Wadau siku izi nasumbuliwa sana na nguv ya usingiz mara nyingine huwa inakuwa asubh tu nnapoingia library tu nakushika kitab usingiz unanisumbua HIV NITUMIE NINI KUAMSHA KICHWA KIWE ACTIVE NNAPOHIJAJI?
Wadau siku izi nasumbuliwa sana na nguv ya usingiz mara nyingine huwa inakuwa asubh tu nnapoingia library tu nakushika kitab usingiz unanisumbua HIV NITUMIE NINI KUAMSHA KICHWA KIWE ACTIVE NNAPOHIJAJI?
Unalala vizuri usiku?
Unalala masaa ya kutosha?
Inawezekana unaufanyisha mwili wako kazi kupitiliza. Au una mapungufu wa madini...hii ilinipata miaka kadhaa iliyopita. Nilikua nahisi uchovu mpaka basi wee. . . nikiwa darasani nafunga macho kidogo tu napotelea usingizini. Sikutilia sana maanani mpaka siku nipoanguka asubuhi na kuishia kupata kizunguzungu mchana kutwa. Baadae nikaja kugunduliwa sikua na madini ya chuma ya kutosha mwilini which resulted in anemia.
So kama sio kazi zimekuzidia au kushindwa kulala muda wa kutosha go and see a doctor.Better safe than sorry.
Kutopata usingizi husababisha wazimu (sio kukesha siku moja kwa wale wenye tabia ya kukosa usingizi siku zote). Kukesha kunaweza kumkondesha mtu na hudhurika ubongo.
YENYE KULETA USINGIZI:
1. Miongoni mwa vinavyosababisha usingizi ni mafuta ya tango, hufaa sana kwa wale wenye usingizi mchache wajipake mafuta hayo.
2. Vilevile mafuta ya busanji yanasaidia kuleta usingizi, pia ukitia miguu katika maji ya Uvuguvugu .
3. Pia kunusa manemane na kunywa maji yaliorowekwa manemane.
4. Kunusa zafarani na tufaha (apple) na pia maji ya zafarani ukayatia kichwani husaidia kuleta usingizi.
5. Kunya maziwa yaliyochemshwa ukatia kidogo sukari huleta usingizi
6. Asali safi ya nyuki kunywa kabla kulala kwa saa huleta usingizi.
Only Do What Your Heart Tells You
Allah Has Not Revealed A Disease without Treatment.... (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]
Mzizi Mkavu,hivi manemane zinapatikana wapi?
Only Do What Your Heart Tells You
Allah Has Not Revealed A Disease without Treatment.... (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]
umenikumbusha mbali dogo, 2kiwa chuon kuna mshkaj alikua anaangalia iz prison break ata mpka saa 11 asbh, anasema hasikii usingz kabsa!
Follow Us Here