Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama? - Page 2 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Education, Science & Technology Forums > JF Doctor


JF Doctor We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kila binadamu ni mgonjwa, suluhu ya tatizo lako yaweza kupatikana kwa kuuanika ugonjwa. Karibu


Reply
 
LinkBack Thread Tools Display Modes
Old 19th September 2008, 12:53 PM  
Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?
Darwin Darwin is offline 19th September 2008, 12:53 PM

Juzi kuna gazeti moja nimesoma kwamba watu wenye hiv huko Nigeria wanalazimishwa kuoana ili ongezeko la ukimwi lipungue.

Kwanza ni jambo lakushangaza na kusikitisha kwamba watu wanalazimishwa kuoana, ila najiuliza je hao watu wana uwezo wa kuzaa watoto ambao hawana HIV?

Darwin
JF Senior Expert Member
Join Date: Wed May 2008
Posts: 364
Thanks: 31
Thanked 103 Times in 66 Posts
Views: 646
Reply With Quote
  #11 (permalink)  
Old 22nd September 2008, 12:39 PM
Darwin has no status.
JF Senior Expert Member
 
Join Date: Wed May 2008
Posts: 364
Thanks: 31
Thanked 103 Times in 66 Posts
Rep Power: 22
Darwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud ofDarwin has much to be proud of
Credits: 973,975
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Kungurumweupe bado kuna hili swali hapa

Quote:
View Post
Si wanasema kwamba manii ya mwanaume yanabeba sana virusi vingi? sasa huyo mtoto siatakua keshambuakizwa tayari hata kabla yakua mkubwa tumboni?

Au kinachoingia kwenye yai la kike ni zile mbegu tu sperm cell bila ule umajimaji unaobeba virusi vingi?

Haya madokta kazi kwenu.
Reply With Quote
Sponsors

Enter your Email


Preview |

Tuma ukurasa huu kwa rafiki yako

  #12 (permalink)  
Old 20th November 2008, 03:36 AM
Saikosisi's Avatar
Saikosisi disturbed
JF Premium Member
 
Join Date: Fri May 2007
Location: Home
Posts: 436
Thanks: 52
Thanked 157 Times in 111 Posts
Rep Power: 23
Saikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud ofSaikosisi has much to be proud of
Credits: 939,920
Default Re: Baba HIV+, Mama HIV+: Je, Mtoto anaweza kuzaliwa salama?

Darwin, ni kweli kinachoungana ni ile mbegu yenyewe sperm na ovum, ambazo hazina virusi- kwa hiyo kitoto (ki-zygote) kinachotokea kiko free of virus. Maambukizi yanaweza kutokea kuanzia wakati wa ujauzito (sio kama mchangiaji mmoja aliyesema haiwezekani kuambukizwa kwa sababu damu hazigusani)- kuna conditions kibao ambazo zinaharibu intergrity ya placenta kwa hiyo vijidudu vingi, HIV, malaria, n.k vinaweza kuingia upande wa mtoto, ingawa ni kweli maambukizi mengi yanatokea wakati wa kujifungua.
Kuna njia nyingi sasa za kuzuia maambukizi toka kwa mama kwenda kwa mtoto; sasa hivi 'nji' zilizoendelea ni kama hawana tena tatizo hilo lakini kwetu TZ bado tunajikongoja.
Tutafika, taratibu!
__________________
If you want to WIN follow your BRAIN, but if you want to be HAPPY follow your HEART.
I am HAPPY whenever I WIN!
Reply With Quote
The Following User Says Thank You to Saikosisi For This Useful Post:
Reply

Bookmarks


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are On
Pingbacks are On
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Kitabu cha ucheshi Shy Jokes/Utani + Udaku/Gossips 4 6th September 2008 09:18 PM
Black Mafya wateka mtoto Dar Bubu Msemaovyo Habari/Hoja mchanganyiko 5 18th July 2008 01:03 PM
Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa" Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 164 25th February 2008 07:41 AM
Mtoto wa miaka 15, amzalisha mama kwa njia ya upasuaji. Kuntakinte Entertainment Forum 7 24th October 2007 09:29 PM
Nani atamnyima kura mtoto wa rais NEC? Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 7 14th June 2007 04:46 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 01:50 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com

no new posts