Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      kvelia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : Canada
      Posts : 238
      Rep Power : 552
      Likes Received
      41
      Likes Given
      112

      Default Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

      Ndugu zanguni wataalam, nina tatizo la muda mrefu. Nikiwa kijijini kama mwaka na nusu uliopita nilikuwa namwelekeza ng'ombe kwenye zizi lake ghafla akanivuta na mkono ukauma sana. Nilienda hospitali nikapigwa X-RAY doctor akasema hakuna mfupa ulioteguka wala kuvujika, nilipewa dawa za kutumia kama mwezi hivi. Nilipata nafuu lakini baadae kama miezi sita hivi kipindi cha baridi mkono ukauma tena na haufai kabisa kufanya kazi yeyote. Nauliza kuna uwezekano nikapona na niende wapi, NISAIDIENI JAMANI, TATIZO NI NINI. Natanguliza shukrani

    2. Miaka 50

    3. #2
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,209
      Rep Power : 19214
      Likes Received
      8166
      Likes Given
      26658

      Default Re: Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

      Quote By kvelia
      Ndugu zanguni wataalam, nina tatizo la muda mrefu. Nikiwa kijijini kama mwaka na nusu uliopita nilikuwa namwelekeza ng'ombe kwenye zizi lake ghafla akanivuta na mkono ukauma sana. Nilienda hospitali nikapigwa X-RAY doctor akasema hakuna mfupa ulioteguka wala kuvujika, nilipewa dawa za kutumia kama mwezi hivi. Nilipata nafuu lakini baadae kama miezi sita hivi kipindi cha baridi mkono ukauma tena na haufai kabisa kufanya kazi yeyote. Nauliza kuna uwezekano nikapona na niende wapi, NISAIDIENI JAMANI, TATIZO NI NINI. Natanguliza shukrani
      Pole sana kwa kuumwa namkono fanya hivi. Tafuta Karafuu gramu 50,Pilipli mtama gramu 50,Tangawizi kavu gramu 50 vitu hivyo vyote twanga uchekeche upate unga wake Uchanganye na na siki ya Zabibu ( Vinegar) Au siki ya Apple (Apple cider) chupa moja uwe unajipaka kila siku asubuhi na usiku kwa muda w siku 7 inshallah akipenda Mwenyeezi Mungu utapona . tumia kisha unipe feedback...@kvelia

      ukisha maliza kujipakaa hiyo dawa tafadhali uoshe viganja vyako vya mkono uliotumia kujipaka kwani hiyo dawa inakuwa ni sumu haifai kwa kunywa ni ya kujipaka tu
      Last edited by MziziMkavu; 13th June 2012 at 20:45.
      kvelia likes this.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    4. #3
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,567
      Rep Power : 2286
      Likes Received
      2353
      Likes Given
      4086

      Default

      Quote By MziziMkavu
      Pole sana kwa kuumwa namkono fanya hivi. Tafuta Karafuu gramu 50,Pilipli mtama gramu 50,Tangawizi kavu gramu 50 vitu hivyo vyote twanga uchekeche upate unga wake Uchanganye na na siki ya Zabibu ( Vinegar) Au siki ya Apple (Apple cider) chupa moja uwe unajipaka kila siku asubuhi na usiku kwa muda w siku 7 inshallah akipenda Mwenyeezi Mungu utapona . tumia kisha unipe feedback...@kvelia
      Ushauri mzuri sana
      MziziMkavu likes this.

    5. #4
      kvelia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : Canada
      Posts : 238
      Rep Power : 552
      Likes Received
      41
      Likes Given
      112

      Default Re: Jf doctors- nisaidieni mkono wangu upone.

      Nashukuru sana MziziMkavu, nitaanza kutafuta hayo material, kisha nitakupa feedback, Mwenyezi Mungu akuzidishie.
      MziziMkavu likes this.

    6. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...