 |
 |

20th November 2008, 10:29 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Wed Jun 2007
Posts: 693
Rep Power: 23
Thanks: 305
Thanked 393 Times in 216 Posts
|
|
Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Hivi kwa nini ukilala mbu huwa anapenda kusogea masikioni na kupiga mluzi wake unaokera sana?
Je kuna maelezo yoyote ya kisayansia yanayoelezea hii tabia mbaya sana ya viumbe hawa?
__________________
We miss 100% of the shots we never take
|

20th November 2008, 11:26 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 872
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by QM
Hivi kwa nini ukilala mbu huwa anapenda kusogea masikioni na kupiga mluzi wake unaokera sana?
Je kuna maelezo yoyote ya kisayansia yanayoelezea hii tabia mbaya sana ya viumbe hawa?
|
Mbu wanafata kwenye masikio kwasababu ya Carbon dioxide unayotoa mdomoni, pia kwenye masikio kuna thin skin with superficiall blood vessels. Wanapenda kwenye miguu sababu ya harufu inayotoka huko ni attratact tosha. Need more?
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
|

20th November 2008, 11:55 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Wed Jun 2007
Posts: 693
Rep Power: 23
Thanks: 305
Thanked 393 Times in 216 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Ushirombo
Mbu wanafata kwenye masikio kwasababu ya Carbon dioxide unayotoa mdomoni, pia kwenye masikio kuna thin skin with superficiall blood vessels. Wanapenda kwenye miguu sababu ya harufu inayotoka huko ni attratact tosha. Need more?
|
Ushi, ahsante....lakini umenichanganya!
1) Sasa kuna uhusiano gani kati ya Carbondioxide kutoka mdomoni na wao kwenda kupiga kelele masikioni? Kwa nini wasipige kambi mdomoni kabisa? Na ni vipi kwa wale tunaofunga midomo wakati wa kulala? Inakuaje yani?
2) Hiyo thin skin iko ndani ya sikio au nje? Wao wanafaidika vipi wakienda kupiga mdundiko wao masikioni..tena ukiwa umelala?
3) Kiutaratibu watu uoga kabla ya kulala. Sasa sijui miguu hutoa harufu gani hiyo wakati ni misafi? Hata hivyo, huko miguuni sio shida.
__________________
We miss 100% of the shots we never take
|

21st November 2008, 01:50 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 872
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by QM
Ushi, ahsante....lakini umenichanganya!
1) Sasa kuna uhusiano gani kati ya Carbondioxide kutoka mdomoni na wao kwenda kupiga kelele masikioni? Kwa nini wasipige kambi mdomoni kabisa? Na ni vipi kwa wale tunaofunga midomo wakati wa kulala? Inakuaje yani?
2) Hiyo thin skin iko ndani ya sikio au nje? Wao wanafaidika vipi wakienda kupiga mdundiko wao masikioni..tena ukiwa umelala?
3) Kiutaratibu watu uoga kabla ya kulala. Sasa sijui miguu hutoa harufu gani hiyo wakati ni misafi? Hata hivyo, huko miguuni sio shida.
|
QM una maswali mazuri sana
1) Mdomoni blood vessel ziko mbali QM, mbu huenda sehemu kufata source ya CO2, sasa husogea karibu na sikio
2) Thin skin ipo nje ya sikio, blood vessel zipo juu mbu inakuwa rahisi kufikia mishipa ya damu na kufyonza damu kwa proboscis (mouth part)
3) Miguu hutoa volatile odour moja wapo ni unsaturated fats ambazo naturally miguu hutoa regardless umeoga ama usafisha hiyo huvutia sana mbu.
Nitakupa mfano Kuku mbu huenda kuuma kwenye combs and wattles, unajua tena kuku ana manyoya na miguu yake ina magamba, its an adaptaion na evolution inafavor hayo...
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following 7 Users Say Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
|

21st November 2008, 03:05 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Mon Jun 2007
Location: Mapinduzi - Iringa & Nyambiti - Mwanza
Posts: 3,089
Rep Power: 148
Thanks: 3,311
Thanked 1,814 Times in 1,021 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Ushi wa Rombo, maelezo murua, ahsante... nami naomba kuuliza maswali machache.
-- hiyo carbondioxide siyo kuwa ile inayotokea puani kama process ya kupumua, au unamaanisha ile inayotekea mdomoni tu?
--je, mbu hawa detect na kutumia kwa navigation infrared heat emission katika kuvinjari kwao?
--je, concentration ya emission ya infrared heat katika mwili hai correspond na organ za mwili, hivyo kichwani kuwa kuna joto?
Akhsante, ni hayo tu.
SteveD.
__________________
~*~ Happy New Year To You All !! ~*~
Fikra ni kitu kizuri, uzushi unatokana na fikra, fikra za uzushi ni kitu kibaya na ni uzushi, kutotenganisha uzushi na fikra ni kitu kibaya zaidi kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SDD6-07.
|

21st November 2008, 04:08 AM
|
|
Member
|
|
Join Date: Sat May 2008
Posts: 27
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 25 Times in 13 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
mie naomba kuuliza, je mbu anaweza kung´ata hata kiumbe kilicho kufa? maiti ya binadam mathalani.
|

21st November 2008, 04:19 AM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Chacha wa Mwita
mie naomba kuuliza, je mbu anaweza kung´ata hata kiumbe kilicho kufa? maiti ya binadam mathalani.
|
Juu ya hiyo, aking'ata maiti aliyefariki kwa malaria, kuna uwezekano wowote wa mbu huyo kuambukiza malaria kwa binadamu hai?
|

21st November 2008, 09:19 AM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Wed Jun 2007
Posts: 693
Rep Power: 23
Thanks: 305
Thanked 393 Times in 216 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by Ushirombo
QM una maswali mazuri sana
1) Mdomoni blood vessel ziko mbali QM, mbu huenda sehemu kufata source ya CO2, sasa husogea karibu na sikio
2) Thin skin ipo nje ya sikio, blood vessel zipo juu mbu inakuwa rahisi kufikia mishipa ya damu na kufyonza damu kwa proboscis (mouth part)
3) Miguu hutoa volatile odour moja wapo ni unsaturated fats ambazo naturally miguu hutoa regardless umeoga ama usafisha hiyo huvutia sana mbu.
Nitakupa mfano Kuku mbu huenda kuuma kwenye combs and wattles, unajua tena kuku ana manyoya na miguu yake ina magamba, its an adaptaion na evolution inafavor hayo...
|
Hiyo ya miguu imeeleweka kwa ufasaha.....
Turudi masikioni....
...Kutokana na maelezo yako inaonyesha kuwa hawa viumbe upenda masikio kwa sababu ya hizo vessels zipo karibu kuzifikia. Na kwamba huenda kule kufyonza damu. Sawa? Kama ni hivyo, mbona wakifika masikioni upiga kelele tu na sio kung'ata viiile? Kwa nini ukiamka asubuhi unakuta umeng'atwa na kuvimba sana mikononi na miguuni, na sio masikioni? I mean, kutokana na maelezo yako, nilitegemea masikio ndio yangekuwa na majereha mengi sana ya ung'ato wa mbu. Au?
__________________
We miss 100% of the shots we never take
|

21st November 2008, 09:21 AM
|
 |
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Fri Jun 2008
Location: Arusha Tanzania
Posts: 417
Rep Power: 21
Thanks: 552
Thanked 178 Times in 124 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Kumbe Mkuu Ushirombo ni Dakitari?
Stay blessed man.
__________________
Wa-Tanzania tupendane, tushirikiane, tuijenge nchi yetu.
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Ladslaus Modest For This Useful Post:
|
|

21st November 2008, 12:50 PM
|
 |
JF Senior & Premium Member
|
|
Join Date: Tue Oct 2007
Location: Lahore
Posts: 872
Rep Power: 63
Thanks: 203
Thanked 517 Times in 285 Posts
|
|
Re: Ni nini chamvutia mbu masikioni?
Quote:
Originally Posted by QM
Hiyo ya miguu imeeleweka kwa ufasaha.....
Turudi masikioni....
...Kutokana na maelezo yako inaonyesha kuwa hawa viumbe upenda masikio kwa sababu ya hizo vessels zipo karibu kuzifikia. Na kwamba huenda kule kufyonza damu. Sawa? Kama ni hivyo, mbona wakifika masikioni upiga kelele tu na sio kung'ata viiile? Kwa nini ukiamka asubuhi unakuta umeng'atwa na kuvimba sana mikononi na miguuni, na sio masikioni? I mean, kutokana na maelezo yako, nilitegemea masikio ndio yangekuwa na majereha mengi sana ya ung'ato wa mbu. Au?
|
QM
Nashukuru umenielewa vizuri, husikia makelele ya hao mbu kwasababu masikio yako karibu, pamoja na masikio kuwavutia mbu huwa hawezi kunyonya damu kwa urahisi hapo either kwa sababu binadamu naye yuko sensitive sana kuzuia ama wakati mwingine huwa anaficha maeneo hayo kwa shuka ama net. Sasa anacha miguu na mikono ikiwa exposed. Ntakuambia kitu kingine si mbu wote wanahitaji damu, huhitajika zaidi na mbu majike ili waweze kutaga mayai.
Ushi
__________________
""Without knowledge, there is no freedom." — Anon."
|
|
The Following User Says Thank You to Ushirombo For This Useful Post:
|
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 03:38 PM.
|
 |