Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 19th September 2008, 12:53 PM  
Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Darwin Darwin is offline 19th September 2008, 12:53 PM

Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?

Darwin
JF Senior Expert Member
Points: 182,457, Level: 100 Points: 182,457, Level: 100 Points: 182,457, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Wed May 2008
Posts: 730
Thanks: 61
Thanked 41 Times in 37 Posts
Views: 819
Reply With Quote
  #11  
Old 22nd September 2008, 12:39 PM
Darwin Darwin is offline
Darwin has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 182,457, Level: 100 Points: 182,457, Level: 100 Points: 182,457, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 730
Thanks: 61
Thanked 41 Times in 37 Posts
Rep Power: 23
Darwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enoughDarwin will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Kungurumweupe bado kuna hili swali hapa

Quote:
View Post
Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?

Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?

Haya madokta kazi kwenu.
Reply With Quote
  #12  
Old 20th November 2008, 02:36 AM
Saikosisi's Avatar
Saikosisi Saikosisi is offline
Saikosisi disturbed
JF Premium Member
Points: 116,719, Level: 100 Points: 116,719, Level: 100 Points: 116,719, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Fri May 2007
Location: Home
Posts: 502
Thanks: 10
Thanked 10 Times in 8 Posts
Rep Power: 24
Saikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enoughSaikosisi will become famous soon enough
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Darwin, ni kweli kinachoungana ni ile mbegu yenyewe sperm na ovum, ambazo hazina virusi- kwa hiyo kitoto (ki-zygote) kinachotokea kiko free of virus. Maambukizi yanaweza kutokea kuanzia wakati wa ujauzito (sio kama mchangiaji mmoja aliyesema haiwezekani kuambukizwa kwa sababu damu hazigusani)- kuna conditions kibao ambazo zinaharibu intergrity ya placenta kwa hiyo vijidudu vingi, HIV, malaria, n.k vinaweza kuingia upande wa mtoto, ingawa ni kweli maambukizi mengi yanatokea wakati wa kujifungua.
Kuna njia nyingi sasa za kuzuia maambukizi toka kwa mama kwenda kwa mtoto; sasa hivi 'nji' zilizoendelea ni kama hawana tena tatizo hilo lakini kwetu TZ bado tunajikongoja.
Tutafika, taratibu!
__________________
"Success is my only modafkng option failure is not" - eminem
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
anaweza, baba, hiv, je, kuzaliwa, mama, mtoto, salama


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa" Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 165 19th August 2009 03:51 PM
Wafanyakazi wa Ndani: Je, Hausigeli Huyu Ana Kosa? Fundi Mchundo Habari na Hoja mchanganyiko 32 30th January 2008 09:08 AM
Mama Besty Jukwaa la Lugha 0 18th April 2007 05:16 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:34 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com