Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mwenzenu nimefiwa na bibi

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 113
    1. #1
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default mwenzenu nimefiwa na bibi

      Nasikitika kuwataarifu wana cc kuwa Bibi yangu kizaa Baba amefariki leo.Bibi ambaye alikua na umri mkubwa unaotazamiwa takribani mwiaka ipatayo 80 amefariki kwa uzee katika kipindi ambacho bado tunamuitaji,ilikua ni kawaida yake kwa kila tuendapo likizo alipenda kutuambia kuwa "nadhani hamta nikuta".Sisi tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi.R.I.P BIBI YANGU KIPENZI.


    2. #41
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Mr Rocky
      Pole sana mkuu Ruhazwe JR. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.
      amen! Mr Rocky ahsante sana
      Mr Rocky likes this.

    3. #42
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Preta
      pole sana kamanda......miaka 80 ilikuwa bado sana.....lakini Mungu amempenda zaidi.....R.I.P bibi....
      ahsante sana mlimbwende Preta

    4. #43
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Madame B
      Kumbe nini?
      Kabebe wakezo mje Kunduchi msibani.
      ha,ha,ha,...we mwanamke wewe! Ni kibogo

    5. #44
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By Asprin
      Basi sitaenda msibani leo, nasubiri mpaka ufungue ili tuongozane
      Vigezo na mashari kuzingatiwa
      Ushindwe na ulegezwe.
      Niache nimalizie hyo siku moja iliyobaki.

    6. #45
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By Asprin
      Nikatwe nini kiongozi?
      Unaulizwa ukatwe nini?
      Mtafute Watu 8 au nenda kwa wakubwa fungua post mke wa mtu ni sumu ujionee mwenyewe waliokatwa.
      Afu rudisha majibu huku.


    7. #46
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Baba V
      R.I.P granny! Pole sana mkuu RuhazweJr.
      ahsante sana Baba V
      Baba V likes this.

    8. #47
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Nilisha kwambia huyu babu si wamchezo kaa nae mbali
      Haya.
      Tutaenda msibani kunduchi vilevile ukamuone mume mwenzio wa zamani?

    9. #48
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By Asprin
      Mkuu unanipeperushia ndege wangu ujue. Madame B usimsikilize huyu mzandiki, come this way baby...
      Akhuuuu!!!!

    10. #49
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Madame B
      Asante Beb wangu,
      nitafutie tenge la Wax.
      Ila unajua haya mambo ya dini si ya kuwekeana ligi.
      mmm! We naye kwa Ma-beb haujambo aise

    11. #50
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By Asprin
      Hizi baibo mnazosoma mkiwa Guest House hizi......... khaa!
      Asprin pepo akutoke kwa jina la Yesu.
      Mwenzio nina Bachelour of Religion!!
      Shangaa.
      Asprin likes this.

    12. #51
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By DUDU JEUSI
      Ulisomea VETICAN?
      Utajiju.

    13. #52
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By salito
      Pole sana.
      ahsante sana salito

    14. #53
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,622
      Rep Power : 32116
      Likes Received
      14697
      Likes Given
      22255

      Default Re: mwenzenu nimefiwa na bibi

      Quote By Madame B
      Asprin pepo akutoke kwa jina la Yesu.
      Mwenzio nina Bachelour of Religion!!
      Shangaa.
      Bachelor Of Religion in Satanic Verses?

      Hongera mwaego!
      Madame B likes this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    15. #54
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,775
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1697

      Default

      Quote By Madame B
      Haya.
      Tutaenda msibani kunduchi vilevile ukamuone mume mwenzio wa zamani?
      hakuna shida kabisa tutakwenda beb!
      Madame B likes this.

    16. #55
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Bishanga
      Jf bana,watu mnabishana hadi msibani?
      Ruhazwe,pole kaka.
      ahsante Bishanga,hayo yanaitwa mastor ya msibani yasikupe hofu

    17. #56
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 13,268
      Rep Power : 28881
      Likes Received
      8606
      Likes Given
      6237

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      mmm! We naye kwa Ma-beb haujambo aise
      Na bado naendelea kukua,
      mpaka wanenu nitawabeba.
      Kaeni chonjo.

    18. #57
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,775
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1697

      Default

      Huyu amezoea kufumaniwa alaf ana samehewa.
      Ngoja nimkate ndio atashika adabu!

      Au tumwambie st paka mweusi amuombee atokwe n hili pepo


      Quote By Madame B
      Asprin pepo akutoke kwa jina la Yesu.
      Mwenzio nina Bachelour of Religion!!
      Shangaa.
      Madame B likes this.

    19. #58
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Madame B
      Haya.
      Tutaenda msibani kunduchi vilevile ukamuone mume mwenzio wa zamani?
      ha,ha,ha,teh,teh....unamambo wewe!hapo umefunga je ungekua hujafunga?japo huwa unasema dar hakuna kufunga
      Madame B likes this.

    20. #59
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default

      Quote By Madame B
      Na bado naendelea kukua,
      mpaka wanenu nitawabeba.
      Kaeni chonjo.
      haijambo lakini?
      Madame B likes this.

    21. #60
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,622
      Rep Power : 32116
      Likes Received
      14697
      Likes Given
      22255

      Default Re: mwenzenu nimefiwa na bibi

      Quote By Ruhazwe JR
      ha,ha,ha,teh,teh....unamambo wewe!hapo umefunga je ungekua hujafunga?japo huwa unasema dar hakuna kufunga
      Kiongozi eti msiba wapi? Madame B ananizengua tu hapa.
      Madame B likes this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...