Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 33 of 33
    1. #1
      Mwigamba son's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : ILEMELA-MWANZA
      Posts : 27
      Rep Power : 377
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      wana JF kama kuna mtu anamfahamu mahali ambapo naweza kumpata daktali bingwa wa ngozi (dermatologist) anitaarifu maana fungus zinatishia maisha yangu . Ni mwaka sasa nimekuwa nikienda hospitali kupimwa na kupewa dawa lakini bado fungus zimeendelea kusambaa. zaidi ya hapo nimechomwa sindano kadhaa lakini tatizo bado.
      naombeni mawazo yenu nifanyeje?

    2. Miaka 50

    3. #21
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 805
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Fungus zako zipo miguuni na mikononi, unafanya kazi gani. Coz kama unafanya kazi za majimaji hata utibu still utaendelea kuapata tatizo. Fungus ili irespond vizuri lazima uepuke majimaji na viatu uvae na soksi za cotton ili kusudi ziwe zinaabsorb jasho. Pia kabla ya kuvaa viatu paka miguu poda na antifungal cream. Kama mazingila unayotembelea hatuhitaji viatu then most of the time vaa open shoes.
      Mikononi paka dawa kama ulivyoelekezwa na Dr lakini mida ile ambayo huitaji kupaka dawa paka mafuta ya mgando itakusaidia. Lakini ni muhimu sana kuepukana sana na majimaji coz ubichi ni chanzo cha fungus.
      Pale Muhimbili yupo Dr Shemwela na Dr Mgonda hawa ni dermatologists watakusaidia. Sikushauri uende dispensary coz huko utawakuta Amo na Co si dhani kama watakuwa msaada sana. Nenda hospitali, Bungando pazuri ila ulizia kama kuna specialist wa ngozi. Pole sana mkuu

    4. #22
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 484
      Rep Power : 669
      Likes Received
      111
      Likes Given
      64

      Default

      [QUOTE=Saharavoice;3692767]kuna Dr, alikuwa Muhimbili miaka ya tisini inasemekana ana clinik yake pale Taki bovu Dsm. sikumbuki vizuri jina lake (may be Dr. Masange not sure) ukiweza kumpata huyo, nina hakika tatizo lako litakwisha. atakuandikia formular kutokana na tatizo lako utaenda mooners watakutengenezea dawa. niliwahi peleka shemeji yangu alikuwa na mba kichwani na hakuota nywele for years, alipona na sasa ana nywele kichwani za kutosha.

      Kuna mwingine nilimwelekeza akamuone alikuwa na Fungus sugu
      huyo dr anaitwa professor masenga yupo kcmc nimesoma na mwanae..

    5. #23
      Musa juma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Kaka vipi umefanisha kupata matibabu au bado

    6. #24
      Musa juma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Kaka samahani umefanikiwa kupata matibabu

    7. GAM
      #25
      GAM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 376
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Bila shaka ushauri utazingatiwa mimi pia nina tatizo kama hilo nitajitahidi kuwatafuta mabigwa hao wa magonjwa ya ngozi. lakini sijui kamgomo kameisha au bado kanaendelea kiana. -

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      collezione's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Posts : 347
      Rep Power : 504
      Likes Received
      132
      Likes Given
      3

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Ndugu ukiona unatumia dawa huponi. ujue unapata maambukizi mapya, kila wakati au kila siku. Fungus wanapaswa kupona ndani ya wiki 1.

      Mimi nilisumbuliwa takribani miaka 5 na hao wadudu. Na nimeshamaliza hospitali zote mpka nje ya nchi. Nilichoma pesa mpaka South Afrika. Mpaka kuna kipindi niliamini watu wamenitupia uchawi. Nilijaribu kila dawa ninayoisikia na kuamini.

      Ndugu yangu, fungus dawa yake ni usafi. Ukiwa msafi, fungus wanapaswa kukimbia, hata kama hutumii dawa. Maana watashindwa kuzaliana.

      Kuna daktari mmoja alinipa mfano, akaniambia "huwezi kupulizia dawa ya kufukuza mbu chumbani wakati mlango na madirisha iko wazi". Ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo iliyotoboka.

      Jaribu haya yafuatayo: alafu utaniambia.

      1) Hakikisha unaoga mara 2 kwa siku, au zaidi(kwa kutumia medicated soap) na maji safi, zingatia usafi wa ndoo yako ya kuogea, na usafi wa bafu pia.

      2) Usirudie nguo za ndani. Fua nguo zako za ndani na maji ya moto na kuzianika juani. Usirudie taulo, na suruali pia. Maana hao wadudu watakuwa wameshatapakaa kwenye nguo zako zote hata mashuka ya kulalia, na inawezekana wameshakuwa sugu. Hakikisha nguo zote unafua mara kwa mara tena na maji ya moto.

      3)Jitahidi unakauka vizuri baada ya kuoga. Jikaushe na feni ikiwezekana.

      4)Epuka sehemu zenye joto. Fungus wanazaliana sana kwenye unyevu unyevu. Hasa sehemu zinatoka jasho jingi.

      5)Usitumie vyakula vyenye sukari, mfano soda, juicy, nk. Vyakula hivyo vinafanya uongeze sukari nyingi mwilini. Jasho lenye kiwango kikubwa cha sukari ni chakula kikubwa cha fungus.

      6) Usivae nguo za kubana. Ambazo haziruhusu hewa kupita kirahisi. Hakikisha unavaa nguo za cotton.

    10. REX
      #27
      REX's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Location : KCMC-MOSHI
      Posts : 182
      Rep Power : 397
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Jaman pole sana ndugu yetu kwa kusumbuliwa na fungus,kama ametumia dawa hizo zote na ameshapima akaonekana na fungus,kwa upande wangu nafikiri either hajafuata taratibu za matibabu au that was a wrong diagnosis,maana vishiling havionekan kwenye fungus tu hata nummular eczema inaweza kuonekana hivyo na pia siyo fungus tu inashambulia kucha pia hata nail psoriasis inaweza kuwa na the same features,mi naomba ni pm tuwasiliane zaid na mi nione kama ndo mim nimekutana na mgonjwa na namna hi nitafanyaje! Nipo kcmc.

    11. #28
      Musa juma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      cellezion ngoja nijaribu ndugu yangu hawa wadudu wananisumbua sana mimi mwenyewe wangu wapo sehemu ya uso nikitumia cream wanapotea nikiacha kutumia wanarudi ebu naomba mnipe ushauri ndugu zangu najua humu mpo madaktari endapo nitapata tiba ntashukuru xna wana jf

    12. #29
      Musa juma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      collezione; baada ya kufanya hivyo(usafi) matokeo yalikuwaje kwa upande wako baada ya kuangaika takribani miaka mitano

    13. #30
      Musa juma's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Rex nipe namba yako nikucheki

    14. REX
      #31
      REX's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Location : KCMC-MOSHI
      Posts : 182
      Rep Power : 397
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Ok! Usijal namba yangu 0715720276.

    15. #32
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Ninasumbuliwa na (tinea fungal infection) dawa za hospitali zimeshindwa kunitibu nisaidieni

      Jaribu kwenda kwa Dr. Mwaka wa Ilala Bungoni, anatumia herbs kutibu wagonjwa wake

    16. #33
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      Safi sana pia!
      Quote By collezione
      Ndugu ukiona unatumia dawa huponi. ujue unapata maambukizi mapya, kila wakati au kila siku. Fungus wanapaswa kupona ndani ya wiki 1.

      Mimi nilisumbuliwa takribani miaka 5 na hao wadudu. Na nimeshamaliza hospitali zote mpka nje ya nchi. Nilichoma pesa mpaka South Afrika. Mpaka kuna kipindi niliamini watu wamenitupia uchawi. Nilijaribu kila dawa ninayoisikia na kuamini.

      Ndugu yangu, fungus dawa yake ni usafi. Ukiwa msafi, fungus wanapaswa kukimbia, hata kama hutumii dawa. Maana watashindwa kuzaliana.

      Kuna daktari mmoja alinipa mfano, akaniambia "huwezi kupulizia dawa ya kufukuza mbu chumbani wakati mlango na madirisha iko wazi". Ni sawa na kujaza maji kwenye ndoo iliyotoboka.

      Jaribu haya yafuatayo: alafu utaniambia.

      1) Hakikisha unaoga mara 2 kwa siku, au zaidi(kwa kutumia medicated soap) na maji safi, zingatia usafi wa ndoo yako ya kuogea, na usafi wa bafu pia.

      2) Usirudie nguo za ndani. Fua nguo zako za ndani na maji ya moto na kuzianika juani. Usirudie taulo, na suruali pia. Maana hao wadudu watakuwa wameshatapakaa kwenye nguo zako zote hata mashuka ya kulalia, na inawezekana wameshakuwa sugu. Hakikisha nguo zote unafua mara kwa mara tena na maji ya moto.

      3)Jitahidi unakauka vizuri baada ya kuoga. Jikaushe na feni ikiwezekana.

      4)Epuka sehemu zenye joto. Fungus wanazaliana sana kwenye unyevu unyevu. Hasa sehemu zinatoka jasho jingi.

      5)Usitumie vyakula vyenye sukari, mfano soda, juicy, nk. Vyakula hivyo vinafanya uongeze sukari nyingi mwilini. Jasho lenye kiwango kikubwa cha sukari ni chakula kikubwa cha fungus.

      6) Usivae nguo za kubana. Ambazo haziruhusu hewa kupita kirahisi. Hakikisha unavaa nguo za cotton.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...