Wadau kwikwi imenikamata......zaid ya saa nzima
Wadau kwikwi imenikamata......zaid ya saa nzima
Nitumie nini iishe???
Kunywa maji kupitia upande wa pili wa glass.
Ziba pua na mkono alafu vuta hewa ndani kwa mdomo fanya kama alafu meza . Rudia tena haraka haraka bila kuachia hewa itoke nje .jitahidi kurudia kadri ya uwezo wako kwani itakua ngumu kidogo.
Jaribu inaweza kusaidia.
kwikwi inatokana na hewa kujaa tumboni so kunywa maji mengi ui displace. unakumbuka mambo ya downward dispacement upward delivery? chemistry ya form one.
COAL UNDER PRESSURE BECOMES DIAMOND
Lamba jivu hata la sigara.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Kiongozi kama ni kwikwi ya kawaida ambayo haijasababishwa na ugonjwa wowote,Tafuta Ganda la muwa,lichome halafu nyonya maji yake ni issue ya fraction of a seconds kwikwi itakuwa imekwisha kabisa Inshallah (Kwa hisani ya marhum bibi 'MAY GOD REST HER SOUL IN PEACE').
daaaah,,,sasa ndo nahusianisha matukio mdau,,,jana nilikua na pilikapilika nyingi,nikaingia kwenye mgahawa mmoja hapo kariakoo baada ya kula tu,,,tumbo lilijaa sana nikawa nabeua mno,,,,just 30 mins baada ya kula,nikahisi ule MSOSI ULIKUA UMEWEKWA HAMIRA,baada ya maelezo yako now napata jibu,asante sana
ikizidi tuwasiliane maana kama kwikwi ya kawaida hamana tatizo lakini kama ile ya kwetu basi tuwasiliane nikupe dawa
Follow Us Here