Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wajuzi hebu tusaidiane kwa hili

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Gilala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 363
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Wajuzi hebu tusaidiane kwa hili

      Nimekuwa nikisikia watu wakisema, kuwa mtu mwenye mimba hasa changa hatakiwi kunywa dawa chungu mf:ALOE VERA,MWAROBAINI nk. yaweza kusababisha mimba kuharibika.
      Hii imetokea kwa jirani yangu mkewe alikuwa na mimba ya miez3 ikaharibika, lakin baadae ikaja gundulika kuwa alilamba aloe vera kutokana na kichefu chefu kumpelekea kutaman kulamba vitu vichungu.

      Ombi langu naomba maelezo ya kina kuhusu hii ALOE VERA ambayo tumekuwa tukiitumia kama dawa kwa magonjwa mbali mbali. Inakuweje kugeuka tena na kuwa sumu kwa mtu mwenye mimba?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Gilala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 363
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wajuzi hebu tusaidiane kwa hili

      Oya mbona kimya?

    4. #3
      Nyukibaby's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 361
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Gilala
      Oya mbona kimya?
      ukiona kimya ujue hakuna mjuzi ngoja mti mkavu akuhelp!¿

    5. #4
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      331
      Likes Given
      58

      Default

      Quote By Gilala
      Oya mbona kimya?
      wameshaanza mgomo mkuu...

    6. #5
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,189
      Rep Power : 28902
      Likes Received
      11675
      Likes Given
      4819

      Default Re: Wajuzi hebu tusaidiane kwa hili

      Issue ni moja, ukiwa mjamzito usitumie kitu chochote pasipo kushauriana na dr wako.
      Kwa upande mwingine ni muhimu kuwa muangalifu na dozi ya dawa m'badala manake hapo ndipo mziki wote ulipo.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      ThePromise's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 202
      Rep Power : 401
      Likes Received
      41
      Likes Given
      3

      Default Re: Wajuzi hebu tusaidiane kwa hili

      Its true,kua aloevera pamoja na muarobaini ni tiba nzuri kwa magonjwa mengi,bt inalimitation zake,yaani haitakiwi itumiwe kwa wingi na isiwe mara kwa mara maana hzo dawa ni kali sana!mfano aloevera ikitumiwa kwa uwingi huunguza ini!pia hairuhusiwi hata kidogo kutumiwa na mjamzito!so its beta kwa mjamzito kutogusa dawa yoyote pasipo ushauri wa mtaalamu.
      MziziMkavu likes this.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...