Jamani natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Jamani nina mtoto wa miezi mitatu ila toka azaliwe kuna mucas nyeupe ina mtoka machoni tumetumia tiba kwa ushauri wa madaktari tulio waona lakini tatizo bado. Tunaomba msaada kwa anayejua tiba. Asanteni

Reply With Quote

Follow Us Here