Ningependa kufanya uhakiki kuhusu DNA yangu,ili nijue kwa uhakika baba yangu ni nani.DNA inapimwa wapi? And how much does it cost? If I cannot afford the cost,anaweza kutokea Good Samaritan kunisaidia?
Ningependa kufanya uhakiki kuhusu DNA yangu,ili nijue kwa uhakika baba yangu ni nani.DNA inapimwa wapi? And how much does it cost? If I cannot afford the cost,anaweza kutokea Good Samaritan kunisaidia?
Mh! We unatafuta m.a.t.a.k.o ya nyoka sasa! Vipi unahisi kuna mdingi ndo babako tofauti na mzee wako? Au anamshiko nini? Achana na mawazo hayo. Otherwise nenda ustawi wa jamii watakupa mwongozo sahihi.
Jamani mbona watuwengine wanapenda kujitia BP? unawasiwasi wa nini? ebu ongea na mzazi wako wa kike ndio atakupa SIRI ...
"It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."
jaribu kupitiia sheria inayoitwa HUMAN DNA REGULATORY ACT 2009 itakueleza kwa upana
Okay,nimeipata. Hii DNA regulatory act 2009 inasema kwamba kama unataka kupima DNA unatakiwa kuwaandikia regulatory authority,and that is all. Kwa sababu nimekuwa challenged by a family member niende kupima DNA. nIMEMWAMBIA,''Kwa nini nikapime,kama mtu anataka kupima DNA yangu,it can be done,kumbuka Bill Clinton na Monica Lewinsky...
haya mkuu na kutakia mema safari njema
pcr for paternity issues in tz is only chini ya mkemia mkuu wa serikali na gharama yake ni laki 3
mhh! lakini weye si mtoo wa kwanza wa mwalimu nyerere inamaana kuna mgogoro ndani ya family ... tafadhili uje na majibu basi...
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Gharama unaweza kutumia laki tano then unagundua mtoto siyo wako utafanyaje mtazamo wangu bora uache
Mmh...Sema ukweli, au unaenda kumpima mwanao ili ujue kama kweli ni wako au umeibiwa?
Follow Us Here