Jamani eeh,naombeni ufafanuzi katika hili. Hivi kama mi nakuwa mwezini(hedhi) kila tarehe 5 ya mwezi, nikifanya tarehe 14 nitakuwa hatarini?........Nimeuliza hivyo kwasababu nilifanya tarehe 14-07-2011,kutoka tarehe 05 mwezi huu mpaka sasa sijaziona sik* zangu. Ufafanuzi tafadhali........

Reply With Quote
Follow Us Here