Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naombeni ufafanuzi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      pepim's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 443
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default Naombeni ufafanuzi

      Jamani eeh,naombeni ufafanuzi katika hili. Hivi kama mi nakuwa mwezini(hedhi) kila tarehe 5 ya mwezi, nikifanya tarehe 14 nitakuwa hatarini?........Nimeuliza hivyo kwasababu nilifanya tarehe 14-07-2011,kutoka tarehe 05 mwezi huu mpaka sasa sijaziona sik* zangu. Ufafanuzi tafadhali........

    2. Miaka 50

    3. #2
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,935
      Rep Power : 988
      Likes Received
      516
      Likes Given
      239

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      pole sn!kitu nyavuni tayari

    4. #3
      HAZOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 1,056
      Rep Power : 629
      Likes Received
      211
      Likes Given
      37

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      hapo mwana anajitunga..... anza maandalizi lakini kubwa kuliko yote usitutegemee sisi wana jf ambao nasi tunayetu makubwa...plz mcheki dr maana inawezekana haujajiandaa kupata chalii. so see the dr beibe
      JANA SI NIMEKOSEA BOMA NIKAINGIA KWA MAMA MKWE, IMELEWA SANA JANA. CHIBOROIKWE IMECHOOOOKA SANA LEO!!

    5. #4
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      hehehe kagreti thinka junior kanakuja, kinamama tunaomba vigelegele kidogo!
      uporoto01 likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    6. #5
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Quote By klorokwini
      hehehe kagreti thinka junior kanakuja, kinamama tunaomba vigelegele kidogo!
      huyu dada anauliza makofi polisi ? kuna njemba zina mbegu zenye nguvu siku yeyote ukikubali bila kinga ujue baada ya miezi tesa tunakaribisha Mtanzagiza mwingine ulimwenguni lol!
      klorokwini likes this.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?


    7. #6
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Quote By uporoto01
      huyu dada anauliza makofi polisi ? kuna njemba zina mbegu zenye nguvu siku yeyote ukikubali bila kinga ujue baada ya miezi tesa tunakaribisha Mtanzagiza mwingine ulimwenguni lol!
      Kuna njemba niliwahi kuishuhudia inaondoka na supu ya kenge halaf salad yake ni majani ya mtumbaku! heheeh sasa unazani njemba kama hii inaathiriwa na kalenda? ,
      to cut ze stori short: umeongea nukta kamanda, kuna njemba hata mdada awe kwenye siku zake wao zinatingisha nyavu!

      hapa kinachotakiwa greti thinka atayarishe jina tu la kajunior ketu
      uporoto01 likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    8. #7
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Quote By klorokwini
      Kuna njemba niliwahi kuishuhudia inaondoka na supu ya kenge halaf salad yake ni majani ya mtumbaku! heheeh sasa unazani njemba kama hii inaathiriwa na kalenda? ,
      to cut ze stori short: umeongea nukta kamanda, kuna njemba hata mdada awe kwenye siku zake wao zinatingisha nyavu!

      hapa kinachotakiwa greti thinka atayarishe jina tu la kajunior ketu
      mkuu haya mambo ya kalenda ndio yanaongeza abosheni kuna babu yangu aliniambia watoto wake wote walizaliwa kwa yeye kajamiana na mkewe zile siku 2-3 baada ya hedhi na wanapumzika wiki kabla ya kuendelea na ile ya leisure teh teh teh!
      klorokwini likes this.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    9. #8
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Quote By uporoto01
      mkuu haya mambo ya kalenda ndio yanaongeza abosheni kuna babu yangu aliniambia watoto wake wote walizaliwa kwa yeye kajamiana na mkewe zile siku 2-3 baada ya hedhi na wanapumzika wiki kabla ya kuendelea na ile ya leisure teh teh teh!
      Hii dunia usanii mtupu! ukijifanya greti thinka na makalenda yako ndo mara unashtukia unapata kaujauzito ka twins, bora tuhubiri ile ile kuujaza ulimwengi tu ili tujifariji.
      uporoto01 likes this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    10. #9
      Son of Africa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 469
      Likes Received
      21
      Likes Given
      7

      Default

      Ninacho kitabu kizuuri sana kuhusu habari hizo...nilipata switzerland. Sasa sijui utakipata vipi..unaishi Dsm? Una husband? Kama huna usiache condoms tafadhali..kama unaye mshauri mtumie sindano ya uzazi wa mpango not vidonge nor vijiti

    11. #10
      pepim's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 443
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default

      Hapana siishi Dar nipo Singida...Na wala sina mume ila nina mchumba.

    12. #11
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,569
      Rep Power : 8231
      Likes Received
      1604
      Likes Given
      809

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Quote By pepim
      Jamani eeh,naombeni ufafanuzi katika hili. Hivi kama mi nakuwa mwezini(hedhi) kila tarehe 5 ya mwezi, nikifanya tarehe 14 nitakuwa hatarini?........Nimeuliza hivyo kwasababu nilifanya tarehe 14-07-2011,kutoka tarehe 05 mwezi huu mpaka sasa sijaziona sik* zangu. Ufafanuzi tafadhali........
      dada Pepin...usfuatishe tarehe kwani tarehe za mzunguko huwa zinabadilika badilika...so uking'ang'ania tarehe fulani basi utanasa tu!

      Kwenye hii scenarion yako..ulianda hedhi kwa mara ya mwisho tarehe 05/07/2011, kama una mzunguko wa siku 28 (ambao wanawake wengi huwa hivyo), basi tarehe 14/07/2011 itakuwa ni siku ya 10 ya mzunguko. Wetu wenye mzunguko wa siku 28, siku zao hatari kupata mimba huanzia siku ya 11 hadi siku ya 18 ya mzunguko. Kama una uhakika mzunguko wako ni siku 28....you are safe! Kama una uhakika!
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    13. #12
      MESSI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 419
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      dada angu nadhani utakuwa mjamzito..birth control kwa njia ya kalenda haiko effective sana na sio relliable, maana ovulation period zinapishana sana kutoka kwa mtu mmoja na mwngn(ke)..cha mhm nenda hospital kapime tu mimba ili uweze kuwa na uhakika zaidi.

    14. #13
      Karry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 265
      Rep Power : 467
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      duh pole sana
      Quote By pepim
      Jamani eeh,naombeni ufafanuzi katika hili. Hivi kama mi nakuwa mwezini(hedhi) kila tarehe 5 ya mwezi, nikifanya tarehe 14 nitakuwa hatarini?........Nimeuliza hivyo kwasababu nilifanya tarehe 14-07-2011,kutoka tarehe 05 mwezi huu mpaka sasa sijaziona sik* zangu. Ufafanuzi tafadhali........

    15. #14
      pepim's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 443
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Hey wanajf,ahsanteni sana kwa mawazo yenu.......Mi ni kidume jama,ila niliuliza kwa niaba ya rafiki(me) na mpenzi wake..Wao co wanachama wa jf..

    16. #15
      Vmark.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2011
      Location : Arusha/Moshi.
      Posts : 736
      Rep Power : 542
      Likes Received
      89
      Likes Given
      9

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      Dah!!!haya kaka pepim....naona wana jf walishaanza kuulizia unapoishi...teh teh teh..lol!

    17. #16
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,660
      Rep Power : 929
      Likes Received
      589
      Likes Given
      101

      Default

      Quote By pepim
      Hey wanajf,ahsanteni sana kwa mawazo yenu.......Mi ni kidume jama,ila niliuliza kwa niaba ya rafiki(me) na mpenzi wake..Wao co wanachama wa jf..
      <br />
      <br />
      duh! ningepoteza muda wangu kukuuliza maswali ambayo ucngenijib.nashukuru,ngoja nikazimue.

    18. #17
      pepim's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 443
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default

      Hey nyalosti uliza 2,naweza kukujibu kwa niaba ya.....Kama nilivyouliza swali..Dah!Unazimua mpaka mwezi mtukufu?

    19. ldd
      #18
      ldd's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 385
      Rep Power : 477
      Likes Received
      28
      Likes Given
      13

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      subiri baada ya miez 9 then mwezi wa 10 itakua ime-settle sawaaaaaaaaaa ee

    20. #19
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,660
      Rep Power : 929
      Likes Received
      589
      Likes Given
      101

      Default

      Quote By pepim
      Hey nyalosti uliza 2,naweza kukujibu kwa niaba ya.....Kama nilivyouliza swali..Dah!Unazimua mpaka mwezi mtukufu?
      <br />
      <br />
      muulize maswali haya-alianza lini na kumaliza lini mp yake? any changes noted?

    21. #20
      pepim's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 443
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default Re: Naombeni ufafanuzi

      From 5th to 8th every month.You mean which changes?
      Last edited by pepim; 14th August 2011 at 21:51.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Naombeni ufafanuzi wa elimu yetu Waungwana!
      By GAZETI in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 15
      Last Post: 3rd October 2011, 07:59
    2. Talaka naombeni ufafanuzi pls
      By Karina in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 1
      Last Post: 10th August 2011, 16:32
    3. Replies: 5
      Last Post: 9th July 2010, 19:54
    4. Naombeni Ufafanuzi wa kisheria-Jinai
      By Lizy in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 22nd May 2009, 00:19
    5. Naombeni ufafanuzi wa kisheria
      By Democrasia in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 15
      Last Post: 13th February 2009, 16:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...