Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuhusu dynapharm products and the like..

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default Kuhusu dynapharm products and the like..

      Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu jamani kabla sijaanza kutumia.....

    2. Miaka 50

    3. #2
      Evarm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : totoroni
      Posts : 1,012
      Rep Power : 736
      Likes Received
      270
      Likes Given
      26

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Quote By Dotowangu
      Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu jamani kabla sijaanza kutumia.....
      Mkuu ungetaja jina la/za madawa ulizopewa ungetusaidia wadau pa kuanzia!
      Dotowangu likes this.
      Simplicity is the ultimate sophistication

    4. #3
      white wizard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2011
      Posts : 477
      Rep Power : 500
      Likes Received
      114
      Likes Given
      12

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      mimi kuna jamaa yangu alikwenda pale wapo radio kurasini,napo kuna ofisi zao,wakampima kwa mitambo yao(computer) wakagundua matatizo kibao mwilini mwake!wakamuandikia hizo dawa zao kama za laki 3,cha ajabu hakuona hata unafuu wowote,hadi leo anajutia pesa yake.
      Dotowangu likes this.

    5. #4
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Quote By Dotowangu
      Habari zenu wana jf., nimepima afya kwa kutumia kifaa chao kinatumia magnetism,,report inaonesha nina magonjwa ingawa sio ya kutisha...daktari kaniandikia kutumia dawa zao ambazo ni ghali sana,. SWALI. kwa walio kwishatumia dawa hizi ni kweli hazina madhara ya papo hapo au baadae? Ushauri wenu jamani kabla sijaanza kutumia.....
      Search testimonials kwenye google
      Dotowangu likes this.

    6. #5
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Moony
      Search testimonials kwenye google
      inahusu nini mkuu?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Evarm
      Mkuu ungetaja jina la/za madawa ulizopewa ungetusaidia wadau pa kuanzia!
      majina ni chlorophyl, sea cucumber, green tea na kahawa mengine yana majina magum hayaandikik

    9. #7
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Quote By Dotowangu
      inahusu nini mkuu?
      Nina maana kuwa soma testimonials za wenzako waliopona ama kusaidiwa na madawa ya dynapharm.

      Chlorophyl inaondoa sumu na uchafu mwilini, sea cucumber inasaidia ukuaji wa tissues na kuhamasisha mgawanyo wa cells na kusaidia kupona vidonda na green tea hurekebisha mfumo mzima wa kukinga maradhi au immune system.
      Kwa ujumla hii ni ile tiba mbadala.
      Dotowangu likes this.

    10. #8
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Moony
      Nina maana kuwa soma testimonials za wenzako waliopona ama kusaidiwa na madawa ya dynapharm.

      Chlorophyl inaondoa sumu na uchafu mwilini, sea cucumber inasaidia ukuaji wa tissues na kuhamasisha mgawanyo wa cells na kusaidia kupona vidonda na green tea hurekebisha mfumo mzima wa kukinga maradhi au immune system.
      Kwa ujumla hii ni ile tiba mbadala.
      asante mkuu...hivi inabidi niwe nabugia haya madawa mara kwa mara au ukishamaliza dozi ndo mwisho?

    11. #9
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Quote By Dotowangu
      asante mkuu...hivi inabidi niwe nabugia haya madawa mara kwa mara au ukishamaliza dozi ndo mwisho?
      Utatumia chlorophyll na nyingine za kutoa sumu kwa mwezi mmoja halafu unapumzika bila kutumia madawa hayo kwa wiki tatu au zaidi then unaanza kutumia virutubisho vingine kwa mwezi mzima au mitatu, kutegemeana na matatizo yako.

      Mamangu alipona na anaonekana kijana zaidi baada ya kutumia.

    12. #10
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Moony
      Utatumia chlorophyll na nyingine za kutoa sumu kwa mwezi mmoja halafu unapumzika bila kutumia madawa hayo kwa wiki tatu au zaidi then unaanza kutumia virutubisho vingine kwa mwezi mzima au mitatu, kutegemeana na matatizo yako.

      Mamangu alipona na anaonekana kijana zaidi baada ya kutumia.
      asante mkuu....vipi kuhusu side effects make kiwango ninachotakiwa kubugia ni kikubwa kama vidonge 40 kwa siku......

    13. #11
      TECHMAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Location : TRIPOL
      Posts : 815
      Rep Power : 568
      Likes Received
      192
      Likes Given
      430

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Pamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu dawa mbadala kuhusu utendaji wake wa kazi. mitazamo na matarajio ya watu na uharaka wa kupata outcome haraka umeweka maswali mengi kwa watu.

      Kwa uhalisia si sahihi kuziita hizi ni dawa kwasababu ki asili haziponyi kama watu wanavyo fikiri. sasa nini kanacho fanyika?

      Kwa kawaida miili yetu imeumbwa kwa mifumo yake maalum kwa ajili ya kupambana na vijidudu vya magonjwa na mifumo inayotoa taarifa pindi panapo kuwa na hitilafu katika mfumo fulani katika mwili. Kutokana na mfumo wa maisha na vyakula tunavyokuala ambavyo asilimia kubwa ni sumu mfano soda, sukari, juice za viwandani, hamira zitumikazo kutengeneze mikati na vitafunwa vingine, madawa tunayotumia tuumwapo, moshi wa magari n.k. Yote haya yameondoa mfumo wa miili yetu kujilinda yenyewe.

      Tunapokunywa dawa za hospitalini, Tunasimamisha ugonjwa usiendelee (sio kuponya). Inawezekana ugonjwa ukatoka au ukabaki pale pale lakini umesitishwa na hautasikia dalili za kuumwa, Dawa hizi za hospitali zikisha maliza kazi yake zinaacha vile vibebeo vyake ambavyo vinabaki kama sumu mwilini. mfano ili kuua vijidudu vya malaria inabidi unywe dawa ya malaria ambayo ki uhalisia ni sumu ya kuwauwa hao vijidudu, sasa ilesumu ikabaki mwili kisha ukaugua tena, ukanywa dawa hiyo kisha tena na tena? sumu ina baki nyingi mwilini.

      Kinachoitwa dawa mbadala ni vyakula na matunda pamoja na viungo vya asili ambavyo havija haribiwa na madawa ya kisasa. Mwili unapopata hivi unajikarabati wenye na kuamsha ile kinga yake ya asili. Sasa inategea wewe kama mgonjwa umeathirika na ugonjwa wako kiasi gani, na umetumia dawa za kisasa kwa muda gani. Kwa mfano itakuhijaji ule tangawizi kila siku kwa miaka mitano au saba uli kuamsha sehemu fulani ya mfumo wa mwili kuwa nomo, sasa hii itakuwa ni muda mrefu.

      INAKUWA HIVI: Wataalamu wa dawa mbadala wanachukua tangawizi na kuindaa kama kidonge au dawa ya maji ambayo vipimo vyake ni sawa na kula idadi fulani ya tangawizi kwa miaka kadhaa. Ukiweza kutumia dawa hizo kwa kiwango na muda uliopewa na utaratibu na masharti, ukawa mvumilivu wa muda, mfumo wa mwili utakurudi katika uhalisia wake na kupambana na ugonjwa wako.



      Tatizo kwa watu wengi ni MUDA.
      Dotowangu likes this.

    14. REX
      #12
      REX's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Location : KCMC-MOSHI
      Posts : 182
      Rep Power : 397
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Ushauri!,kabla haujatumia hivyo virutubisho jaribu kufuatililia kwa makin sana kampun hizo na ufanye uamuz wako.kampun nyingine vitu vyao vina madhara tena makubwa tu.
      Dotowangu likes this.

    15. #13
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By TECHMAN
      Pamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu dawa mbadala kuhusu utendaji wake wa kazi. mitazamo na matarajio ya watu na uharaka wa kupata outcome haraka umeweka maswali mengi kwa watu.

      Kwa uhalisia si sahihi kuziita hizi ni dawa kwasababu ki asili haziponyi kama watu wanavyo fikiri. sasa nini kanacho fanyika?

      Kwa kawaida miili yetu imeumbwa kwa mifumo yake maalum kwa ajili ya kupambana na vijidudu vya magonjwa na mifumo inayotoa taarifa pindi panapo kuwa na hitilafu katika mfumo fulani katika mwili. Kutokana na mfumo wa maisha na vyakula tunavyokuala ambavyo asilimia kubwa ni sumu mfano soda, sukari, juice za viwandani, hamira zitumikazo kutengeneze mikati na vitafunwa vingine, madawa tunayotumia tuumwapo, moshi wa magari n.k. Yote haya yameondoa mfumo wa miili yetu kujilinda yenyewe.

      Tunapokunywa dawa za hospitalini, Tunasimamisha ugonjwa usiendelee (sio kuponya). Inawezekana ugonjwa ukatoka au ukabaki pale pale lakini umesitishwa na hautasikia dalili za kuumwa, Dawa hizi za hospitali zikisha maliza kazi yake zinaacha vile vibebeo vyake ambavyo vinabaki kama sumu mwilini. mfano ili kuua vijidudu vya malaria inabidi unywe dawa ya malaria ambayo ki uhalisia ni sumu ya kuwauwa hao vijidudu, sasa ilesumu ikabaki mwili kisha ukaugua tena, ukanywa dawa hiyo kisha tena na tena? sumu ina baki nyingi mwilini.

      Kinachoitwa dawa mbadala ni vyakula na matunda pamoja na viungo vya asili ambavyo havija haribiwa na madawa ya kisasa. Mwili unapopata hivi unajikarabati wenye na kuamsha ile kinga yake ya asili. Sasa inategea wewe kama mgonjwa umeathirika na ugonjwa wako kiasi gani, na umetumia dawa za kisasa kwa muda gani. Kwa mfano itakuhijaji ule tangawizi kila siku kwa miaka mitano au saba uli kuamsha sehemu fulani ya mfumo wa mwili kuwa nomo, sasa hii itakuwa ni muda mrefu.

      INAKUWA HIVI: Wataalamu wa dawa mbadala wanachukua tangawizi na kuindaa kama kidonge au dawa ya maji ambayo vipimo vyake ni sawa na kula idadi fulani ya tangawizi kwa miaka kadhaa. Ukiweza kutumia dawa hizo kwa kiwango na muda uliopewa na utaratibu na masharti, ukawa mvumilivu wa muda, mfumo wa mwili utakurudi katika uhalisia wake na kupambana na ugonjwa wako.



      Tatizo kwa watu wengi ni MUDA.
      nakushukuru sana mkuu....

    16. #14
      Dotowangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 242
      Rep Power : 428
      Likes Received
      66
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By REX
      Ushauri!,kabla haujatumia hivyo virutubisho jaribu kufuatililia kwa makin sana kampun hizo na ufanye uamuz wako.kampun nyingine vitu vyao vina madhara tena makubwa tu.
      asante kwa ushauri.....mi natrgemes kutumia productd za dynapharm..

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Naomba useme ni dawa gani umeambiwa utumie maana kuna dawa nyingi za dynapharm kama chlorophyll,tongkat al,sea cumbe,man cream,red coffe,garnoderma coffee,seucumber,body contour cream. Ziko nyingi sana sema nitakushauri na uniambie umepimia kituo gani kama uko dar au morogoro.

    18. #16
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Kuhusu dynapharm products and the like..

      Quote By Dotowangu
      asante mkuu....vipi kuhusu side effects make kiwango ninachotakiwa kubugia ni kikubwa kama vidonge 40 kwa siku......
      Waone wataalamu wa Dynapharm na wala si wale wauzaji watakueleza vizuri. kila kitu kina side effect nzuri ama mbaya kama ilivyo SEX.

      Pia dawa zao huwa na reaction ambazo mara nyingi huwa ni dalili za 'healing crisis'

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...