Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lets talk about HAJA KUBWA...

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 53
    1. #1
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,317
      Rep Power : 18677
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      1049

      Default Lets talk about HAJA KUBWA...

      Wakuu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa hili, linalofaidiwa na wachache waliopewa jina la ‘wajanja’.
      Poleni sana…
      Leo nataka tusemezane kitu cha tofauti kabisa, sio kigeni kwa yeyote ila masuala yake huwa hayasemwi mara kwa mara.
      Leo nataka tuzungumzie KINYESI, unashangaa nini? Namaanisha nisemalo, leo nataka tufunguke kuhusu uchafu ambao ni matokeo ya mfumo wa umen’genyaji chakula a.k.a ‘kimba’ a.k.a mavi ukipenda haja kubwa, lakini kwa Kiswahili sanifu ni kinyesi.
      Mada yangu kuhusu haja kubwa itazingatia zaidi uhusiano kati yacho na maisha yetu ya kila siku katika muktadha halisi. Sawasawa?
      UTANGULIZI

      Kama tunavyojua (ukibisha una yako), kwenda haja kubwa ni suala la muhimu na la lazima kwa binadamu yeyote, kama tu ilivyo kula na ndio maana ili nyumba ikamilike ni shurti iwe na jiko na choo. Hivyo tu ndio vinaipa legacy nyumba ya kuishi, sio bafu wala chumba cha kulala. Kutokana na unyeti wa suala husika, sina budi kuweka wazi mtazamo wangu juu ya masuala kadhaa kuhusu haja kubwa, ambayo pengine (weka msisitizo hapa) yanaweza kuboresha mazingira ya huduma hii muhimu kwetu baada ya chakula.
      CHOO

      Kama ilivyodhihiri hapo juu (hutaki unaacha), choo ni kati ya sehemu muhimu zaidi katika nyumba. Ili kuwe na unyaji wa starehe na uliotukuka ni lazima choo kiwe safi na chenye mazingira rafiki kwa mtumiaji wacho. Kuna vyoo vya aina nyingi, hata ule unyaji wa kuchimba kishimo na kufukia unaweza kutafsiriwa kama choo endapo utakuwa ni wa kudumu. Kuna hivi ‘Western Type’ (vya kukaa) ambavyo wanaita vyoo vya kizungu, na kuna vyoo vya Kiafrika almaarufu kama squart toilets, au ‘drop in’, yaani vya shimo among many other types. Binafsi ni mshabiki wa vyoo vya shimo (siku hizi kina option ya kuweka shank kikafanana na cha kizungu) kwa kuwa kinaleta hali fulani ya comfortability wakati wa kukata gogo. Vyoo vya kukaa huwa vinaleta hali ya kuhisi kama unajinyea kwa vile unajisaidia huku mapaja yakiwa yamebanana, tofauti na kanuni za unyaji ambapo kunya huku umechuchumaa is much better, kiafya na kiakili. Sifa nyingine ya choo ninachokipenda (though it may sound ridiculous), ni hali ya choo kutokuwa na paa, yaani kiwe hakijaezekwa. Hii itapelekea choo (hasa kinapokuwa cha shimo) kuwa kikavu muda mwingi na hivyo kupunguza hali ya kinyaa inayopatikana chooni. Vilevile, kunakupa view nzuri ya anga wakati unakata gogo, hivyo kuchochea fikra za mnyaji. Ni mara nyingi watu wamekuwa wakisema kuwa wakati wa haja kubwa ni wakati mzuri wa kutafakari na kupanga mikakati ya kimaisha, if that is true, a blue sky is even much better. Ubaya wa feature hii ya choo ni kuwa si nzuri sana wakati wa mvua au jua linapokuwa kali sana kwani huondoa ladha ya gogo. KUNYA STAREHE BWANA!
      Mwisho, choo kiwacho chochote, lazima kiwe katika hali ya usafi muda wote, ulazima huu unatokana na ukweli kwamba kama choo sio safi, kinaweza kusababisha magonjwa kadha wa kadha ya kuambukiza.
      MIUNDOMBINU
      Asikudanganye mtu, muundombinu mkubwa wa choo ni maji, haijalishi ni cha aina gani, ingawa uhitaji wa maji kwa wale wanaotumia vyoo vya kizungu vya kuflash ni mkubwa ukilinganisha na sie wa vyoo vya kulenga. Kwa watumiaji wa ‘Western type’, kuwa na mfumo kamili wa maji katika vyoo vyao haikwepeki, kwa wanaotumia vya shimo si lazima sana kuwa na mfumo kamili wa maji, unaweza kuweka ndoo ya maji ambayo italazimu kuwa na maji muda wote, au kama umenganishwa na mfumo wa maji wa manispaa uliyomo unaweza kuweka bomba la maji chooni, au just nje ya choo. Maji haya yatakuwa kwa ajili ya kusafisha ‘privates’ baada ya kukata gogo (endapo unatumia maji), yatatumika kunawa mikono baada ya shughuli kwisha na pia yatatumika kusafidha choo (tundu, sakafu na kuta). Miundombinu mingine ni pamoja na taa na misumari ya kutundikia nguo wakati unafanya mambo yako.
      UNYAJI

      Hi indio shuguli yenyewe sasa baada ya shuguli zote za awali za maandalizi kuwa ziko sawa na hapa ndipo kuna matatizo mengi ya kujitakia ambayo watu hawataki kuyasema. Matatizo yanaweza kuwa yamesababishwa na aina ya choo unachotumia au kutokaa sawa kwa miundombinu ya choo unachotumia, mfano, baadhi ya watu (mimi kwa mfano) huwa hawako comfortable na vyoo vya kukaa aina ya Western, kwani kujisaidia ukiwa umechuchumaa ni vizuri kwa kuwa mapaja yanakuwa yameachana vya kutosha hivyo kinyesi hutoka kwa urahisi na bila bugudha yoyote. Unyaji katika mazigira ya vyoo vya kukaa hufanya mapaja kubanana, hivyo kupelekea hatari ya maambukizi katika mapaja na kuongeza hatari ya maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) hasa kwa wanawake.
      Katika kipengele hiki ningependa pia niseme kuhusu aina za haja kubwa na changamoto zake kwa wanyaji. Kimsingi, **** mbari kuu tatu za haja, ngumu, laini na majimaji au uharo. Aina mbili za mwanzo zinatokana na tabia za ulaji na hii ya mwisho inasababishwa na magonjwa, hasa yanayohusu tumbo. Walio wengi wanapendelea kupata choo laini, na wachache hupenda choo ngumu, pasi na shaka yoyote hakuna anayependa kuharisha kwa vile kunaambatana na kugonjeka. Choo kigumu sana kinaweza kusababisha mipasuko kwenye njia ya haja.
      Tumesema kuwa aina za haja hutokana na vyakula tulavyo, haja ngumu inatokana na kupendelea vyakula vikavu na vigumu, pia kutokunywa maji ya kutosha wakati ili upate choo laini inakulazimu kunywa maji ya kutosha (3-5 litres kwa siku), kutumia mboga na matunda jamii ya nyuzinyuzi pamoja na aina fulani ya matunda kama vile papai na parachichi. Kwa wanaopata choo majimaji au uharo, tiba ya haraka ni supu ya ngano, lakini pia wanatakiwa kunywa kiasi kikubwa cha maji ili kufidia maji yanayopotea mwilini kwa njia ya kuharisha, lakini pia ni muhimu na lazima kutibu ugonjwa wa msingi ambao umepelekea kupata choo majimaji.
      Changamoto nyingine ni ulaji wa pilipili kupita kiasi ambao husababisha muwasho katika njia ya haja kubwa wakati wa unyaji na wakati mwingine vidonda kwenye puru (sehemu ya ndani ya njia ya haja kubwa).
      USAFI

      Kuna namna nyingi za kusafisha njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia. Kujiswafi huku wengine huita kuchamba au kutawaza, lakini kwa ujumla ni kusafisha tundu la haja kubwa na maeneo yanayolizunguka ili kuondoa mabaki ya kinyesi.
      Namna kuu na iliyozoeleka kwenye mazingira yetu ni maji, nimesema kuwa hii ni namna kuu kwa vile hata baadhi ya vitabu vya dini vimetaja waziwazi kama namna pekee ya kujiswafi. Baadhi ya watu hutumia karatasi laini maarufu kama toilet papers na wengine hutumia vyote yaani toilet paper na maji kwa kuanza kupunguza uchafu kwa karatasi hizo na kasha baadae kumalizia na maji. Kimsingi kila njia ina faida na hasara zake, mfano, utumiaji wa karatasi huwafaa zaidi wale wasio na vinyweleo vingi katika tundu la haja kubwa na maji ni mazuri zaidi kwa wale waliojaliwa haya makatamavi. Utumiaji wa vyote viwili ni mahususi kwa wale wanaopata choo laini (sio majimaji) kwa kuwa aina hii ya kinyesi huacha mabaki mengi.
      Faida za kutumia karatasi laini ni pamoja na kuepuka kinyaa cha kushika kinyesi kwa mkono ingawa wanaopinga matumizi ya tishu wanaona kama ni sawa na kujisiliba uchafu badala ya kujisafisha. Maji ndio njia inayopendekezwa na wengi katika mtazamo wa Kiafrika, ingawa nayo huleta hali flani ya kutojisikia vizuri kwa vile unalazimika kuvaa nguo huku makalio yakiwa yamelowa maji.
      Aina nyingine za uchambaji ni pamoja na matumizi ya majani, mawe au kujisugua ukutani au kwenye shina la mti, ingawa njia hizi zinatafsiriwa na wengi kama zisizokuwa za kistaarabu.
      Cha mwisho na cha muhimu baada ya kujiswafi ni kunawa mikono kwa maji sabuni ili kuondoa uwezekano wa kuondoka na vimelea wa ugonjwa katika mikono.
      HITIMISHO

      Kwa muda huu ni hayo tu niliyokuandalia kuhusu KINYESI, unaweza kutumia wasaa wako kutoa maoni, ushauri au maswali yako kuhusu makala hii.
      Attachment 52962
      Enjoy your shit,
      Mphamvu.
      "...kukaa kimya ni jibu la mjinga!"
      -Leila Rashid (Jahazi Modern Taarab)

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      daughter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 1,243
      Rep Power : 753
      Likes Received
      667
      Likes Given
      307

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      mmmh hadi nimebanwa ma**

    4. #22
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6847

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Quote By king'asti
      yaani nimesoma mwanzo hadi namaliza mwishoni, nimekumbuka kila aina ya choo ambacho nimewahi kutumia maishani mwangu. Nimeanzia kutengwa na mama, poti, na kuendelea!

      Umesahau kusema kama mandhari ya choo inaruhusu sio mbaya kuwepo majarida ya kusoma wakati unaendeleza starehe hii muhimu.

      Pia kuna issue ya ku-train your bowel movement. Ukifundisha mwili wako discipline unaweza kujikuta unakuwa na ratiba nzuri sana ambayo ni convenient.
      aisee... Kumbe hata makimba yana utaalam wake
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    5. #23
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,863
      Rep Power : 1975
      Likes Received
      2331
      Likes Given
      3016

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha.

    6. #24
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1775
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Hahahahahhaa Mtaalam Mphamvu
      Je kiafya tunatakiwa
      • kakata gogo si chini ya mara ngapi au si zaidi ya mara ngapi kwa siku .?


      Alafu ebu elezea kati ya Kinyesi kigumu na kile chepesi ni kipi kinafaa?
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    7. #25
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,317
      Rep Power : 18677
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      1049

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Quote By Ambitious
      RIP my breakfast.
      Acha uzushi wewe, mbona kwa mkeo unazama mpaka... na bado breakfast inalika?
      Quote By Tripo9
      Puuuuu.... Hii thread inanukaaaaaaaaaaaa! khaaaa.........
      Utakuwa umejamba wewe, si bure.


      Quote By BAGAH
      Mphamvu usiku wa saa nane ukawazaje hii mambo jameni...kweli hii ndo Jf!
      Hiyo ni postng time mkuu, si unakumbuka niliwaahidi http://www.jamiiforums.com/jf-chit-c...-thread-2.html , sasa ndo nilikuwa nalifanyia mchakato.

      Quote By Smile
      khaa jf kuna mambo loh....
      Quote By TANMO
      Duh..!
      Quote By mtu chake
      ....uwiiiii.....
      Quote By Globu
      Dah!!! Hii thread safi sana.

      Quote By sijui nini
      zis is JF....


      Quote By Cantalisia
      Mweeeeeeeeeee!
      Thanks for your complements wakuu, ingawa mtu chake, Smile, Cantalisia na TANMO wanashangaa-shangaa tu.
      TANMO, mtu chake and Smile like this.
      "...kukaa kimya ni jibu la mjinga!"
      -Leila Rashid (Jahazi Modern Taarab)

    8. Miaka 50

    9. #26
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15464
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Nimeishiwa maneno. Uzuri nimeelewa toka mwanzo hadi mwisho.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    10. #27
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,317
      Rep Power : 18677
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      1049

      Default re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Quote By Mtazamaji
      Hahahahahhaa Mtaalam Mphamvu
      Je kiafya tunatakiwa
      • kakata gogo si chini ya mara ngapi au si zaidi ya mara ngapi kwa siku .?


      Alafu ebu elezea kati ya Kinyesi kigumu na kile chepesi ni kipi kinafaa?
      Samahanini member wengine, naomba nijibu kwanza hoja hii ya Mtazamaji kwa kuwa nimeiona ina umuhimu wa pekee.
      Kuhusu idadi za haja tunazotakiwa kwenda, hakuna jibu moja, hasa kwa kuwa mazingira tunayoishi ni tofauti na suala la haja linategemea sana chakula unachokula, aina na kiasi. Kwa mazingira yetu, kwa ulaji wa kawaida unaozingatia ratiba, kwenda choo mara moja (au pengine mbili) kila baada ya masaa 24 ni reasonable. Kumbuka kukaa muda mrefu bila kwenda choo, au kwenda haja mara kwa mara (kuanzia mara tatu kwa saa 24) ni dalili za matatizo kwenye mfumo wa kumeng'enya chakula au ulaji mbaya wa chakula.
      Kuhusu kufaa kati ya choo laini na kigumu, naweze kujibu ifuatavvyo:-
      Kwa kawaida, choo laini (sio uharo) ni dalili ya umeng'enyaji mzuri katika mfumo wako wa chakula, kwa hiyo ni dalili ya afya njema. Na kama nilivyoeleza hapo juu, kupata choo ngumu kunasababishwa na kula vyakula vikavu, kukosa mbogamboga/matunda na kutokunywa maji ya kutosha. Kwa ujumla unaweza kusema, under normal mazingira, choo laini ni kizuri kiafya.
      MziziMkavu likes this.
      "...kukaa kimya ni jibu la mjinga!"
      -Leila Rashid (Jahazi Modern Taarab)

    11. #28
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,152
      Rep Power : 28895
      Likes Received
      11635
      Likes Given
      4798

      Default

      Hebu ntake radhi baba! Mi nimezaliwa na kuanza shule wakati mwl j k nyerere ni president wa tz! Ila mdingi alienda shule abroad, nadhani akaja na poti ( si unajua wakati ule tv na magari ilikuwa ni soo, mwalimu hakuruhusu)
      Quote By Mphamvu
      Una miaka mingapi King'asti, maana kama umekelia poti kwa mazingira ya kibongo utakuwa mtoto sana.
      Ishu ya majarida inawezekana katika vyoo vya kukaa, ambako ni rahisi kuwa na balance ya kushikia hilo gazeti. Bowel movement, ni rahisi sana, you just eat with dicipline, kuwa na ratiba maalum ya kula, muda na kiasi cha chakula ambacho hakibadiliki badiliki kunafanya uwe na muda mahususi wa kukata gogo. And thats pretty cool!
      MziziMkavu likes this.

    12. #29
      Consigliere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Location : Right in your head
      Posts : 1,592
      Rep Power : 905
      Likes Received
      725
      Likes Given
      506

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Na unashauiwa kuwa ili uweze kujisaidia kwa raha ni vizuri utumie choo cha kuchuchumaa badala ya kukaa kwani tofauti na kile cha kukaa cha kuchuchumaa husababisha sphincter zitanuke kwa utaratibu unaotakiwa na hali itakayokufanya ujisikie vizuri wakatii kinyesi kinashuka.
      Power of Mind cannot be the ultimate salvation for humanity, for all the faculties of mind are decidedly limited.

    13. #30
      Angel Nylon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 638
      Likes Received
      139
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Judgement
      Niliwahi kwenda mkoa flani Magharibi mwa Tz nikawa na mizunguko ya kibiashara ktk baadhi ya vijiji, kuna siku nikalala kwa Mzee mmoja hapo kijijini , akiwa ndiye mwenyeji wangu.
      Mzee yule alikua anamiliki wake 6 , kilichoniachia historia ni pale mgeni mie nilipoomba kwenda msalani, nikapewa jembe tena bila hata kopo la maji then nikaonyeshwa chaka , hapo nikaambiwa hua wanajisaidiaga mchana, na ikiwa usiku hua wanashuka ziwani. Kwani nyumba haikua mbali na Ziwa.
      HAINA UBISHI NYUMBA CHOO.
      Mi apo kimba ingerudi tumboni tu hakuna ubishi, ntakunya nkirudi kwangu.
      korino likes this.

    14. #31
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,660
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      915
      Likes Given
      457

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      hapo ndipo mungu alipotukutanisha..maana hata uwe nani..lazima unye..hata kikwete naye anakunyaga..hata obama naye anakunyaga!
      MziziMkavu and korino like this.
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    15. #32
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2192
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Mphamvu :
      1. Mavi magumu husababisha "haemorroids".. Hivi ni vivimbe ambavyo tiba yake ni ya kupaka mkunduni.. Vikiwa sugu,huitaji upasuaji mdogo. Kuepuka ni kula matunda kama ndizi na mapapai,na vyakula asili ya "legumes"

      2. Fanya utafiti zaidi,kwani mi mlaji sana wa pilipili na sijapata tatizo lolote ninapokunya..

    16. #33
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2192
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Aina za uchambaji,nazo sijui ni za miaka gani.. Yaani majani,na kujigua kwa jiwe,au ukuta... Sehemu yenyewe ilivyo laini kweli?

      Mkuu Mphamvu.. Cheki tena vyanzo vyako!

    17. #34
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,714
      Rep Power : 19050
      Likes Received
      1451
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Mphamvu
      Samahanini member wengine, naomba nijibu kwanza hoja hii ya Mtazamaji kwa kuwa nimeiona ina umuhimu wa pekee.
      Kuhusu idadi za haja tunazotakiwa kwenda, hakuna jibu moja, hasa kwa kuwa mazingira tunayoishi ni tofauti na suala la haja linategemea sana chakula unachokula, aina na kiasi. Kwa mazingira yetu, kwa ulaji wa kawaida unaozingatia ratiba, kwenda choo mara moja (au pengine mbili) kila baada ya masaa 24 ni reasonable. Kumbuka kukaa muda mrefu bila kwenda choo, au kwenda haja mara kwa mara (kuanzia mara tatu kwa saa 24) ni dalili za matatizo kwenye mfumo wa kumeng'enya chakula au ulaji mbaya wa chakula.
      Kuhusu kufaa kati ya choo laini na kigumu, naweze kujibu ifuatavvyo:-
      Kwa kawaida, choo laini (sio uharo) ni dalili ya umeng'enyaji mzuri katika mfumo wako wa chakula, kwa hiyo ni dalili ya afya njema. Na kama nilivyoeleza hapo juu, kupata choo ngumu kunasababishwa na kula vyakula vikavu, kukosa mbogamboga/matunda na kutokunywa maji ya kutosha. Kwa ujumla unaweza kusema, under normal mazingira, choo laini ni kizuri kiafya.
      Hapa rafiki yangu Mzizi Mkavu haoni ndani
      MziziMkavu likes this.

    18. #35
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Duuuu, huu ni uzi mashuhuri kwa mwaka huu wa 2012.

    19. #36
      Osaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 1,089
      Rep Power : 617
      Likes Received
      266
      Likes Given
      162

      Default

      Quote By Mphamvu
      Wakuu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa hili, linalofaidiwa na wachache waliopewa jina la ‘wajanja’.
      Poleni sana…
      Leo nataka tusemezane kitu cha tofauti kabisa, sio kigeni kwa yeyote ila masuala yake huwa hayasemwi mara kwa mara.
      Leo nataka tuzungumzie KINYESI, unashangaa nini? Namaanisha nisemalo, leo nataka tufunguke kuhusu uchafu ambao ni matokeo ya mfumo wa umen’genyaji chakula a.k.a ‘kimba’ a.k.a mavi ukipenda haja kubwa, lakini kwa Kiswahili sanifu ni kinyesi.
      Mada yangu kuhusu haja kubwa itazingatia zaidi uhusiano kati yacho na maisha yetu ya kila siku katika muktadha halisi. Sawasawa?
      UTANGULIZI

      Kama tunavyojua (ukibisha una yako), kwenda haja kubwa ni suala la muhimu na la lazima kwa binadamu yeyote, kama tu ilivyo kula na ndio maana ili nyumba ikamilike ni shurti iwe na jiko na choo. Hivyo tu ndio vinaipa legacy nyumba ya kuishi, sio bafu wala chumba cha kulala. Kutokana na unyeti wa suala husika, sina budi kuweka wazi mtazamo wangu juu ya masuala kadhaa kuhusu haja kubwa, ambayo pengine (weka msisitizo hapa) yanaweza kuboresha mazingira ya huduma hii muhimu kwetu baada ya chakula.
      CHOO

      Kama ilivyodhihiri hapo juu (hutaki unaacha), choo ni kati ya sehemu muhimu zaidi katika nyumba. Ili kuwe na unyaji wa starehe na uliotukuka ni lazima choo kiwe safi na chenye mazingira rafiki kwa mtumiaji wacho. Kuna vyoo vya aina nyingi, hata ule unyaji wa kuchimba kishimo na kufukia unaweza kutafsiriwa kama choo endapo utakuwa ni wa kudumu. Kuna hivi ‘Western Type’ (vya kukaa) ambavyo wanaita vyoo vya kizungu, na kuna vyoo vya Kiafrika almaarufu kama squart toilets, au ‘drop in’, yaani vya shimo among many other types. Binafsi ni mshabiki wa vyoo vya shimo (siku hizi kina option ya kuweka shank kikafanana na cha kizungu) kwa kuwa kinaleta hali fulani ya comfortability wakati wa kukata gogo. Vyoo vya kukaa huwa vinaleta hali ya kuhisi kama unajinyea kwa vile unajisaidia huku mapaja yakiwa yamebanana, tofauti na kanuni za unyaji ambapo kunya huku umechuchumaa is much better, kiafya na kiakili. Sifa nyingine ya choo ninachokipenda (though it may sound ridiculous), ni hali ya choo kutokuwa na paa, yaani kiwe hakijaezekwa. Hii itapelekea choo (hasa kinapokuwa cha shimo) kuwa kikavu muda mwingi na hivyo kupunguza hali ya kinyaa inayopatikana chooni. Vilevile, kunakupa view nzuri ya anga wakati unakata gogo, hivyo kuchochea fikra za mnyaji. Ni mara nyingi watu wamekuwa wakisema kuwa wakati wa haja kubwa ni wakati mzuri wa kutafakari na kupanga mikakati ya kimaisha, if that is true, a blue sky is even much better. Ubaya wa feature hii ya choo ni kuwa si nzuri sana wakati wa mvua au jua linapokuwa kali sana kwani huondoa ladha ya gogo. KUNYA STAREHE BWANA!
      Mwisho, choo kiwacho chochote, lazima kiwe katika hali ya usafi muda wote, ulazima huu unatokana na ukweli kwamba kama choo sio safi, kinaweza kusababisha magonjwa kadha wa kadha ya kuambukiza.
      MIUNDOMBINU
      Asikudanganye mtu, muundombinu mkubwa wa choo ni maji, haijalishi ni cha aina gani, ingawa uhitaji wa maji kwa wale wanaotumia vyoo vya kizungu vya kuflash ni mkubwa ukilinganisha na sie wa vyoo vya kulenga. Kwa watumiaji wa ‘Western type’, kuwa na mfumo kamili wa maji katika vyoo vyao haikwepeki, kwa wanaotumia vya shimo si lazima sana kuwa na mfumo kamili wa maji, unaweza kuweka ndoo ya maji ambayo italazimu kuwa na maji muda wote, au kama umenganishwa na mfumo wa maji wa manispaa uliyomo unaweza kuweka bomba la maji chooni, au just nje ya choo. Maji haya yatakuwa kwa ajili ya kusafisha ‘privates’ baada ya kukata gogo (endapo unatumia maji), yatatumika kunawa mikono baada ya shughuli kwisha na pia yatatumika kusafidha choo (tundu, sakafu na kuta). Miundombinu mingine ni pamoja na taa na misumari ya kutundikia nguo wakati unafanya mambo yako.
      UNYAJI

      Hi indio shuguli yenyewe sasa baada ya shuguli zote za awali za maandalizi kuwa ziko sawa na hapa ndipo kuna matatizo mengi ya kujitakia ambayo watu hawataki kuyasema. Matatizo yanaweza kuwa yamesababishwa na aina ya choo unachotumia au kutokaa sawa kwa miundombinu ya choo unachotumia, mfano, baadhi ya watu (mimi kwa mfano) huwa hawako comfortable na vyoo vya kukaa aina ya Western, kwani kujisaidia ukiwa umechuchumaa ni vizuri kwa kuwa mapaja yanakuwa yameachana vya kutosha hivyo kinyesi hutoka kwa urahisi na bila bugudha yoyote. Unyaji katika mazigira ya vyoo vya kukaa hufanya mapaja kubanana, hivyo kupelekea hatari ya maambukizi katika mapaja na kuongeza hatari ya maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) hasa kwa wanawake.
      Katika kipengele hiki ningependa pia niseme kuhusu aina za haja kubwa na changamoto zake kwa wanyaji. Kimsingi, **** mbari kuu tatu za haja, ngumu, laini na majimaji au uharo. Aina mbili za mwanzo zinatokana na tabia za ulaji na hii ya mwisho inasababishwa na magonjwa, hasa yanayohusu tumbo. Walio wengi wanapendelea kupata choo laini, na wachache hupenda choo ngumu, pasi na shaka yoyote hakuna anayependa kuharisha kwa vile kunaambatana na kugonjeka. Choo kigumu sana kinaweza kusababisha mipasuko kwenye njia ya haja.
      Tumesema kuwa aina za haja hutokana na vyakula tulavyo, haja ngumu inatokana na kupendelea vyakula vikavu na vigumu, pia kutokunywa maji ya kutosha wakati ili upate choo laini inakulazimu kunywa maji ya kutosha (3-5 litres kwa siku), kutumia mboga na matunda jamii ya nyuzinyuzi pamoja na aina fulani ya matunda kama vile papai na parachichi. Kwa wanaopata choo majimaji au uharo, tiba ya haraka ni supu ya ngano, lakini pia wanatakiwa kunywa kiasi kikubwa cha maji ili kufidia maji yanayopotea mwilini kwa njia ya kuharisha, lakini pia ni muhimu na lazima kutibu ugonjwa wa msingi ambao umepelekea kupata choo majimaji.
      Changamoto nyingine ni ulaji wa pilipili kupita kiasi ambao husababisha muwasho katika njia ya haja kubwa wakati wa unyaji na wakati mwingine vidonda kwenye puru (sehemu ya ndani ya njia ya haja kubwa).
      USAFI

      Kuna namna nyingi za kusafisha njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia. Kujiswafi huku wengine huita kuchamba au kutawaza, lakini kwa ujumla ni kusafisha tundu la haja kubwa na maeneo yanayolizunguka ili kuondoa mabaki ya kinyesi.
      Namna kuu na iliyozoeleka kwenye mazingira yetu ni maji, nimesema kuwa hii ni namna kuu kwa vile hata baadhi ya vitabu vya dini vimetaja waziwazi kama namna pekee ya kujiswafi. Baadhi ya watu hutumia karatasi laini maarufu kama toilet papers na wengine hutumia vyote yaani toilet paper na maji kwa kuanza kupunguza uchafu kwa karatasi hizo na kasha baadae kumalizia na maji. Kimsingi kila njia ina faida na hasara zake, mfano, utumiaji wa karatasi huwafaa zaidi wale wasio na vinyweleo vingi katika tundu la haja kubwa na maji ni mazuri zaidi kwa wale waliojaliwa haya makatamavi. Utumiaji wa vyote viwili ni mahususi kwa wale wanaopata choo laini (sio majimaji) kwa kuwa aina hii ya kinyesi huacha mabaki mengi.
      Faida za kutumia karatasi laini ni pamoja na kuepuka kinyaa cha kushika kinyesi kwa mkono ingawa wanaopinga matumizi ya tishu wanaona kama ni sawa na kujisiliba uchafu badala ya kujisafisha. Maji ndio njia inayopendekezwa na wengi katika mtazamo wa Kiafrika, ingawa nayo huleta hali flani ya kutojisikia vizuri kwa vile unalazimika kuvaa nguo huku makalio yakiwa yamelowa maji.
      Aina nyingine za uchambaji ni pamoja na matumizi ya majani, mawe au kujisugua ukutani au kwenye shina la mti, ingawa njia hizi zinatafsiriwa na wengi kama zisizokuwa za kistaarabu.
      Cha mwisho na cha muhimu baada ya kujiswafi ni kunawa mikono kwa maji sabuni ili kuondoa uwezekano wa kuondoka na vimelea wa ugonjwa katika mikono.
      HITIMISHO

      Kwa muda huu ni hayo tu niliyokuandalia kuhusu KINYESI, unaweza kutumia wasaa wako kutoa maoni, ushauri au maswali yako kuhusu makala hii.
      Attachment 52962
      Enjoy your shit,
      Mphamvu.
      Kaazi kweli kweli.

    20. #37
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Bonge la idea

    21. #38
      Mphamvu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Pale pale kwa JANA!
      Posts : 7,317
      Rep Power : 18677
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      1049

      Default

      Quote By TIMING
      aisee... Kumbe hata makimba yana utaalam wake
      Ndiyo TIMING,
      ni lazima kuwe na utaalam wa haja kubwa kwa vile ina uhusiano mkubwa na mfumo wa umeng'enyaji chakula. Kama kuna tatizo katika ulaji wako bila shaka na unyaji wako pia utakuwa na matatizo. Kwetu Tanganyika hatujawa na ujasiri wa kuyasema haya hadharani, ndio maana hata mtu mzima anapoambiwa apeleke choo kubwa hospitali huwa inakuwa kasheshe, magonjwa kama konstipesheni (sina hakika kama ni ugonjwa) huwa hayaripotiwi mara kwa mara, sio kwamba watu hawaumwi, la! Ila ni aibu ya kusema kama tugonjeka sehemu nyeti.
      TIMING likes this.

    22. #39
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,153
      Rep Power : 19203
      Likes Received
      8081
      Likes Given
      26557

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Attachment 52962
      Enjoy your shit,
      Mphamvu.
      [/QUOTE]
      Asante Daktari Mphamvu kwa kui enjoy hatari sana wewee hahaahahahhahh
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    23. #40
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,153
      Rep Power : 19203
      Likes Received
      8081
      Likes Given
      26557

      Default Re: Lets talk about HAJA KUBWA...

      Quote By Mchaka Mchakani
      hapo ndipo mungu alipotukutanisha..maana hata uwe nani..lazima unye..hata kikwete naye anakunyaga..hata obama naye anakunyaga!
      @Mchaka Mchakani mimi mbona sikunyagi hata siku moja?
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...