Re: Kuishiwahamu

By
shejele
Hiki kizazi cha karne hii sijui kina matatizo gani!
Ni kitu gani kilikusukuma hadi ukaingia kwenye hiyo ndoa? Kwa mana inawezekena kuna kitu ulikuwa unapata ama ulitaraji kupata kwa bahati mbaya sana hakipo,then ukajikuta unajenga chuki.
Vinginevyo ningekuwa wewe ningesafiri hata kwa mwezi then nikirudi niangalie kama kutakuwa na mabadiliko yeyote kuliko kumfanyanyia maudhi mwenzako.
Haumtendei haki kabisa.
kuna rafiki yangu 1 aliolewa coz jamaa yake alikuwa na gari /nyumba/na pesa nyingi, walifahamiana kwa miezi 3 tu wakafunga ndoa, kumbe mkaka ana mke na watoto kwao musoma, mwanaume ni kumpiga mpaka mdada analazwa, akajiondokea ndoa ikiwa na miezi 5 tu.
Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING
Follow Us Here