Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama? - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 19th September 2008, 12:53 PM   #1
Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Darwin Darwin is offline 19th September 2008, 12:53 PM

Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?

Darwin
JF Senior Expert Member
Points: 183,419, Level: 100 Points: 183,419, Level: 100 Points: 183,419, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Wed May 2008
Posts: 731
Thanks: 61
Thanked 41 Times in 37 Posts
Views: 820
Reply With Quote
  #2  
Old 19th September 2008, 01:01 PM
Mama Mama is offline
Mama has no status.
JF Premium Member
Points: 10,194,467, Level: 100 Points: 10,194,467, Level: 100 Points: 10,194,467, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 2,897
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 8 Posts
Rep Power: 4027
Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!Mama is one of most respected JF members!
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
View Post
Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?
Mtoto anaweza kuzaliwa bila kuwa na virus iwapo mama mwathirika atawahi kliniki. Huko atapewa dawa zinazozuia maambukizo toka kwa mama kwenda kwa mtoto hasa wakati wa kujifungua.

Baada ya mtoto kuzaliwa salama, inabidi mama achague either kumnyonyesha maziwa yake tu bila kumpa kitu kingine chochote hata maji ya kunywa hadi mtoto atakapo timiza umri wa miezi sita, au asimnyonyeshe kabisaaa.
__________________

Reply With Quote
  #3  
Old 20th September 2008, 11:23 AM
Kungurumweupe Kungurumweupe is offline
Kungurumweupe is Independent minded
JF Senior Expert Member
Points: 81,017, Level: 100 Points: 81,017, Level: 100 Points: 81,017, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 311
Thanks: 0
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Kungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enough
Post Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Wakuu,

Kwanza ni vizuri ieleweke kwamba, hakuna direct contact kati ya damu ya mama na ya mtoto kwa kipindi chote mtoto awapo tumboni mwa mama yake. Hii inaondoa uwezekano wa mtoto kupata maambukizi akiwa tumboni mwa mama yake au kabla ya kuzaliwa!

Mtoto aweza kuambukizwa tu wakati wa kuzaliwa au baada ya kuzaliwa ikiwa hapatachukuliwa hatua za tahazari za kuzuia hilo!

Ieleweke kuwa ngozi ya mtoto huwa ni very delicate wakati ule wa kuzaliwa kiasi cha kuruhusu uwezekano wa kupata michubuko kwa urahisi endapo kutakuwa na msuguano kati ya hii ngozi na kuta za njia ya uzazi!

Kama njia ya uzazi haitapata vilainishi vya kutosha na ikawa ni ndogo kiasi cha kuchanika na hatimaye kutoa damu, na kama ngozi ya mtoto itakuwa na michubuko wakati wa kuzaliwa, basi mtoto anaweza kuambukizwa hiv wakati huu wa kuzaliwa!

Kama mtoto atazaliwa bila maambukizi, basi anaweza kuambukizwa na maziwa ya mama yake kama tu huyu mtoto atakuwa na michubuko kwenye utumbo wake au kwenye njia yake ya chakula wakati wa kipindi kile cha kunyonya!

Ili mtoto asiambukizwe kutokana na maziwa ya mama yake basi inabidi either anyonye maziwa ya mama yake pekee kwa muda wote wa utoto wake (muda wa kunyonya) na asipewe kitu kingine, au kama hilo haliwezekani basi atumie maziwa ya ng'ombe au artificial pekee na kamwe asichanganye na maziwa ya mama! Hii ni kwa sababu maziwa ya ng'ombe au yale artificial huwa yana kemikali ambazo zina nguvu kali inayoweza kusababisha michubuko kwenye utumbo laini wa mtoto! Hivo mtoto akipewa haya maziwa yenye kemikali yatakayosababisha michubuko kwenye utumbo wake laini halafu akanyonya maziwa ya mama yake mwenye hiv, basi kuna uwezekano wa mtoto huyu kupata maambukizi kwa kuwa utumbo wake tayari utakuwa na michubuko iliyosababishwa na maziwa haya yenye kemikali!

Hivo basi, kama mtoto amezaliwa na wazazi wenye hiv, na ili mtoto wao asipate maambukizi ya hiv basi inabidi mama yake afanye au achague kitu kimoja tu kati ya hivi viwili vifuatavo:

1. Mama amnyonyeshe mtoto wake mwenyewe kwa muda wote wa kunyonyesha bila kumpa kitu kingine au kumchanganyia maziwa yoyote yale, yawe ya ng'ombe au artificial!

2. Kama hilo la kwanza hapo juu haliwezekani, basi mtoto apewe maziwa ya ng'ombe au yale ya artificial pekee bila kuchanganya na yale ya mama yake kwa muda wote wa utoto wake (kipindi cha kunyonya)!
Reply With Quote
  #4  
Old 20th September 2008, 01:52 PM
Kipanga Kipanga is offline
Kipanga wondering, Tz ni Shamba la Bibi??
JF Senior Expert Member
Points: 105,194, Level: 100 Points: 105,194, Level: 100 Points: 105,194, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Thu Apr 2008
Posts: 687
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 23
Kipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enoughKipanga will become famous soon enough
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
View Post
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
...Mnh!!! Vipi tena mazee??? Uko sawa kweli upstairs!!???
__________________
"All things are created twice. There is a Mental or first creation ,and a physical or second creation to all things"
Reply With Quote
  #5  
Old 20th September 2008, 05:20 PM
Majimoto Majimoto is offline
Majimoto has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 104,675, Level: 100 Points: 104,675, Level: 100 Points: 104,675, Level: 100
Activity: 6% Activity: 6% Activity: 6%
 
Join Date: Thu Nov 2007
Posts: 263
Thanks: 112
Thanked 71 Times in 44 Posts
Rep Power: 23
Majimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enoughMajimoto will become famous soon enough
Default Re: baba hiv+ mama hiv+ mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
View Post
ukimwi hiv vyote ni usanii wa ukoloni mambo leo. hakuna kutumia kondom ja maa wanaogopa tutawazidi idadi
Tatizo juu ya matatizo !!!!!!!
Reply With Quote
  #6  
Old 20th September 2008, 05:37 PM
Willy Willy is offline
Willy has no status.
Member
Points: 73,705, Level: 100 Points: 73,705, Level: 100 Points: 73,705, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed Feb 2008
Posts: 21
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 0
Willy will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enoughWilly will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Reply With Quote
  #7  
Old 20th September 2008, 07:38 PM
kkiwango's Avatar
kkiwango kkiwango is offline
kkiwango thinking about the future
Senior Member
Points: 99,312, Level: 100 Points: 99,312, Level: 100 Points: 99,312, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Aug 2007
Location: Nyumbani
Posts: 143
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 23
kkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enoughkkiwango will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
View Post
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Uko sahihi Willy.Lakini pia kama mama akipata therapy mapema basi anaweza mkinga mtoto asipate HIV wakati bado yuko tumboni.

Last edited by kkiwango; 20th September 2008 at 07:39 PM.. Reason: spellings
Reply With Quote
  #8  
Old 21st September 2008, 03:22 AM
Rodelite Rodelite is offline
Rodelite Okay
JF Senior Expert Member
Points: 84,204, Level: 100 Points: 84,204, Level: 100 Points: 84,204, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sun Oct 2007
Location: Massachusetts
Posts: 265
Thanks: 99
Thanked 7 Times in 7 Posts
Rep Power: 23
Rodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enoughRodelite will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Asanteni sana wana JF mliotoa mafunzo haya katika topic hii. Sometimes mimi huwa naulizwa maswali yanayohusika na ugonjwa wa ukimwi nabaki kubabaisha jibu bila kuwa na solid facts.
Kuna wakati mwana mama mmoja aliniuliza....Je kama ukifanya mapenzi na mwanaume mwenye ukimwi ambaye ni "Carrier" wakati wote wawili mkiwa mmelewa....utaambukizwa ugonjwa huu?
Mimi nikamwambia Ndio ataambukizwa.
Je wana JF....mnasemaje katika swali hili?
Reply With Quote
  #9  
Old 21st September 2008, 03:46 PM
Darwin Darwin is offline
Darwin has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 183,419, Level: 100 Points: 183,419, Level: 100 Points: 183,419, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 731
Thanks: 61
Thanked 41 Times in 37 Posts
Rep Power: 23
Darwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?

Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?

Haya madokta kazi kwenu.
Reply With Quote
  #10  
Old 22nd September 2008, 10:35 AM
Kungurumweupe Kungurumweupe is offline
Kungurumweupe is Independent minded
JF Senior Expert Member
Points: 81,017, Level: 100 Points: 81,017, Level: 100 Points: 81,017, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Jun 2008
Posts: 311
Thanks: 0
Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power: 22
Kungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enoughKungurumweupe will become famous soon enough
Post Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Quote:
View Post
Dear
Lets be careful here what kungurumweupe said above is not totally true. Mtoto akiwa kwenye tumbo la uzazi anaweza kuambukizwa virusi vya ukimwi. Hii inategemea the stage of the mother disease, degree of immunodeficiency as indicated by levels of CD4 na mambo mengine. Ingawa the biggest proportion of children get infected during delivery. As an HIV expert I enjoy following up what is written in JF, but tusiende mbali sana tukadangaya umma, hasa kwenye jambo kama maambukuzi ya HIV.
Asante Willy
Dear Willy,

Please don't mislead people!

What I said is totally true, though you can add some other facts!

Question: What you mean by your statement that my explanation is not totally true?! Can you please clarify so that we don't confuse people?!
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anaweza, baba, hiv, je, kuzaliwa, mama, mtoto, salama


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa" Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 165 19th August 2009 03:51 PM
Wafanyakazi wa Ndani: Je, Hausigeli Huyu Ana Kosa? Fundi Mchundo Habari na Hoja mchanganyiko 32 30th January 2008 09:08 AM
Mama Besty Jukwaa la Lugha 0 18th April 2007 05:16 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 08:00 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com