#1:
Za leo wandugu, naomba kuuliza na kutaka kujua.
Mimi niko kwenye ndoa ya kama miaka 2 sasa. Kwa kweli imekuwa na furaha zake pia ni vikwanzo vingi. Imefikia sasa mimi najishangaa sana kuwa nimeishiwa hamu kabisa na mme wangu na ninamuona mbaya sana. Nakaa na kujiuliza ilikuwaje mpaka nikaolewa nae.
Namefikia hatua yakufanya mambo ili nimuudhi aniache tuu.
Sijui sasa nifanye nini zaidi cha kumuudhi, nisaidieni.
#2:
#3:Natumaini wote ni wazima wa afya inshalaah.
Kwa kifupi Nina rafiki yangu mpendwa (Msichana) ana tatizo ambalo kwa kweli mi sijui hata nimsaidiaje, ni meona si vibaya kuliweka hewani tukasaidiana mawazo.
Ni binti mwenye umri wa miaka 23 tatizo lake kubwa hajawahi katika maisha yake yote toka avunje ungo kujiskia hamu ya kufanya mapenzi. Ana mpenzi ila mara nyingi wakiwa faragha huwa kama anamfurahisha mwezake kwa sababu hana anacho jiskia hata aguswe wapi. Mara ya kwanza kunieleza mi nilimshauri aende hospitali akaonane na dakatari wa wanawake huenda Homoni za kike zikawa zimepungua au akagundulika tatizo lingine lolote linalo weza kusababisha hiyo hali; Nashukuru Mungu kwani alinisikiliza na kwenda hospitali ya regency ila majibu yalipo toka alionekana kila kitu kiko normal.
Sasa sijui hata nimsaidiaje coz kuna kipindi nilimuuliza kama huwa anaota ndoto za mapenzi mara kwa mara kwa sababu nilisha wahi kusikia hata kusoma kwenye vitabu kuwa kama una Jini Mahaba basi kuna uwezekano hali kam yake ikajitokeza; ila ilinihakikishia kuwa hajawahi hata siku mwoja kuota ndoto za namna hiyo. Jamaa yake anampenda sana na hivi majuzi jamaa ansema anataka kuja kutoa posa ili ajichukulie jumla jumla anahisi atateseka sana kwenye ndoa coz hata pata hiyo raha ya chakula cha ndoa.
Naomba tumsaidie jamani afanyaje??
#4:Habari za kazi wandugu,
nipo tutani naomba msaada wenu ili niweze kumfurahisha mpenzi wangu. Lately nimekuwa sina hamu ya kufanya mapenzi kabisa hata nikifanya nakuwa natimiza wajibu tu ili mwenzangu asijisikie kua simjali coz ananipenda sana na ninampenda sana. Nifanyaje ili niweze pata hamu na kufurahia mapenzi?
Asanteni sana.
By PSI Factor
Ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa hili na nimefikia uamuzi wa kuandika hapa kwakuwa nimeona wadau wengi wakitoa maoni ambayo kweli yanaonyesha kusaidia.
Tatizo langu ni dogo kwa wengine lakini kwangu kubwa sana. Mke wangu hana hamu ya tendo la ndoa na inakuwa vigumu kuweza kumlazimisha tufanye tendo hilo kwani najiona kama namwonea. Mimi nakuwa na ashki sana lakini sina jinsi hivyo nalazimika kuvumilia. Sijafikiria kutoka nje ya ndoa kwani sidhani kuwa hili litakuwa suluhisho la tatizo langu.
Kabla hajajifungua hali ilikuwa nzuri (kiasi) lakini baada ya kujifungua mtoto wa kwanza tu, hali imekuwa mbaya sana. Hana hamu kabisa, hata ninapojitahidi kumwandaa anaamua kuruhusu tufanye tu ili mradi niridhike.
Tuna watoto wawili, wote wa kike.
Tofauti na hili, sina tatizo jingine kwenye ndoa lakini kama sijajitutumua naweza kukosa tendo hili muhimu hata kwa mwaka kwakuwa yeye haoni umuhimu wake sana.
Anatambua tatizo hili, tumelijadili mara kadhaa lakini hatujajua ni daktari gani tumwendee na dawa gani zaweza kutumika.
Nampenda mke wangu, namwonea huruma kwa hali hii na naamini huenda siku moja nikapata tiba ya tatizo hili. Wenzangu mmewahi kukumbana na hali hii? Mliikabili vipi? Kuna dawa? Kuna daktari?
#5:
Ushauri wa wadau:Habari za leo wana JF. Natumaini hamjambo wote.
Ndugu zangu naombeni ushauri. Mimi nina miaka 2 kwenye ndoa yangu. Tumepata mtoto mmoja. Mke tangu mwanzo alikuwa ni mtu mwenye kuyaweza mambozi kweli kweli. Lakini tangu nilipoanza kazi za migodini, nikirudi likizo nimekuwa nikiona mke wangu haoneshi kuwa na hamu ya kukutana na mimi kana kwamba tulikuwa wote muda wote. Pia ukifanya majambozi nagundua kuwa ishu yake imelegea, ina maji maji kibao tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa tight, kavu tena ya moto; haoneshi ushirikiano wakati wa majambozi.
Nilipomuulika akaanza kudai o mara unajua nakuwa na mawazo juu ya nyumbani mara oh unajua mtoto ananinyonya sana.
Nakuwa na wasiwasi huenda anachakachuliwa.
Naomba ushauri jamani.
Soma hii post: http://www.jamiiforums.com/jf-doctor...ml#post4104552
Low libido
Libido naturally diminishes as men age. Testosterone, the hormone primarily responsible for sex drive, begins to decline in the body by about 1 percent every year beginning around the age of 30. This is perfectly natural, though healthy men can take steps to boost libido at virtually any time in life. “There is no age beyond which sex drive is not possible or therapeutically helpful,” says Dr. David Plourd of the Naval Medical Center in San Diego.
However, a drooping libido can also indicate an unhealthy body or mind. Most notably, low testosterone is a symptom of excess body fat, since fat both inhibits testosterone production and breaks down testosterone already in the system. Depression, anxiety and stress can each reduce libido, as can excessive alcohol intake.
Note that sexual drive and erections are discrete physiological matters: Libido is determined by testosterone, while erections are dependent on blood flow and nerve sensitivity.
Possible indications:
- Obesity
- Diabetes
- Mumps
- Tumors on pituitary or hypothalamus
- Excessive alcohol intake
- Sedentary lifestyle
- Depression
- Anxiety
- Stress
What to do:
- Improve your diet and exercise
- Reduce abdominal fat
- Consider talking to a shrink
- Get a blood test
For men with little sexual desire it is sometimes enough to have one or a few conversations in which they can express their feelings and ask questions about the extent to which their situation is abnormal.
Counselling about reduced desire in stressful situations like death, unemployment, disease of the partner or stress at work can be sufficient. If all sexual interest has disappeared, and there is no masturbation either, the hormonal regulation should be examined. When anomalies in this are found, medication can be prescribed.
There are no standard treatments for a reduced interest in sex. Depending on the causes of the complaints a treatment will be set up. Physical causes are also treated depending on the cause. The lack of interest in making love due to certain medication is treated by using other medication or another dose. Psychological causes can best be determined and treated by a sexologist.
Psychotherapy, which studies and treats the psychological causes, can be important in this. It is important to understand that thoughts often go through the mind while making love which negatively influence the interest in sex. Social influences, e.g relation problems, stress at work, etc. are treated by relation therapy or psychotherapy. A sexologist can use different forms of therapy to determine and possibly influence the thoughts about sex.

Reply With Quote

:
Chaguo ni lako.
Follow Us Here