| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 1119
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Asante X-Paster kwa somo hilo sikujua kuwa huwa unaweza kutoa nasaha na mawaidha kama hayo maana nilikuwa nakuona kama mmoja wa watu wenye hali ya udini lakini sasa naliondoa hili sasa
|
|
#3
|
|||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||
__________________
"Success is my only modafkng option failure is not" - eminem |
|||||||||||||||||||||||||||
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ni kweli mawazo yako, wala ujakosea KAHINDA! X-PASTER ni Mdini... seriously... he is...!
__________________
“I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”
'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me. |
|
#5
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Causes of diabetes TYPE I-caused by completely abscent of insulin hormone due to auto destruction of the pancrease gland. TYPE 2-caused by few number of insulin receptors (GLUT-4) or their abnormality,another cause is insulin resistance ,only possible if the portion of the pancrease responsible for secrection of insulin is not able so secrete sufficient amount so as to overcome this resistance. |
|||||||||||||||
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
DAWA YA UGONJWA WA KISUKARI
Reply Recommend Message 1 in Discussion From: waridi_lisilo_miba Upate aina za dawa zifuatazo, kila moja kiasi cha gram 100, saga pamoja na dawa zifuatazo: 1. Shubiri 2. Ubani 3. Mvuje 4. Ukwaju 5. Habasoda (kiasi cha dawa hizi hazijatwangwa, hivyo jaribu kukadiria mwenyewe) baada ya kusaga vizuri, gawanya katika mafungo matatu yaliyosawa. Changanya fungu moja na maji kiasi cha chupa mbili na uchemshe kwa dakika kumi. Ipua na iwache ipoe, chuja na hifadhi katika chupa nadhifu. MATUMIZI YA DAYA YENYEWE Tumia kila siku kikombe kimoja cha kahawa kabla ya kula chochote asubuhi kwa muda wa siku 13. Ikiisha dawa hii basi chukua fungu la pili na uchemshe kama ulivofanya kwa fungu la mwanzo. Tumia daya hii tena kwa muda ule ule wa siku 13. Itakapokwisha dawa hii basi chukua fungu la tatu na uitayarishe kamaUlivyofanya mafungu mawili ya mwanzo. Tumia dawa hii kama dawa hizo mbili za mwanzo ila tu kwa muda wa siku 14 , hii itafanya jumla ya siku za kunywa daya kuwa siku 40. Baada ya siku hizo 40 utajisikia kuwa ugonjwa wa kisukari umekwisha na unaweza kuanza kula vitu vyote ulivyokuwa umekatazwa. Inshallah kwa kudra zake mwenyezi mungu utakuwa umepona maradhi hayo. Ndugu yangu muislam, ninakuomba unisaidie kuieneza karatsi hii bila malipo ya kipesa na inshallah utapata malipo yaliomema hapa duniani na kesho akhera. Kufanya hivyo utakuwa unaendeleza bidii kubwa iliyofanywa na Kadhi mkuu wa Tabuk Shaikh Saleh Mohammed Al-Tanjisiy amabaye alifanya juhudi kubwa kwa muda mrefu kufanya majaribio ya dawa hii. Mwenyezi mungu amjaze na kumfikishia kila la kheri duniani na akhera pamoja na sisi sote, Amein. Maandishi haya yamechapishwa upya na Hamoud Hilal Al-Rawahy kwa Nia ya kuyaboresha maandishi haya na kwa nia ya kusambaza ujumbe huu kwa watu wengi inavyowezekana. |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Nimekuwa na diabetes kwa miaka 12 uzito nilikuwa 92kg,miaka ya karibuni nimeanza kufanya mazoezi mara 3 kwa wiki,kukimbia,kupunguza kula,kulala mapema na kunywa maji mengi. Kwanza nilikuwa nameza vidonge 8 kwa siku,baada ya kuanza mazoezi nikapunguziwa mpaka 2 kwa siku.Sasa nina uzito 78kg na niko fit sichoki nikikimbia au mozoezini.Kwa muda wa mwezi sijahitaji kumeza dawa mwili umeweza kumudu.Daktari kanishauri niendelee kupima glucose asubuhi na usiku mwenyewe na kit yangu kwa muda wa mwezi mwingine na kama nitaendelea hivi nitakuwa nimepona.Nilikuwa na type 2 nawashauri wenzangu wenye diabetes wajaribu haya labda nao watafaidika.
__________________
"Kila kukicha afadhali ya jana" Mrisho Mpoto-poet |
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
|
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Asante sana,hata mie ninakisukari lakini situmii dawa mara nyingi nakula brown bread na jioni sile chochote,nataka kuanza mazoezi hivi karibuni kwani nilikuwa nimeacha sababu ya kazi,nakunywa maji sana,asante kwa ushauri
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 10:33 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||