 |
 |

19th September 2008, 12:53 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Wed May 2008
Posts: 286
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 78 Times in 45 Posts
|
|
Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.
Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
|

19th September 2008, 01:01 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Mar 2008
Location: on planet earth
Posts: 2,535
Rep Power: 4026
Thanks: 1,409
Thanked 1,572 Times in 946 Posts
|
|
Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Quote:
Originally Posted by darwin
Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.
Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
|
Mtoto anaweza kuzaliwa bila kuwa na virus iwapo mama mwathirika atawahi kliniki. Huko atapewa dawa zinazozuia maambukizo toka kwa mama kwenda kwa mtoto hasa wakati wa kujifungua.
Baada ya mtoto kuzaliwa salama, inabidi mama achague either kumnyonyesha maziwa yake tu bila kumpa kitu kingine chochote hata maji ya kunywa hadi mtoto atakapo timiza umri wa miezi sita, au asimnyonyeshe kabisaaa.
|
|
The Following 4 Users Say Thank You to Mama For This Useful Post:
|
|

20th September 2008, 11:23 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 227
Rep Power: 21
Thanks: 652
Thanked 141 Times in 86 Posts
|
|
Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Wakuu,
Kwanza ni vizuri ieleweke kwamba, hakuna direct contact kati ya damu ya mama na ya mtoto kwa kipindi chote mtoto awapo tumboni mwa mama yake. Hii inaondoa uwezekano wa mtoto kupata maambukizi akiwa tumboni mwa mama yake au kabla ya kuzaliwa!
Mtoto aweza kuambukizwa tu wakati wa kuzaliwa au baada ya kuzaliwa ikiwa hapatachukuliwa hatua za tahazari za kuzuia hilo!
Ieleweke kuwa ngozi ya mtoto huwa ni very delicate wakati ule wa kuzaliwa kiasi cha kuruhusu uwezekano wa kupata michubuko kwa urahisi endapo kutakuwa na msuguano kati ya hii ngozi na kuta za njia ya uzazi!
Kama njia ya uzazi haitapata vilainishi vya kutosha na ikawa ni ndogo kiasi cha kuchanika na hatimaye kutoa damu, na kama ngozi ya mtoto itakuwa na michubuko wakati wa kuzaliwa, basi mtoto anaweza kuambukizwa hiv wakati huu wa kuzaliwa!
Kama mtoto atazaliwa bila maambukizi, basi anaweza kuambukizwa na maziwa ya mama yake kama tu huyu mtoto atakuwa na michubuko kwenye utumbo wake au kwenye njia yake ya chakula wakati wa kipindi kile cha kunyonya!
Ili mtoto asiambukizwe kutokana na maziwa ya mama yake basi inabidi either anyonye maziwa ya mama yake pekee kwa muda wote wa utoto wake (muda wa kunyonya) na asipewe kitu kingine, au kama hilo haliwezekani basi atumie maziwa ya ng'ombe au artificial pekee na kamwe asichanganye na maziwa ya mama! Hii ni kwa sababu maziwa ya ng'ombe au yale artificial huwa yana kemikali ambazo zina nguvu kali inayoweza kusababisha michubuko kwenye utumbo laini wa mtoto! Hivo mtoto akipewa haya maziwa yenye kemikali yatakayosababisha michubuko kwenye utumbo wake laini halafu akanyonya maziwa ya mama yake mwenye hiv, basi kuna uwezekano wa mtoto huyu kupata maambukizi kwa kuwa utumbo wake tayari utakuwa na michubuko iliyosababishwa na maziwa haya yenye kemikali!
Hivo basi, kama mtoto amezaliwa na wazazi wenye hiv, na ili mtoto wao asipate maambukizi ya hiv basi inabidi mama yake afanye au achague kitu kimoja tu kati ya hivi viwili vifuatavo:
1. Mama amnyonyeshe mtoto wake mwenyewe kwa muda wote wa kunyonyesha bila kumpa kitu kingine au kumchanganyia maziwa yoyote yale, yawe ya ng'ombe au artificial!
2. Kama hilo la kwanza hapo juu haliwezekani, basi mtoto apewe maziwa ya ng'ombe au yale ya artificial pekee bila kuchanganya na yale ya mama yake kwa muda wote wa utoto wake (kipindi cha kunyonya)!
|
|
The Following 3 Users Say Thank You to Kungurumweupe For This Useful Post:
|
|

20th September 2008, 01:52 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Thu Apr 2008
Posts: 674
Rep Power: 22
Thanks: 0
Thanked 236 Times in 166 Posts
|
|
Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Quote:
Originally Posted by tgeofrey
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
|
...Mnh!!! Vipi tena mazee??? Uko sawa kweli upstairs!!???
__________________
"All things are created twice. There is a Mental or first creation ,and a physical or second creation to all things"
|

20th September 2008, 05:20 PM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Thu Nov 2007
Posts: 80
Rep Power: 22
Thanks: 17
Thanked 45 Times in 26 Posts
|
|
Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Quote:
Originally Posted by tgeofrey
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
|
Tatizo juu ya matatizo !!!!!!!
|

20th September 2008, 05:37 PM
|
|
Junior Member
|
|
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 3
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
|
|
The Following 2 Users Say Thank You to Willy For This Useful Post:
|
|

20th September 2008, 07:38 PM
|
 |
Senior Member
|
|
Join Date: Mon Aug 2007
Location: Nyumbani
Posts: 133
Rep Power: 22
Thanks: 60
Thanked 72 Times in 47 Posts
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Quote:
Originally Posted by Willy
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
|
Uko sahihi Willy.Lakini pia kama mama akipata therapy mapema basi anaweza mkinga mtoto asipate HIV wakati bado yuko tumboni.
Last edited by kkiwango; 20th September 2008 at 07:39 PM.
Reason: spellings
|

21st September 2008, 03:22 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Sun Oct 2007
Location: Massachusetts
Posts: 124
Rep Power: 22
Thanks: 101
Thanked 52 Times in 28 Posts
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Asanteni sana wana JF mliotoa mafunzo haya katika topic hii. Sometimes mimi huwa naulizwa maswali yanayohusika na ugonjwa wa ukimwi nabaki kubabaisha jibu bila kuwa na solid facts.
Kuna wakati mwana mama mmoja aliniuliza.... Je kama ukifanya mapenzi na mwanaume mwenye ukimwi ambaye ni "Carrier" wakati wote wawili mkiwa mmelewa....utaambukizwa ugonjwa huu?
Mimi nikamwambia Ndio ataambukizwa.
Je wana JF....mnasemaje katika swali hili?
|

21st September 2008, 03:46 PM
|
|
JF Senior Expert Member
|
|
Join Date: Wed May 2008
Posts: 286
Rep Power: 21
Thanks: 27
Thanked 78 Times in 45 Posts
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?
Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?
Haya madokta kazi kwenu.
|

22nd September 2008, 10:35 AM
|
|
Senior Member
|
|
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 227
Rep Power: 21
Thanks: 652
Thanked 141 Times in 86 Posts
|
|
Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Quote:
Originally Posted by Willy
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
|
Dear Willy,
Please don't mislead people!
What I said is totally true, though you can add some other facts!
Question: What you mean by your statement that my explanation is not totally true?! Can you please clarify so that we don't confuse people?!
|
|
Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
|
|
|
| Thread Tools |
|
|
| Display Modes |
Linear Mode
|
Posting Rules
|
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts
HTML code is Off
|
|
|
All times are GMT +3. The time now is 05:20 PM.
|
 |