. #19
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By Elli View Post
      Pole sana ila mimi hali hio ilinipata nikiwa kidato cha nne na nilifikia stage ya kumeza piriton sikumbuki idadi yake pamoja klorokwini sita nilijiskia kufa ila mchana ule nilikula nikalala nikiamini sitaamka baada ya hapo nikawa headboy na mwenyekiti wa ukwata, sikumbuki kupata tena tatizo hilo; jitahidi kusali
      pole kwa yaliyokupata kwahiyo hukupata tena hali ya kutaka kujiua?? uliombewa?? haukupata matibabu yoyote ya hospitali?

    20. #20
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 434
      Likes Received
      79
      Likes Given
      259

      Default Re: Nina shambuliwa na mawazo ya kutaka kujiua

      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Ushauri wangu kwako ni huu, mpokee Yesu kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na umwombe akuondolee hayo yote yanayokukabiri. Naamini ukimwomba kwa dhati, utapata unalotaka.
      The unseen is illustrated by the seen.
      YESU KRISTO ni BWANA na Mwokozi wa maisha yangu na ndo maana ninamuomba sana bila kuchoka kama umenote huko nyuma nilishawahi kuipata hii hali nikaombewa na watumishi wa MUNGU na mimi kuomba ikaondoka ila kwa sasa imerudi tena na bado ninaomba lakini najiuliza kwa nini imejirudia tena kwa nguvu zaidi? asante sana kwa ushauri

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...