Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msaada jamani....maumbile ya SI

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Msaada jamani....maumbile ya SI

      Wana MMU poleni na shughuli za kila siku ..
      naombeni msaada jamani...
      kuna tatizo ambalo nilikuwa sijui kuwa ni tatizo kwa sababu mimi mda wote nilikuwa nipo comfortable with this japo nilikuwa nishawahi kupewa malalamiko mara kwa mara lakini sikujua kuwa ni issue ambayo inahitaji u serious wa hali ya juu
      issue yenyewe ni kuwa mchumba wangu kila mara nikitembea naye huwa analalamika sana anadai kuwa maumbile yangu ni makubwa ..sikuwahi kufikiri kuwa hili ni tatizo ..(kumbe kwenye uhusiano kuna mambo mengi sana)...mimi mda wote nilikuwa okey with my thing(**)...but huwa naona ninavyomuumiza mchumba wangu na mara nyingi najikuta namuingizia nusu tu na kutokana na anavyolalamika anadai anaumia inabidi tuache ..mara nyingi namuandaa vya kutosha sana .....lakini huwa anaumia....
      nimemwambia anitafutie dawa ya kupunguza ukubwa ila yeye anadai niiweke pete..siwezi kuweka pete...kuna kipindi tulifanya kwa mda mrefu i mean wote tulikuwa na mzuka sana ..but aftre that aliumwa mda zaidi ya one week ..alikuwa analalamika tu maumivu...
      ninachoomba ni kuwa nifanyeje?..au huyu dada hanipendi?..mbona ex zangu wote walikuwa wananiambia kuwa dude langu kubwa lakini walikuwa hawalalamiki maumivu?

      na je wadada mnapenda dude kuwa au vibamia?......mpaka sasa hivi sijaelewa
      thankx
      MziziMkavu, bacha and Bichau like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,625
      Rep Power : 13836
      Likes Received
      2265
      Likes Given
      2202

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Kidogo kidogo tu atakua nayo. Bora iwe kubwa akikua itamtosha kuliko iwe ndogo akikua impwaye. Wengi wa wadada hasa kama sio wazoefu wa ngono wanaumia mwanzoni wanapokutana na wanaume wenye maumbile makubwa lakini baadae wanazoea. Cha muhimu jitahidi tu kwenda nae polepole, usianze kuonyesha maufuuundi...
      Saint Ivuga and MziziMkavu like this.

    4. #3
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By Tuko
      Kidogo kidogo tu atakua nayo. Bora iwe kubwa akikua itamtosha kuliko iwe ndogo akikua impwaye. Wengi wa wadada hasa kama sio wazoefu wa ngono wanaumia mwanzoni wanapokutana na wanaume wenye maumbile makubwa lakini baadae wanazoea. Cha muhimu jitahidi tu kwenda nae polepole, usianze kuonyesha maufuuundi...
      asante sana mkuu Tuko ..nimekupata vizuri sana ubarikiwe ndugu..na ushauri wako sitauacha..
      viva JF
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    5. #4
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,507
      Rep Power : 902
      Likes Received
      509
      Likes Given
      74

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Haya Bwana Mtakatifu, mi nakushauri mpe dozi taratibu taratibu kisha atazoea, lakini ujitahidi uoe mkuu maana, wenye zakari zakutisha ni wachache sana hivyo wale ma ex gf wako unakuwa umeshawaaribu maana inakuwa ngumu kupata mwenye size kama yako hivyo unawafanya vibamia kuogelea ktk bahari.

    6. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By Likwanda
      Haya Bwana Mtakatifu, mi nakushauri mpe dozi taratibu taratibu kisha atazoea, lakini ujitahidi uoe mkuu maana, wenye zakari zakutisha ni wachache sana hivyo wale ma ex gf wako unakuwa umeshawaaribu maana inakuwa ngumu kupata mwenye size kama yako hivyo unawafanya vibamia kuogelea ktk bahari.
      hapana mkuu ile kitu huwa inarudi
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,368
      Rep Power : 12710
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Kiukweli msikilize mpenzi wako kama anasema anaumia jua ni kwelo anaumia. Halafu elewa wanawake kama ilivyo wanaume nao wanamaumbile tofautoia tofauti hivyo huenda huyo mchumba wako yuko tofauti na hao waliotangulia aisee. Kuhusu wanawake kukujibia hilo swali lako kama vibamia au laa hutapata majibu yatakayokusaidia na huyo mchumba ako. Kaeni chini mkubaliane kama uweke pete sawa maana standard ya dhakari ni 5 - 6inch.
      Saint Ivuga likes this.

    9. #7
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By Mzee wa Rula
      Kiukweli msikilize mpenzi wako kama anasema anaumia jua ni kwelo anaumia. Halafu elewa wanawake kama ilivyo wanaume nao wanamaumbile tofautoia tofauti hivyo huenda huyo mchumba wako yuko tofauti na hao waliotangulia aisee. Kuhusu wanawake kukujibia hilo swali lako kama vibamia au laa hutapata majibu yatakayokusaidia na huyo mchumba ako. Kaeni chini mkubaliane kama uweke pete sawa maana standard ya dhakari ni 5 - 6inch.
      asante sana mzee wa rula
      Mzee wa Rula likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    10. #8
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,368
      Rep Power : 12710
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      hapana mkuu ile kitu huwa inarudi
      Sahihi mkuu yeye anafikiri kuwa atazoea au itatanuka na kufiti. Namkumbusha tu basi wanawake wote walizaa wamgeachika kama hali ingekuwa hairudi kama awali.
      Saint Ivuga and Bichau like this.

    11. #9
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1348
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Aah! leo rafiki umekuja kwa gia hii ? usijali unaweza kupata mmoja aliyevutiwa na thread yako lakini isije kuwa tofauti ukasonywa bure hahaha!

      BACK TO THE TOPIC: bwana maumbile yapo tofauti mwenye kubwa atapata mwenza mwenye kubwa na mwenye ndogo atapata mwenye ndogo,ndio maana napinga hii dhana ya eti msifanye mpaka siku ya honeymoon matokeo yake karaha badala ya raha.
      Kuna rafiki yangu mwenye kibamia alisumbuka sana lakini mwishowe alipata mwenye ndogo ambaye nae alikuwa anaumizwa kila mara na wakina Ivuga na sasa wameoana wana furaha tele.
      Saint Ivuga likes this.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    12. #10
      Nemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2011
      Location : Dar
      Posts : 480
      Rep Power : 539
      Likes Received
      419
      Likes Given
      310

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By uporoto01
      Aah! leo rafiki umekuja kwa gia hii ? usijali unaweza kupata mmoja aliyevutiwa na thread yako lakini isije kuwa tofauti ukasonywa bure hahaha!

      BACK TO THE TOPIC: bwana maumbile yapo tofauti mwenye kubwa atapata mwenza mwenye kubwa na mwenye ndogo atapata mwenye ndogo,ndio maana napinga hii dhana ya eti msifanye mpaka siku ya honeymoon matokeo yake karaha badala ya raha.
      Kuna rafiki yangu mwenye kibamia alisumbuka sana lakini mwishowe alipata mwenye ndogo ambaye nae alikuwa anaumizwa kila mara na wakina Ivuga na sasa wameoana wana furaha tele.
      uporoto01
      Du............................ .. makubwa! I never knew guys do infact discuss biolojia zao with one another. I was always under the impression that mnaoneana noma.

      Saint Ivuga
      Since you by your own words umeshashuhudia mpenzi wako akiumwa for a week or so, baada ya nyie kufanya mapenzi, shouldnt you at least give the suggested ring option a chance?Apart from selfishness,"Nimemwambia anitafute dawa.............." as if this is her fault/issue only, kwani exactly what do you have against kuvaa hiyo pete? Please educate me!
      Saint Ivuga and uporoto01 like this.
      "Man looks on the out-ward appearance, but the Lord looks on the heart" (1 Samuel 16:7)

    13. EMT
      #11
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,896
      Rep Power : 61726
      Likes Received
      7174
      Likes Given
      6434

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Mtakatifu Ivuga huyu ndio yule mchumba uliyekuwa unalalamika kipindi fulani anachuliwa na rafiki yako? Au ni yule wa kihindi? Au ni lile jini la mahaba?
      Saint Ivuga and Roulette like this.
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    14. #12
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1348
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By Nemo
      uporoto01 Du............................ .. makubwa! I never knew guys do infact discuss biolojia zao with one another. I was always under the impression that mnaoneana noma
      Nemo biolojia ni muhimu sana kwenye mahusiano nami ni mwanaharakati wa swala la kujaribu kabla ya ndoa ili kujua uwiano wa maumbile sio siku ya siku mmoja au wote mnajuta na mmeshachelewa,kila binaadamu atapata wa saizi yake hamna suala la 'atazoea' au 'mvumilie tu si mmeo/mkeo'.
      Saint Ivuga likes this.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    15. #13
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By uporoto01
      Aah! leo rafiki umekuja kwa gia hii ? usijali unaweza kupata mmoja aliyevutiwa na thread yako lakini isije kuwa tofauti ukasonywa bure hahaha!

      BACK TO THE TOPIC: bwana maumbile yapo tofauti mwenye kubwa atapata mwenza mwenye kubwa na mwenye ndogo atapata mwenye ndogo,ndio maana napinga hii dhana ya eti msifanye mpaka siku ya honeymoon matokeo yake karaha badala ya raha.
      Kuna rafiki yangu mwenye kibamia alisumbuka sana lakini mwishowe alipata mwenye ndogo ambaye nae alikuwa anaumizwa kila mara na wakina Ivuga na sasa wameoana wana furaha tele.
      haha h....mkuu uporoto hii sio ya kutunga ni kweli ...
      bck to the topic: mimi mwenyewe dhana ya honeymoon sitaki kuisikia ...kula tunda ni muhimu kwanza
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    16. #14
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By Nemo
      uporoto01
      Du............................ .. makubwa! I never knew guys do infact discuss biolojia zao with one another. I was always under the impression that mnaoneana noma.

      Saint Ivuga
      Since you by your own words umeshashuhudia mpenzi wako akiumwa for a week or so, baada ya nyie kufanya mapenzi, shouldnt you at least give the suggested ring option a chance?Apart from selfishness,"Nimemwambia anitafute dawa.............." as if this is her fault/issue only, kwani exactly what do you have against kuvaa hiyo pete? Please educate me!
      nimeongea tu hivyo lakini sikukmaanisha selfishness...and im not that against to wear that pete ...i jus dont think that its comfortable to move around and hanging around with pete.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    17. #15
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By EMT
      Mtakatifu Ivuga huyu ndio yule mchumba uliyekuwa unalalamika kipindi fulani anachuliwa na rafiki yako? Au ni yule wa kihindi? Au ni lile jini la mahaba?
      huyu ni wife to be..wale wengine wote hawakuwahi kulalamika..
      AMINATA 9 likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    18. #16
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,017
      Rep Power : 934
      Likes Received
      555
      Likes Given
      319

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Mtungue mimba azae, labda hiyo itasaidia "nambwito" kupanuka.

    19. #17
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By UmkhontoweSizwe
      Mtungue mimba azae, labda hiyo itasaidia "nambwito" kupanuka.
      point taken bro!!!!
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    20. #18
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,189
      Rep Power : 28902
      Likes Received
      11673
      Likes Given
      4819

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      mtakatifu,nakusalimia tu. nakutakia wiki njema yenye mafanikio (sina hakika kama sala yangu ina_include hii shida yako)
      Saint Ivuga likes this.

    21. #19
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,704
      Rep Power : 10172
      Likes Received
      5667
      Likes Given
      12666

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      Quote By King'asti
      mtakatifu,nakusalimia tu. nakutakia wiki njema yenye mafanikio (sina hakika kama sala yangu ina_include hii shida yako)
      asante sana...kila kitu kiko poa...mbona avator umeibdilisha? style ya aden rage hio ya masilaha silaha bibie
      King'asti likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    22. #20
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,567
      Rep Power : 5616
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Msaada jamani....maumbile ya SI

      usimkunje sana, mpaka atakapozoea. Kama vp ongezea vilainishi!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 16
      Last Post: 26th November 2011, 06:33
    2. Msaada dawa ya kupunguza maumbile!
      By GAZETI in forum JF Doctor
      Replies: 6
      Last Post: 31st May 2011, 20:42
    3. Msaada wa jamani jamani jamani
      By kasambalakk in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 2
      Last Post: 7th May 2011, 12:16
    4. msaada jamani
      By flora msoffe in forum JF Doctor
      Replies: 4
      Last Post: 30th April 2011, 14:23
    5. Jamani msaada please!!
      By mgen in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 3rd January 2011, 16:14

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...