 |
 |

21st November 2008, 01:26 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by SteveD
Ushi wa Rombo, maelezo murua, ahsante... nami naomba kuuliza maswali machache.
-- hiyo carbondioxide siyo kuwa ile inayotokea puani kama process ya kupumua, au unamaanisha ile inayotekea mdomoni tu?
--je, mbu hawa detect na kutumia kwa navigation infrared heat emission katika kuvinjari kwao?
--je, concentration ya emission ya infrared heat katika mwili hai correspond na organ za mwili, hivyo kichwani kuwa kuna joto?
Akhsante, ni hayo tu.
SteveD.
|
SteveD
Carbon dioxide ni kwenye source zote, mdomoni ama ile ya kwenye pua, upo sahihi pia mbu hupenda pia kwenda eneo lenye joto ambalo liko sawa na la binadamu ie 37 celcius, SteveD Mbu hupendelea sehemu zile ambazo mishipa ya damu ipo jirani kurahisisha unyonyaji wa damu. Ni combination ya vitu ambavyo huvutia mbu, nikieleza vyote darasa litakuwa gumu na halitapendeza. Kuna sababu pia ambazo husababisha mbu kuuma zaidi mtu X kuliko Y nitataja kifupi tu, mfano quality ya damu ie Haemoglobin content, iron concetration ambazo hutofautiana watu na watu.
Nadhani nimejitahidi kufafanua kama unawalakini uliza
Ushi wa Rombo
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
QM (21st November 2008), Yassin (24th November 2008) |

21st November 2008, 01:31 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Chacha wa Mwita
mie naomba kuuliza, je mbu anaweza kung´ata hata kiumbe kilicho kufa? maiti ya binadam mathalani.
|
Mkuu Chacha wa Mwita Marwa!!
Mbu huwa hang'ati kiumbe kilichokufa sababu joto linakuwa chini la maiti, hata damu ukiiweka bila kuweka kwenye joto la walau 25 celcius mbu ni viumbe wa ajabu sana tofauti na Nzi!! In short
Ushi
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
Ngongo (21st November 2008), QM (21st November 2008), Yassin (24th November 2008) |

21st November 2008, 01:36 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Mama
Juu ya hiyo, aking'ata maiti aliyefariki kwa malaria, kuna uwezekano wowote wa mbu huyo kuambukiza malaria kwa binadamu hai?
|
Dear Mama
Mbu hang'ati maiti, kwanza joto huwa chini pia kwenye maiti kuna kitendo kinaitwa Rigor mortis is one of the recognizable signs of death that is caused by a chemical change in the muscles after death, causing the limbs of the corpse to become stiff and difficult to move or manipulate na blood vessel huwa zina collapse, Mbu haumi maiti na kwa maana hiyo haenezi malaria. Jamani msichanganye mbu na Inzi. I am I clear mama?
Son, Ushi
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
Mama (21st November 2008), Ngongo (21st November 2008), QM (21st November 2008), Yassin (24th November 2008) |

21st November 2008, 05:17 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Wed Jun 2007
Posts: 693
Rep Power: 23
Thanks: 305
Thanked 391 Times in 215 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Ushi,
Hakika darasa umelitoa
Quote:
Originally Posted by Ushirombo
Kuna sababu pia ambazo husababisha mbu kuuma zaidi mtu X kuliko Y nitataja kifupi tu, mfano quality ya damu ie Haemoglobin content, iron concetration ambazo hutofautiana watu na watu.
|
Sasa naelewa kwa nini mbu wananizingira sana mimi kuliko watu wengine niliokaa nao karibu... I mean, unakuta tuko watu kibao, lakini mbu wananisumbua peke yangu....lol
Anyhow, basi angalau wangekuwa wanafyonza hiyo damu mpaka wavimbiwe kimyakimya tu....kuliko kuja kupiga miluzi masikioni. You know! Unakuta mtu umelala usingizi mnono unasikilizia ndoto yako ya "kuloa"....halafu hawa viumbe wasio na aibu, adabu, wala heshima wanakusogelea sikioni na kuanza "ng'oooooooooooo"... mpaka wanakuharibia starehe yako...gademu!
Ahsante kwa darasa Ushirombo
__________________
We miss 100% of the shots we never take
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to QM For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 09:08 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Wed Apr 2008
Posts: 2,336
Rep Power: 106
Thanks: 2,062
Thanked 2,209 Times in 1,137 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Ushirombo
... Mbu hupendelea sehemu zile ambazo mishipa ya damu ipo jirani kurahisisha unyonyaji wa damu.
... Kuna sababu pia ambazo husababisha mbu kuuma zaidi mtu X kuliko Y nitataja kifupi tu, mfano quality ya damu ie Haemoglobin content, iron concetration ambazo hutofautiana watu na watu.
... kama unawalakini uliza
|
Ushirombo,
Mbu atajuaje kwamba nikimnga'ta mtu X badala Y nitapata damu yenye "Haemoglobin na iron content" bora zaidi kabla hajang'ata ?
Na kama sikio na pua zote zinatoa hewa ya pumzi, tena zaidi pua, na kama kivutio cha sikio hapo ni ukaribu wa mishipa ya damu, sasa mbu atajuaje kwamba nikinga'ta karibu na sikio nitakuta mshipa wa damu kiurahisi kuliko karibu na mfupa wa pua ?
__________________
``Kwamba tumesamehewa madeni haimaanishi kuwa Rais wetu aanze kutumia usafiri wa punda.´´ Waziri wa Fedha Basil Mramba akitetea ununuzi wa ndege ya Rais.
|

22nd November 2008, 02:11 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sun Jul 2007
Location: Chenorbly
Posts: 329
Rep Power: 22
Thanks: 118
Thanked 131 Times in 76 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Ushirombo jitahidi kuwa makini na maelezo yako. Wengi wanategemea knowledge hii kuitumia. Si kweli kuwa mbu jike pekee ndiyo anauma. Ila mbu jike ndiyo anahitaji zaidi damu kwa ajili kutaga. Fortunately mbu jike pekee ndiyo ana uwezo wa kubeba na ku-transmit Plasimodium spp. Lakini ikumbukwe si mbu wote wana transmit malaria. Wengine tofauti kabisa. Kuna Anopheline, Culex ,,,, and so
Kuwa updated kuhusu kung'atwa na mbu pitia kidogo hii website. http://www.telegraph.co.uk/sciencean...ito-bites.html
|

22nd November 2008, 04:50 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 273
Rep Power: 22
Thanks: 1
Thanked 133 Times in 75 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
pia sio kila jamii ya mbu wanaimba nyimbo.mbu wengine hufyonza damu kimya kimya.Ukiona mbu anayeimba kanyamaza basi jua anafyonza au kesha fyonza na ameishia. Ni kweli mbu waimbao bongo fleva wasumbufu sana.
|

22nd November 2008, 04:58 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by mwanjelwa
Ushirombo jitahidi kuwa makini na maelezo yako. Wengi wanategemea knowledge hii kuitumia. Si kweli kuwa mbu jike pekee ndiyo anauma. Ila mbu jike ndiyo anahitaji zaidi damu kwa ajili kutaga. Fortunately mbu jike pekee ndiyo ana uwezo wa kubeba na ku-transmit Plasimodium spp. Lakini ikumbukwe si mbu wote wana transmit malaria. Wengine tofauti kabisa. Kuna Anopheline, Culex ,,,, and so
Kuwa updated kuhusu kung'atwa na mbu pitia kidogo hii website. Why some people are prone to mosquito bites - Telegraph
|
Mkuu nimejitahidi kutumia lugha nyepesi kufikisha ujumbe kulingana na maswali. Nafikiri kama ningeandika kila kitu ningeweka confusion kubwa!! NADHANI UMENIPATA
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|

22nd November 2008, 05:18 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 869
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Kuhani
Ushirombo,
Mbu atajuaje kwamba nikimnga'ta mtu X badala Y nitapata damu yenye "Haemoglobin na iron content" bora zaidi kabla hajang'ata ?
Na kama sikio na pua zote zinatoa hewa ya pumzi, tena zaidi pua, na kama kivutio cha sikio hapo ni ukaribu wa mishipa ya damu, sasa mbu atajuaje kwamba nikinga'ta karibu na sikio nitakuta mshipa wa damu kiurahisi kuliko karibu na mfupa wa pua ?
|
Kuhani
Maswali mengine bana, mbu ana receptors ambazo husaidia hayo. Sasa tukianza kuzungumzia odorant receptor mjadala utaharibika. Kama una muda soma hili chapisho, very interesting mtu mwenye malaria (mwenye parasites) mbu hupenda zaidi kuuma yeye sababu ni rahisi hapo, adapation na evolution parasites waweze kuwa propagated kwenye population.
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 6 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
|

22nd November 2008, 05:49 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
tatizo ni huyu
malaria.jpg
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 10:47 AM.
|
 |