Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      MAENE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : TANZANIA
      Posts : 44
      Rep Power : 432
      Likes Received
      5
      Likes Given
      15

      Default Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

      Habari wandugu? Naomba madaktari waliopo hapa wanisaidie,hivi duniani humu kuna dawa ambayo ina uwezo wa kuzuia mhemko?( ambayo inaweza kuwasaidia wale ambao hawana mpango wa kuyaingia maisha ya ndoa)

    2. Miaka 50

    3. #2
      SILENT ACtOR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : KANDA MAALUM!
      Posts : 551
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      142

      Default Re: Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

      Uliwazalo ndilo utendalo. Ondoa mawazo huko, uwe bize na kazi zako, fanya mazoezi kila unapopata kishawishi, mwombe Mungu wako akupe nguvu.

      Man is, but a product of his thoughts: what he thinks, that he becomes.
      Mahatma, Ghandi

    4. #3
      PingPong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2008
      Posts : 734
      Rep Power : 677
      Likes Received
      39
      Likes Given
      44

      Default Re: Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

      Quote By SILENT ACtOR
      Uliwazalo ndilo utendalo. Ondoa mawazo huko, uwe bize na kazi zako, fanya mazoezi kila unapopata kishawishi, mwombe Mungu wako akupe nguvu.

      Man is, but a product of his thoughts: what he thinks, that he becomes.
      Mahatma, Ghandi
      Hiyo ndio tiba pekee

    5. #4
      HAZOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 1,056
      Rep Power : 628
      Likes Received
      211
      Likes Given
      37

      Default Re: Hivi kuna dawa yoyote ya kuzuia mhemko?

      Duh wewe upo viceversa na mimi. Nahitaji mihemko kuendana na kasi na viwango vya mke wangu. Okey, tiba ni zoezi na akili. Fanya mazoezi na jitambue kwamba hutaki mambo ya ngono.
      Ahsante
      JANA SI NIMEKOSEA BOMA NIKAINGIA KWA MAMA MKWE, IMELEWA SANA JANA. CHIBOROIKWE IMECHOOOOKA SANA LEO!!

    6. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Je wajua dawa ya kuzuia kutapika?
      By Deo bony in forum JF Doctor
      Replies: 6
      Last Post: 21st February 2012, 02:23
    2. Ni kweli ni dawa ya mhemko kwa wanfunzi
      By Jewel in forum JF Doctor
      Replies: 1
      Last Post: 29th September 2011, 09:59
    3. Replies: 11
      Last Post: 21st May 2011, 11:01
    4. Wakuu hivi IMF/WORLD BANK kuna ngozi nyeusi yoyote ishawahi kuongoza
      By FredKavishe in forum Business & Economic Forum
      Replies: 46
      Last Post: 18th May 2011, 08:05
    5. Replies: 51
      Last Post: 13th July 2010, 16:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...