Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

    Report Post
    Page 2 of 18 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 348
    1. #1
      Mrs Mtaba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st January 2009
      Location : Denmark
      Posts : 104
      Rep Power : 547
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Red face Kupungua au kukosa hamu ya kufanya mapenzi (low sexual libido or loss of libido)

      #1:
      Za leo wandugu, naomba kuuliza na kutaka kujua.

      Mimi niko kwenye ndoa ya kama miaka 2 sasa. Kwa kweli imekuwa na furaha zake pia ni vikwanzo vingi. Imefikia sasa mimi najishangaa sana kuwa nimeishiwa hamu kabisa na mme wangu na ninamuona mbaya sana. Nakaa na kujiuliza ilikuwaje mpaka nikaolewa nae.

      Namefikia hatua yakufanya mambo ili nimuudhi aniache tuu.

      Sijui sasa nifanye nini zaidi cha kumuudhi, nisaidieni.

      #2:
      Quote By Najuah
      Natumaini wote ni wazima wa afya inshalaah.

      Kwa kifupi Nina rafiki yangu mpendwa (Msichana) ana tatizo ambalo kwa kweli mi sijui hata nimsaidiaje, ni meona si vibaya kuliweka hewani tukasaidiana mawazo.

      Ni binti mwenye umri wa miaka 23 tatizo lake kubwa hajawahi katika maisha yake yote toka avunje ungo kujiskia hamu ya kufanya mapenzi. Ana mpenzi ila mara nyingi wakiwa faragha huwa kama anamfurahisha mwezake kwa sababu hana anacho jiskia hata aguswe wapi. Mara ya kwanza kunieleza mi nilimshauri aende hospitali akaonane na dakatari wa wanawake huenda Homoni za kike zikawa zimepungua au akagundulika tatizo lingine lolote linalo weza kusababisha hiyo hali; Nashukuru Mungu kwani alinisikiliza na kwenda hospitali ya regency ila majibu yalipo toka alionekana kila kitu kiko normal.

      Sasa sijui hata nimsaidiaje coz kuna kipindi nilimuuliza kama huwa anaota ndoto za mapenzi mara kwa mara kwa sababu nilisha wahi kusikia hata kusoma kwenye vitabu kuwa kama una Jini Mahaba basi kuna uwezekano hali kam yake ikajitokeza; ila ilinihakikishia kuwa hajawahi hata siku mwoja kuota ndoto za namna hiyo. Jamaa yake anampenda sana na hivi majuzi jamaa ansema anataka kuja kutoa posa ili ajichukulie jumla jumla anahisi atateseka sana kwenye ndoa coz hata pata hiyo raha ya chakula cha ndoa.

      Naomba tumsaidie jamani afanyaje??
      #3:
      Quote By Brandon
      Habari za kazi wandugu,

      nipo tutani naomba msaada wenu ili niweze kumfurahisha mpenzi wangu. Lately nimekuwa sina hamu ya kufanya mapenzi kabisa hata nikifanya nakuwa natimiza wajibu tu ili mwenzangu asijisikie kua simjali coz ananipenda sana na ninampenda sana. Nifanyaje ili niweze pata hamu na kufurahia mapenzi?

      Asanteni sana.
      #4:

      Quote By PSI Factor
      Ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa hili na nimefikia uamuzi wa kuandika hapa kwakuwa nimeona wadau wengi wakitoa maoni ambayo kweli yanaonyesha kusaidia.

      Tatizo langu ni dogo kwa wengine lakini kwangu kubwa sana. Mke wangu hana hamu ya tendo la ndoa na inakuwa vigumu kuweza kumlazimisha tufanye tendo hilo kwani najiona kama namwonea. Mimi nakuwa na ashki sana lakini sina jinsi hivyo nalazimika kuvumilia. Sijafikiria kutoka nje ya ndoa kwani sidhani kuwa hili litakuwa suluhisho la tatizo langu.

      Kabla hajajifungua hali ilikuwa nzuri (kiasi) lakini baada ya kujifungua mtoto wa kwanza tu, hali imekuwa mbaya sana. Hana hamu kabisa, hata ninapojitahidi kumwandaa anaamua kuruhusu tufanye tu ili mradi niridhike.

      Tuna watoto wawili, wote wa kike.

      Tofauti na hili, sina tatizo jingine kwenye ndoa lakini kama sijajitutumua naweza kukosa tendo hili muhimu hata kwa mwaka kwakuwa yeye haoni umuhimu wake sana.

      Anatambua tatizo hili, tumelijadili mara kadhaa lakini hatujajua ni daktari gani tumwendee na dawa gani zaweza kutumika.

      Nampenda mke wangu, namwonea huruma kwa hali hii na naamini huenda siku moja nikapata tiba ya tatizo hili. Wenzangu mmewahi kukumbana na hali hii? Mliikabili vipi? Kuna dawa? Kuna daktari?

      #5:
      Quote By Bugota
      Habari za leo wana JF. Natumaini hamjambo wote.

      Ndugu zangu naombeni ushauri. Mimi nina miaka 2 kwenye ndoa yangu. Tumepata mtoto mmoja. Mke tangu mwanzo alikuwa ni mtu mwenye kuyaweza mambozi kweli kweli. Lakini tangu nilipoanza kazi za migodini, nikirudi likizo nimekuwa nikiona mke wangu haoneshi kuwa na hamu ya kukutana na mimi kana kwamba tulikuwa wote muda wote. Pia ukifanya majambozi nagundua kuwa ishu yake imelegea, ina maji maji kibao tofauti na mwanzo ambapo ilikuwa tight, kavu tena ya moto; haoneshi ushirikiano wakati wa majambozi.
      Nilipomuulika akaanza kudai o mara unajua nakuwa na mawazo juu ya nyumbani mara oh unajua mtoto ananinyonya sana.

      Nakuwa na wasiwasi huenda anachakachuliwa.

      Naomba ushauri jamani.
      Ushauri wa wadau:

      Soma hii post: http://www.jamiiforums.com/jf-doctor...ml#post4104552

      Quote By matambo
      Low libido

      Libido naturally diminishes as men age. Testosterone, the hormone primarily responsible for sex drive, begins to decline in the body by about 1 percent every year beginning around the age of 30. This is perfectly natural, though healthy men can take steps to boost libido at virtually any time in life. “There is no age beyond which sex drive is not possible or therapeutically helpful,” says Dr. David Plourd of the Naval Medical Center in San Diego.

      However, a drooping libido can also indicate an unhealthy body or mind. Most notably, low testosterone is a symptom of excess body fat, since fat both inhibits testosterone production and breaks down testosterone already in the system. Depression, anxiety and stress can each reduce libido, as can excessive alcohol intake.

      Note that sexual drive and erections are discrete physiological matters: Libido is determined by testosterone, while erections are dependent on blood flow and nerve sensitivity.

      Possible indications:
      • Obesity
      • Diabetes
      • Mumps
      • Tumors on pituitary or hypothalamus
      • Excessive alcohol intake
      • Sedentary lifestyle
      • Depression
      • Anxiety
      • Stress

      What to do:
      • Improve your diet and exercise
      • Reduce abdominal fat
      • Consider talking to a shrink
      • Get a blood test
      Quote By Kiroroma
      For men with little sexual desire it is sometimes enough to have one or a few conversations in which they can express their feelings and ask questions about the extent to which their situation is abnormal.

      Counselling about reduced desire in stressful situations like death, unemployment, disease of the partner or stress at work can be sufficient. If all sexual interest has disappeared, and there is no masturbation either, the hormonal regulation should be examined. When anomalies in this are found, medication can be prescribed.

      There are no standard treatments for a reduced interest in sex. Depending on the causes of the complaints a treatment will be set up. Physical causes are also treated depending on the cause. The lack of interest in making love due to certain medication is treated by using other medication or another dose. Psychological causes can best be determined and treated by a sexologist.

      Psychotherapy, which studies and treats the psychological causes, can be important in this. It is important to understand that thoughts often go through the mind while making love which negatively influence the interest in sex. Social influences, e.g relation problems, stress at work, etc. are treated by relation therapy or psychotherapy. A sexologist can use different forms of therapy to determine and possibly influence the thoughts about sex.
      AshaDii likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Mrs Mtaba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st January 2009
      Location : Denmark
      Posts : 104
      Rep Power : 547
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Mama
      Ilikuwaje hadi ukaolewa nae pengine kutokana na mfumo katika jamii zetu kwamba wanawake hawana choice, unasubiri atakaye kutafuta.

      Mwanaume wa kwanza anakutest akiona hufai anakuacha, wakikutest wawili watatu utaitwa malaya! Mwanaume hata akiwa nao kumi na sita, yeye ni kidume cha mbegu!

      Ushauri: wala usimuudhi mwenzio, ondoka kama ifuatavyo ukachezewe na wanaume wengine. Hakuna mwanaume mzuri isipokuwa yule responsible na anayekujali kwa shida na raha; na hakuna mapenzi ila yaende compatibility, ila huyu mliye compatible kumpata ndio kasheshe.
      Ushauri mzuri, asante sana mama.

    4. #22
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Question Re: Kuishiwahamu

      Sasa mtatukisha ambao hatujaoa au mnataka tubaki ka mwanaFA 'bado nipo nipo'' maada yako inatatanisha kidogo kitendo cha kumchukia tu mumeo bila sababu labda wataalamu kama wanasa technical advive ila mimi kinanipa shida kidogo. kama mplipendana vizuri mwanzo na hakukuwa na material thing 'yaani hukumpendea kitu fulani ambacho sasa hakipo' si rahisi kumchukia bila sababu may be kama ameanza tabia furani ambayo huipendi ila kama jamaa hanatatizo then there is something wrong with you.

      Nakushauri mrudie Mungu wako na muombe Mungu wako alejeshe furaha ndani ya ndoa yako.

    5. #23
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Mrs Mtaba
      Kwa kweli imekuwa na furaha zake pia ni vikwanzo vingi. Imefikia sasa mimi najishangaa sana kuwa nimeishiwa hamu kabisa na mme wangu na ninamuona mbaya sana. Nakaa na kujiuliza ilikuwaje mpaka nikaolewa nae.
      Wewe ni dini gani?
      Moola's the motive

    6. BAK
      #24
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,626
      Rep Power : 44970
      Likes Received
      8376
      Likes Given
      8355

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      Inaelekea ulikuwa na mchecheto tu wa kuolewa na hukuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo mwanaume. Haiwezekani uwe umemchoka mumeo baada ya miaka miwili tu ya ndoa. Je ulilazimishwa kuolewa naye labda na wazazi, ndugu au marafiki? Kabla ya kuoana mlikuwa marafiki kwa muda gani?

      Humfanyii haki huyo baba kwa kumfanyia visa ili akuache, na wakati huo huo yeye si ajabu anakupenda kwa moyo wake wote. Mwambie ukweli badala ya kumpotezea muda wake ili atafute mke mwingine ambaye atakuwa na mapenzi ya kweli kwake.
      Amyner likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    7. #25
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,568
      Rep Power : 23554
      Likes Received
      6989
      Likes Given
      11340

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      Hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe. Mbingu ulizotamani naona zimegeuka jehanamu ndani ya miaka 2. Hili si tatizo lako peke yako, linawapata wengi. Shida ni njia unazotaka kutumia kulimaliza. Yaani inaonekana humfikirii hata kidogo mume wako. Labda utwambie umepata mtaalamu zaidi yake.

      Hata hivyo uzuri wa kitu uonekana unapokikosa. Nakushauri ujipe likizo kidogo mbali na mume wako (kama mieizi 1-2) ili ufanye tafakuri kama kweli mume wako ana kitu chocho kinachokufaa. Kwa lolote utakalofanya (kubaki au kuondoka), naamini utajutia uamuzi wako tu! La muhimu ni kuchukua tahadhari ili kiwango cha majuto kisiwe kikubwa sana ambacho kinaweza kukusababishia madhara makuwa kiafya au kisaikolojia.

      Nakutakia kila la heri dadangu; ila ujue dunia ni duara, ukizunguka utarudi ulikoanzia (kama utafanikiwa kuimaliza safari)!!

    8. Miaka 50

    9. #26
      KiuyaJibu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2007
      Location : DSM
      Posts : 528
      Rep Power : 705
      Likes Received
      20
      Likes Given
      4

      Default Re: Kuishiwahamu

      Ninachoona hapa ni kukosa hamu basi nitumie message(PM) ili tuende faragha nikupatie hamu kwasababu kila mtu mwenye akili timamu anahitaji kufurahi.Kama kweli unachosema ndiyo unachokimaanisha nitakuwa tayari kukusaidia.
      Nafikiri utakuwa umenisoma.

    10. #27
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      Pole sana kwa hali uliyonayo, ila nashindwa kuelewa Unaomba JF wakupe mbinu za Kuachana na Mume wako au Unaomba JF wakupe ushauri na Experince ili uweze kurudisha hali ya Utulivu katika ndoa yako? Unajua Ndoa ni Ndoani, kama ni Mkristo hicho ni Kifungu cha Maisha kwa hiyo ushauri wangu badala ya Kuzunguka na Kutafuta Mbinu za Kumuacha Mumeo ni bora kujiuliza nini tatizo na utafute suluhisho la Ndoa yenu! Sidhani kama kuna Member atakayekuambia Fanya hivi au vile ili Mumeo akuache, Don’t be selfish ni lazima umfikrie na mwenzako the way atakavyoumia.

      Kama kuna kidume kinachokuzingua elewa kinafanya hivyo jaust because uko na mume wako na hakiataki responsibilities, siku mume wako akikumwaga na Hicho kidume chako nacho kitakumwaga na hapo ndipo kutakapokuwa na kilio cha Kusga na Meno!
      Elewa kwamba suala la Ndoa ni responsibility yenu wote na si mume tu

      Asante
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    11. #28
      Nyamayao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2009
      Location : Njoro
      Posts : 6,325
      Rep Power : 3067
      Likes Received
      1538
      Likes Given
      1243

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      inatokeaga sana hiyo, mie wakati nina mikwaruzano na mr nilikuwa sina hamu nae hata kidogoo, tulipoweka mambo sawa still nikawa bado sana, nilikuwa nafanya kama wajibu tu sio kimapenzi, si feel lolote najisemea amalize niendelee na mambo yangu mengine.....!hapo sasa yeye ndio ana mapenzi na wewe haswaa, huku wewe ndio walaaa akikugusa unatamani umzabe vibao...

      haaa kazi kweli!, mie nakushauri usivunje ndoa yako, jitahidi sana kurudi kama awali japo ni ngumu but ma dia usivunje ndoa yako.
      FirstLady1 likes this.
      Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING

    12. #29
      Nyamayao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2009
      Location : Njoro
      Posts : 6,325
      Rep Power : 3067
      Likes Received
      1538
      Likes Given
      1243

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By shejele
      Hiki kizazi cha karne hii sijui kina matatizo gani!
      Ni kitu gani kilikusukuma hadi ukaingia kwenye hiyo ndoa? Kwa mana inawezekena kuna kitu ulikuwa unapata ama ulitaraji kupata kwa bahati mbaya sana hakipo,then ukajikuta unajenga chuki.

      Vinginevyo ningekuwa wewe ningesafiri hata kwa mwezi then nikirudi niangalie kama kutakuwa na mabadiliko yeyote kuliko kumfanyanyia maudhi mwenzako.

      Haumtendei haki kabisa.

      kuna rafiki yangu 1 aliolewa coz jamaa yake alikuwa na gari /nyumba/na pesa nyingi, walifahamiana kwa miezi 3 tu wakafunga ndoa, kumbe mkaka ana mke na watoto kwao musoma, mwanaume ni kumpiga mpaka mdada analazwa, akajiondokea ndoa ikiwa na miezi 5 tu.
      FirstLady1 likes this.
      Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD....TIMING

    13. #30
      AndrewMwanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Posts : 37
      Rep Power : 535
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuishiwahamu

      naona hajatumia misingi ya ndoa iapsavyo kama inavyoelekeza na dini zetu pia na mila zetu.

      tafuta sababu kwanini unajisikia hivyo wakati ulikuwa na hamu na mume wako mwanzoni mwa ndoa yetu,inawezekana unamatatizo kibioligia.

      jaribu kuwaona watalaamu wa psycholojia na maradha ya kina mama.

      Pole sana

    14. Mbu
      #31
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Kuishiwahamu

      ...it's obvious hata wachangiaji wa JF wamegawanyika makundi mawili. Kundi la mwanzo Wanawake, wana empathy na mwenzao, na wengi wao wanakubaliana naye lipo hilo tatizo, na linapaswa kushughulikiwa hatua kwa hatua...

      Kundi la pili ambalo linajumuisha wachangiaji wanaume, wengi wao wamekuwa (pessimistic) negative na mawazo ya huyu bibie. Mmegundua tatizo ni nini?

      UKWELI!... kwenye maisha ya ndoa/mahusiano hakuna jambo la busara kama kuukubali ukweli. Ukweli hauna Imani ya dini, umri, wala kabila... Ukweli unabakia Ukweli...

      Wanaume tuukubali ukweli, hasa inapofikia suala la kujiuliza kwenye mahusiano ya ndoa, sie wanaume tunachangia kwa kiasi gani kupunguza hamu ya Mapenzi yalokuwepo awali na better halves wetu, sio kutoa kashfa, ukali na vitisho as if mwanamke hana haki ya Kulalamikia haki yake.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    15. #32
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,261
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9628
      Likes Given
      685

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Mbu
      ...it's obvious hata wachangiaji wa JF wamegawanyika makundi mawili. Kundi la mwanzo Wanawake, wana empathy na mwenzao, na wengi wao wanakubaliana naye lipo hilo tatizo, na linapaswa kushughulikiwa hatua kwa hatua...

      Kundi la pili ambalo linajumuisha wachangiaji wanaume, wengi wao wamekuwa (pessimistic) negative na mawazo ya huyu bibie. Mmegundua tatizo ni nini?

      UKWELI!... kwenye maisha ya ndoa/mahusiano hakuna jambo la busara kama kuukubali ukweli. Ukweli hauna Imani ya dini, umri, wala kabila... Ukweli unabakia Ukweli...

      Wanaume tuukubali ukweli, hasa inapofikia suala la kujiuliza kwenye mahusiano ya ndoa, sie wanaume tunachangia kwa kiasi gani kupunguza hamu ya Mapenzi yalokuwepo awali na better halves wetu, sio kutoa kashfa, ukali na vitisho as if mwanamke hana haki ya Kulalamikia haki yake.
      Na vipi wanawake nao, maana kuna wengi tu ambao hutoka nje ya ndoa zao kwa visingizio kibao visivyo vya msingi. Wanaume na wenyewe wana haki ya kulalamika?

      Haya ya kusema sijui wanaume tuko hivi au vile na tukubali ukweli si kuwatendea haki wale wanaume wanaoheshimu marriage vows zao. Itakuwa busara kuchukulia kila mtu au kila tatizo la ndoa on a case by case basis na kuacha broad generalization.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #33
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,716
      Rep Power : 1288
      Likes Received
      497
      Likes Given
      175

      Default Re: Kuishiwahamu

      Hayo ndo mambo ya kulazimisha mapenzi kwa sababu ya fedha au sifa au umaarufu, na mwisho wake nature inakuja kuchukua mkondo,
      lakini tatizo kubwa hapo ni kupotezeana muda na usumbufu wa kisaikolijia utakao mpa mwwenzio kutokana na alivyokupenda wewe, pia kutakuwa na mtazamo ambao sidhani kama utakuwa wa heshima kama mlizokuwa nazo wakati mpo wawili, watu watajaji wanavyofiria na heshima kwa kiasi fulani itapungua, wengine watasema mama alikuwa kicheche mara mzee jogoo awiki ili mradi mtakuwa sio sio tu

    17. #34
      Killuminati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2007
      Location : Duniani
      Posts : 305
      Rep Power : 679
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Kituko
      Hayo ndo mambo ya kulazimisha mapenzi kwa sababu ya fedha au sifa au umaarufu, na mwisho wake nature inakuja kuchukua mkondo,
      lakini tatizo kubwa hapo ni kupotezeana muda na usumbufu wa kisaikolijia utakao mpa mwwenzio kutokana na alivyokupenda wewe, pia kutakuwa na mtazamo ambao sidhani kama utakuwa wa heshima kama mlizokuwa nazo wakati mpo wawili, watu watajaji wanavyofiria na heshima kwa kiasi fulani itapungua, wengine watasema mama alikuwa kicheche mara mzee jogoo awiki ili mradi mtakuwa sio sio tu
      ...true man!...na point ya ukicheche..teh teh teh
      Who feels it, knows it

    18. #35
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,313
      Rep Power : 811
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: Kuishiwahamu

      Huwa nafurahia sana mabo ya kijinga ya wanwake. Wewe umchoke mwenzako halafu ili usipate aibu unachokoza ili uachwe? Hongereni

    19. #36
      Mrs Mtaba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st January 2009
      Location : Denmark
      Posts : 104
      Rep Power : 547
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Bazazi
      Huwa nafurahia sana mabo ya kijinga ya wanwake. Wewe umchoke mwenzako halafu ili usipate aibu unachokoza ili uachwe? Hongereni
      Hivi ngoja nikuulize, unaweza kumwambia mkeo aende nje akatafute wanaume kwa sababu amedai unyumba ambao unampaga kama dawa ya surua na pale wewe utakapo!

      Ok mke ulipomwambia hivyo akajinyamazia kimya bila ungomvi wowote, akawa anasubiria mpaka hamu yako itakapokupanda uende kuomba mambo. Then ukifika unaanza kumshikashika kama vile hutaki, na yeye anakuambia hana hamu. Kwa uselfish wako unajiinukia nakuondoka zako. Hivi kwa maneno hayo au matendo yaho utaendelea kumpenda huyu mtu wala kumtamani.

      Tuwe wakweli jamaa tuache unafiki, maana mpaka kufikia hapa ujue maji yamefika shingoni.

    20. #37
      AljuniorTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2009
      Location : AFRICA
      Posts : 546
      Rep Power : 638
      Likes Received
      6
      Likes Given
      15

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      Please think positive, ndoa ni lulu. Ni bora mara elfu ushukuru upo ndni ya ndoa, kuna wengine wanatamani waolewe but Mungu mwingi wa Rehma hajawawezesha. Nakupa ushauri wa bure tuuu; tafuta nafasi tulivu kabisa ikiwezekana fanya mtoko rasmi wa kuwa mbali na hapo kwenu then fikiria yafuatayo: -

      1. Ni kitu gani hasa huyo mheshimiwa wako alikuvutia nacho hadi mkakokotana ktk ndoa?
      2. Ni kweli mnapendana kwa dhati au mnadanganyana?
      3. Fikiria ni mambo gani mlikuwa mnayafanya kwa pamoja wkt uleee b4 hamjakula kiapo cha kuwa pmj daima milele, je kwasasa yapo au yameisha?
      4. Pia nakushauri muwe wapya kila mara ktk ndoa yenu, jaribu japo kubadilisha mpangilio wa fenicha ktk nyumba yenu, nunulianeni kadi, mtoke pmj japo knd kanisani n.k

      Yapo mambo mengi ya kufikiria b4 kuuamua kuachwa, ukishaachwa nini kitafuata? Nahisi unajidanganya utakuwa mtu huru but 2 me that is negative attitude!!!!

      Mkumbuke Mungu wako na mtangulize kwa kila jambo then think b4 u act!!!!

      Tchao

    21. #38
      Chupaku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2008
      Posts : 761
      Rep Power : 693
      Likes Received
      78
      Likes Given
      25

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      nakushauri usichukue hatua ya kumuacha mumeo kwanza. Acha visa, tena unapomchokoza ndio mambo yanakuwa mabaya sana. Kuna ushauri umepewa nauunga mkono wa kuwa na muda peke yako na kutafakari yaliyojiri, hasa sababu ambazo zimepekea kufikia hapo. Ila nakuuliza:-

      Je una uhakika kabisa kabisa kuwa hauna mahusiano au haujavutiwa na mwanaume mwingine? Sema kweli kabisa.
      Mtoto wenu ana umri gani, na mabadiliko kwa mumeo umeyaona tangu lini?

      Ni siri iliyo wazi kuwa kama unaishi na mwanaume anakugusa gusa tu, hakufukuzii hata kama ni kwenye ndoa, hainogi kabisa, wanaume jifunzeni kwa KUKU na JOGOO.

      Don't go against nature. Marriage is not automatic.

    22. #39
      AljuniorTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2009
      Location : AFRICA
      Posts : 546
      Rep Power : 638
      Likes Received
      6
      Likes Given
      15

      Default Re: Kuishiwahamu

      Quote By Mrs Mtaba
      Hivi ngoja nikuulize, unaweza kumwambia mkeo aende nje akatafute wanaume kwa sababu amedai unyumba ambao unampaga kama dawa ya surua na pale wewe utakapo!

      Ok mke ulipomwambia hivyo akajinyamazia kimya bila ungomvi wowote, akawa anasubiria mpaka hamu yako itakapokupanda uende kuomba mambo. Then ukifika unaanza kumshikashika kama vile hutaki, na yeye anakuambia hana hamu. Kwa uselfish wako unajiinukia nakuondoka zako. Hivi kwa maneno hayo au matendo yaho utaendelea kumpenda huyu mtu wala kumtamani.

      Tuwe wakweli jamaa tuache unafiki, maana mpaka kufikia hapa ujue maji yamefika shingoni.

      Hilo ni kosa lako Anti, hukuwa wazi tangu ulipoanza luelezea mkasa wako. yaani hukusema yale yanayokufanya usiitamani tena ndoa yako. Je ushawahi kumuweka chini mkajadili tatizo nini why hapendi ku-sex nawe? je wewe ni tatizo au yeye? mumeo ni mlevi?

      Plaese fikiria sana hili: UPENDO WA KWELI UPO KATI YENU?

    23. #40
      Calnde's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2008
      Location : Still looking where to settle
      Posts : 1,367
      Rep Power : 815
      Likes Received
      251
      Likes Given
      148

      Default Re: Kuishiwahamu

      Mrs Mtaba,

      Kwanza inaonesha mmeoana umri ukiwa umeshasogea kidogo na inavyoonesha we ushapata mtu mwingine
      In the end will remember,not the words of our enemies but the silence of our friends.

    Page 2 of 18 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...