Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 606
      Likes Received
      246
      Likes Given
      550

      Default Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      Ndugu zangu habari ya leo, nimeamka asubuhi kijana wangu amdpatwa na ugonjwa wa RED EYES yani haoni na pia ana allergy amevimba uso kama ametembelewa na washawasha, wale wenye kujua dawa please help naenda hospital lakini nasikia red eyes haina dawa eti ni kunawa tu kwa maji ya chumvi ni kweli wandugu?


    2. #2
      bigcell's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 110
      Rep Power : 464
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      Kwa kawaida red eyes au kitaalam unaitwa conjuctivitis hauna dawa kwa ufahamu zaidi tembelea hapa Serotonin - Wikipedia, the free encyclopedia

    3. #3
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,258
      Rep Power : 8420
      Likes Received
      1135
      Likes Given
      390

      Default Re: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      Tumia majani ya chai na chunv,i hasa mvuke wake na kisha osha na maji hayo

    4. #4
      makondeko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 357
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      kapata allergic conjuctivitis atumie prednisolone 0.5% droplets ya macho

    5. #5
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 6256
      Likes Received
      528
      Likes Given
      422

      Default Re: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      Kuwa Chonjo sana huo ugonjwa huambikiza kwa Njia ya Hewa(Upepo)

      Ukishaona hivyo tumia kinga ya Kuosha macho yaani suuza uso wote kwa maji ya Sabuni ukiwa Umefumba macho then jaribu kufumbua ili povu la Sabuni liingie ndani ya macho vumilia kidogo ukiona unazidiwa nawa fasta kwa maji masafi kama umekomaa rudia zoezi, hapo utakuwa upo salama ni kinga tosha na ni dawa pia kwa aneyeugua huo ugonjwa

      Dawa za Hospital zitakuvimbisha uso na kuchelewa kupona na utakuwa unaambikiza tu watu ovyo... Sabuni Nzuri ni Imperial... mie msimu wa huo Ugonjwa ukifika napeta tu na kinga yangu kila nikimuona mwenye huo ugonjwa sioni taabu ya kusafisha macho kwa mapovu ya Sabuni ya Kuogea Imperial


    6. #6
      Mlengo wa Kati's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,382
      Rep Power : 0
      Likes Received
      197
      Likes Given
      11

      Default Re: Msaada kufahamu dawa ya 'Red Eyes' na allergy.

      huo ugonjwa hauna dawa utaisha wenyewe, ila kama unaweka uchafu(tongotongo) tumia antibiotics eye drops.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...