Go Back   JamiiForums.com > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor

Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
  #1 (permalink)  
Old 19th September 2008, 12:53 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 286
Rep Power: 21
Darwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud of
Thanks: 27
Thanked 78 Times in 45 Posts
Credits: 16,004
Default Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
Reply With Quote


  #2 (permalink)  
Old 19th September 2008, 01:01 PM
Mama's Avatar
Senior Member
 
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
Credits: 317,585
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
Originally Posted by darwin View Post
Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
Mtoto anaweza kuzaliwa bila kuwa na virus iwapo mama mwathirika atawahi kliniki. Huko atapewa dawa zinazozuia maambukizo toka kwa mama kwenda kwa mtoto hasa wakati wa kujifungua.

Baada ya mtoto kuzaliwa salama, inabidi mama achague either kumnyonyesha maziwa yake tu bila kumpa kitu kingine chochote hata maji ya kunywa hadi mtoto atakapo timiza umri wa miezi sita, au asimnyonyeshe kabisaaa.
Reply With Quote
The Following 4 Users Say Thank You to Mama For This Useful Post:
Bubu Ataka Kusema (21st September 2008), Kungurumweupe (20th September 2008), Nkamangi (19th September 2008), Rodelite (21st September 2008)
  #3 (permalink)  
Old 20th September 2008, 11:23 AM
Senior Member
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 227
Rep Power: 21
Kungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud of
Thanks: 652
Thanked 141 Times in 86 Posts
Credits: 11,855
Post Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Wakuu,

Kwanza ni vizuri ieleweke kwamba, hakuna direct contact kati ya damu ya mama na ya mtoto kwa kipindi chote mtoto awapo tumboni mwa mama yake. Hii inaondoa uwezekano wa mtoto kupata maambukizi akiwa tumboni mwa mama yake au kabla ya kuzaliwa!

Mtoto aweza kuambukizwa tu wakati wa kuzaliwa au baada ya kuzaliwa ikiwa hapatachukuliwa hatua za tahazari za kuzuia hilo!

Ieleweke kuwa ngozi ya mtoto huwa ni very delicate wakati ule wa kuzaliwa kiasi cha kuruhusu uwezekano wa kupata michubuko kwa urahisi endapo kutakuwa na msuguano kati ya hii ngozi na kuta za njia ya uzazi!

Kama njia ya uzazi haitapata vilainishi vya kutosha na ikawa ni ndogo kiasi cha kuchanika na hatimaye kutoa damu, na kama ngozi ya mtoto itakuwa na michubuko wakati wa kuzaliwa, basi mtoto anaweza kuambukizwa hiv wakati huu wa kuzaliwa!

Kama mtoto atazaliwa bila maambukizi, basi anaweza kuambukizwa na maziwa ya mama yake kama tu huyu mtoto atakuwa na michubuko kwenye utumbo wake au kwenye njia yake ya chakula wakati wa kipindi kile cha kunyonya!

Ili mtoto asiambukizwe kutokana na maziwa ya mama yake basi inabidi either anyonye maziwa ya mama yake pekee kwa muda wote wa utoto wake (muda wa kunyonya) na asipewe kitu kingine, au kama hilo haliwezekani basi atumie maziwa ya ng'ombe au artificial pekee na kamwe asichanganye na maziwa ya mama! Hii ni kwa sababu maziwa ya ng'ombe au yale artificial huwa yana kemikali ambazo zina nguvu kali inayoweza kusababisha michubuko kwenye utumbo laini wa mtoto! Hivo mtoto akipewa haya maziwa yenye kemikali yatakayosababisha michubuko kwenye utumbo wake laini halafu akanyonya maziwa ya mama yake mwenye hiv, basi kuna uwezekano wa mtoto huyu kupata maambukizi kwa kuwa utumbo wake tayari utakuwa na michubuko iliyosababishwa na maziwa haya yenye kemikali!

Hivo basi, kama mtoto amezaliwa na wazazi wenye hiv, na ili mtoto wao asipate maambukizi ya hiv basi inabidi mama yake afanye au achague kitu kimoja tu kati ya hivi viwili vifuatavo:

1. Mama amnyonyeshe mtoto wake mwenyewe kwa muda wote wa kunyonyesha bila kumpa kitu kingine au kumchanganyia maziwa yoyote yale, yawe ya ng'ombe au artificial!

2. Kama hilo la kwanza hapo juu haliwezekani, basi mtoto apewe maziwa ya ng'ombe au yale ya artificial pekee bila kuchanganya na yale ya mama yake kwa muda wote wa utoto wake (kipindi cha kunyonya)!
Reply With Quote
The Following 3 Users Say Thank You to Kungurumweupe For This Useful Post:
Kissa Eliakim (22nd September 2008), Maane (22nd September 2008), Rodelite (21st September 2008)
  #4 (permalink)  
Old 20th September 2008, 01:52 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Thu Apr 2008
Posts: 674
Rep Power: 22
Kipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud ofKipanga has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 236 Times in 166 Posts
Credits: 22,735
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
Originally Posted by tgeofrey View Post
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
...Mnh!!! Vipi tena mazee??? Uko sawa kweli upstairs!!???
__________________
"All things are created twice. There is a Mental or first creation ,and a physical or second creation to all things"
Reply With Quote
  #5 (permalink)  
Old 20th September 2008, 05:20 PM
Senior Member
 
Join Date: Thu Nov 2007
Posts: 80
Rep Power: 22
Majimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud ofMajimoto has much to be proud of
Thanks: 17
Thanked 45 Times in 26 Posts
Credits: 16,219
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
Originally Posted by tgeofrey View Post
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
Tatizo juu ya matatizo !!!!!!!
Reply With Quote
  #6 (permalink)  
Old 20th September 2008, 05:37 PM
Junior Member
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 3
Rep Power: 0
Willy has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud ofWilly has much to be proud of
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Credits: 1,608
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Reply With Quote
The Following 2 Users Say Thank You to Willy For This Useful Post:
kkiwango (20th September 2008), Maane (22nd September 2008)
  #7 (permalink)  
Old 20th September 2008, 07:38 PM
kkiwango's Avatar
Senior Member
 
Join Date: Mon Aug 2007
Location: Nyumbani
Posts: 133
Rep Power: 22
kkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud ofkkiwango has much to be proud of
Thanks: 60
Thanked 72 Times in 47 Posts
Credits: 6,284
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
Originally Posted by Willy View Post
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Uko sahihi Willy.Lakini pia kama mama akipata therapy mapema basi anaweza mkinga mtoto asipate HIV wakati bado yuko tumboni.

Last edited by kkiwango; 20th September 2008 at 07:39 PM. Reason: spellings
Reply With Quote
  #8 (permalink)  
Old 21st September 2008, 03:22 AM
Senior Member
 
Join Date: Sun Oct 2007
Location: Massachusetts
Posts: 124
Rep Power: 22
Rodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud ofRodelite has much to be proud of
Thanks: 101
Thanked 52 Times in 28 Posts
Credits: 975,480
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Asanteni sana wana JF mliotoa mafunzo haya katika topic hii. Sometimes mimi huwa naulizwa maswali yanayohusika na ugonjwa wa ukimwi nabaki kubabaisha jibu bila kuwa na solid facts.
Kuna wakati mwana mama mmoja aliniuliza....Je kama ukifanya mapenzi na mwanaume mwenye ukimwi ambaye ni "Carrier" wakati wote wawili mkiwa mmelewa....utaambukizwa ugonjwa huu?
Mimi nikamwambia Ndio ataambukizwa.
Je wana JF....mnasemaje katika swali hili?
Reply With Quote
  #9 (permalink)  
Old 21st September 2008, 03:46 PM
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 286
Rep Power: 21
Darwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud of
Thanks: 27
Thanked 78 Times in 45 Posts
Credits: 16,004
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?

Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?

Haya madokta kazi kwenu.
Reply With Quote
  #10 (permalink)  
Old 22nd September 2008, 10:35 AM
Senior Member
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 227
Rep Power: 21
Kungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud ofKungurumweupe has much to be proud of
Thanks: 652
Thanked 141 Times in 86 Posts
Credits: 11,855
Post Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
Originally Posted by Willy View Post
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Dear Willy,

Please don't mislead people!

What I said is totally true, though you can add some other facts!

Question: What you mean by your statement that my explanation is not totally true?! Can you please clarify so that we don't confuse people?!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On

Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kitabu cha ucheshi Shy Jokes/Utani 4 6th September 2008 09:18 PM
Black Mafya wateka mtoto Dar Bubu Msemaovyo Habari/Hoja mchanganyiko 5 18th July 2008 01:03 PM
Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa" Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 164 25th February 2008 07:41 AM
Mtoto wa miaka 15, amzalisha mama kwa njia ya upasuaji. Kuntakinte Entertainment Forum 7 24th October 2007 09:29 PM
Nani atamnyima kura mtoto wa rais NEC? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 7 14th June 2007 04:46 AM


All times are GMT +3. The time now is 05:20 PM.



Copyright JamiiForums.com