Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

      Hbrn wataalam.

      Kuna mama mmoja anaujauzito wa miezi 8, anatarajia kujifungua dec 2011, tarehe za katikati. Tarehe 25 ya mwezi november alienda clinic kupima maendeleo ya mimba, alipopima, nesi aliyekuwepo alishangaa kwa nini mtot hajajigeuza kichwa kuelekea chini.

      Mama huyo alikuwa kilalamika maumivu ya tumbo na mbavuni, na alipoulizia nesi huyo alimwambia mtoto kakaa upande.

      Waliosikia walishangaa na kushituka, lakini wengine wakampa moyo wakamwambia NESI HUYO HUWA HANA MAJIBU MAZURI. Kwani pmoja na nesi kusema hayo, bado mama huyo ana uwezo wa kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi kufuata huduma ya clinic. Anatembea wastani wa kilometa 5 hivyo kwenda na kurudi km 10

      Watu walimwambia kama mtoto akikaa vibaya, huwezi kutembea umbali mrefu namana hiyo.

      naombeni ushauri ili nimshauri cha kufanya
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE


    2. #2
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Re: Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

      Quote By ntamaholo View Post
      Hbrn wataalam.

      Kuna mama mmoja anaujauzito wa miezi 8, anatarajia kujifungua dec 2011, tarehe za katikati. Tarehe 25 ya mwezi november alienda clinic kupima maendeleo ya mimba, alipopima, nesi aliyekuwepo alishangaa kwa nini mtot hajajigeuza kichwa kuelekea chini.

      Mama huyo alikuwa kilalamika maumivu ya tumbo na mbavuni, na alipoulizia nesi huyo alimwambia mtoto kakaa upande.

      Waliosikia walishangaa na kushituka, lakini wengine wakampa moyo wakamwambia NESI HUYO HUWA HANA MAJIBU MAZURI. Kwani pmoja na nesi kusema hayo, bado mama huyo ana uwezo wa kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi kufuata huduma ya clinic. Anatembea wastani wa kilometa 5 hivyo kwenda na kurudi km 10

      Watu walimwambia kama mtoto akikaa vibaya, huwezi kutembea umbali mrefu namana hiyo.

      naombeni ushauri ili nimshauri cha kufanya
      msaada wa ushauri wako, unaweza kuokoa maisha. shaurini tafadhali
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    3. #3
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Re: Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

      duh. Wanawake ni wazazi wetu lakini wanayopitia ni magumu mno. halafu pia ni watamu, hatuwezi kujitenga nao
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    4. #4
      lasix's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2011
      Posts : 227
      Rep Power : 464
      Likes Received
      36
      Likes Given
      1

      Default Re: Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

      anaweza kugeuka hata akiwa na miezi 9 km nafasi ipo,tatizo muda unavozidi kwenda anazidi kukua na nafasi ya kugeuka inakua ndogo,inatokea wengine wanageuka hadi wiki ya 37,38.inategemea kwa kweli ila asikate tamaa
      ntamaholo likes this.

    5. #5
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,119
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      919
      Likes Given
      412

      Default Re: Mtoto akiwa tumboni, hugeuka baada ya nda gani?

      Quote By lasix View Post
      anaweza kugeuka hata akiwa na miezi 9 km nafasi ipo,tatizo muda unavozidi kwenda anazidi kukua na nafasi ya kugeuka inakua ndogo,inatokea wengine wanageuka hadi wiki ya 37,38.inategemea kwa kweli ila asikate tamaa
      nakushukuru sana mkuu lasix, tumefika kwa daktari mwingine kasema yuko vizuri lakini ni mkubwa sana
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE


    Similar Topics

    1. Mabalaa humuandama mtoto wa kike tangu akiwa tumboni…………
      By Mtambuzi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 32
      Last Post: 27th September 2011, 14:31
    2. Kujua uzito wa mtoto awapo tumboni mwa mama.
      By Kaka' in forum JF Doctor
      Replies: 3
      Last Post: 19th August 2011, 07:59
    3. Eti mtoto hapumui tumboni
      By Mazogola in forum JF Doctor
      Replies: 6
      Last Post: 17th August 2011, 19:11
    4. Jinsi Ya Kutambua Jinsia Ya Mtoto Tumboni
      By X-PASTER in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 0
      Last Post: 11th June 2009, 15:30
    5. Yanayoweza kumdhuru mtoto tumboni
      By Bikra in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 0
      Last Post: 2nd June 2009, 20:58

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...