Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 114
    1. #1
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,696
      Rep Power : 22522
      Likes Received
      6350
      Likes Given
      2838

      Default Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Watakaohesabiwa ni wale watakaolala KWENYE KAYA usiku wa kuamkia 26/08/12
      Wadau,

      Napenda kuwajulisha kuwa harusi ya Preta na Erickb52 iliyokuwa ifanyike tarehe 25 kuamkia 26/08/2012 imeahirishwa hadi siku isiyojulikana, kutokana na sababu kuwa baada ya harusi tulipanga walale Honeymoon gesti inayoitwa Arusha-Raha...na hivyo zoezi la sensa lingewapita kushoto!
      Wamekataa katakata na kusema bora waahirishe arusi kuliko kukosa sensa.

      Wapeni ushauri zaidi!


      Chanzo: Mimi ni mwanakamati!
      Asprin, FirstLady1, Preta and 3 others like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #2
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      khaaaaaaaaaaaqa mtu chake ana hizi news?? kweli kaazi jamani, haya na Amyner naye??
      Preta and Erickb52 like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    4. #3
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,696
      Rep Power : 22522
      Likes Received
      6350
      Likes Given
      2838

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By cacico
      khaaaaaaaaaaaqa mtu chake ana hizi news?? kweli kaazi jamani, haya na Amyner naye??
      Wenyewe hatuna hamu na tukio hili...Wametuacha hoi!
      Juzijuzi Eric alimhakikishia Remmy kuwa atafunga naye pingu za maisha, sielewi msichana huyu wa Kimasai Preta kamlisha nini Eric!...huenda ndio kampa kitu inaitwa loshoroo!
      Remmy, Preta, Erickb52 and 1 others like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    5. #4
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Vikao vya harusi huwa vinafanyikia wapi mkuu? ni Ngiwaranecha au?
      Preta and Erickb52 like this.

    6. #5
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,696
      Rep Power : 22522
      Likes Received
      6350
      Likes Given
      2838

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By tedo
      Vikao vya harusi huwa vinafanyikia wapi mkuu? ni Ngiwaranecha au?
      Hapana mkubwa,
      Ngiwaranecha Eric alikataa, alisema pale wanafanyia sana vikao vya misiba na mipango mazishi.
      Ya kwake tunafanyia pale Cleopatra jirani na Matejoo kwa Preta!
      Last edited by PakaJimmy; 17th August 2012 at 12:54.
      Preta and Erickb52 like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,746
      Rep Power : 15105
      Likes Received
      7204
      Likes Given
      6870

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      ha ha ha.....will be back soon....siamini mwenyekiti wa kamati uje utoe siri hadharni namna hii.....
      hii harusi ilikuwa siri.....au unataka Amyner na mtu chake waweke pingamizi....?
      Remmy and Erickb52 like this.

    9. #7
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,371
      Rep Power : 33549
      Likes Received
      8025
      Likes Given
      7564

      Default

      Quote By cacico
      khaaaaaaaaaaaqa mtu chake ana hizi news?? kweli kaazi jamani, haya na Amyner naye??
      Amyner keshatupwa kurrrrrrreeeeeeeeeeeeee!!!!! Huyo ndo erick bana zee la mazabe,asipofumaniwa hasikii raha ya kungononeka.
      Remmy, Preta, Erickb52 and 1 others like this.

    10. #8
      dazipozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Location : Dar.Tanzania
      Posts : 1,143
      Rep Power : 705
      Likes Received
      101
      Likes Given
      59

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Makubwa, Mx
      Erickb52 likes this.

    11. #9
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,173
      Rep Power : 12007
      Likes Received
      2649
      Likes Given
      1583

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      bora aolewe halafu honeymoon tutaipangia siku nyingine. mia
      Preta and Erickb52 like this.

    12. #10
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,696
      Rep Power : 22522
      Likes Received
      6350
      Likes Given
      2838

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By Preta
      ha ha ha.....will be back soon....siamini mwenyekiti wa kamati uje utoe siri hadharni namna hii.....
      hii harusi ilikuwa siri.....au unataka Amyner na mtu chake waweke pingamizi....?
      Hata sasa bado ni siri Preta... Kwani tayari ushawaona hao kina mtu chake na amyner hapa?
      Usikute na wao wameamua LIWALO NA LIWE!!
      Halafu mtu chake ni rafiki yangu wa karibu sana, nimeona huenda nikiongea kwa namna hii itamsaidida kukata tamaa!
      Preta and Erickb52 like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    13. #11
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,680
      Rep Power : 10168
      Likes Received
      5657
      Likes Given
      12666

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Preta unaolewa kweli jamani/ nataka nije
      Preta and Erickb52 like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #12
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,746
      Rep Power : 15105
      Likes Received
      7204
      Likes Given
      6870

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      Preta unaolewa kweli jamani/ nataka nije
      naolewa dia....karibu sana....
      MAMMAMIA, mtu chake and Erickb52 like this.

    15. #13
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,680
      Rep Power : 10168
      Likes Received
      5657
      Likes Given
      12666

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      nakuja na CUTE
      Preta and Erickb52 like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    16. #14
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,746
      Rep Power : 15105
      Likes Received
      7204
      Likes Given
      6870

      Default

      Quote By PakaJimmy
      Hata sasa bado ni siri Preta... Kwani tayari ushawaona hao kina mtu chake na amyner hapa?
      Usikute na wao wameamua LIWALO NA LIWE!!
      Halafu mtu chake ni rafiki yangu wa karibu sana, nimeona huenda nikiongea kwa namna hii itamsaidida kukata tamaa!
      halafu wewe.....kila ukiwa na Vaselisa unabutua sana.....mwanamke simpendi yule....toka anikwarue na makucha yake....sitaki hata kumuona.....namchukia kama nini.....
      Erickb52 likes this.

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4295
      Likes Given
      1229

      Default

      Amefanya kazi ya Mtoboa siri!
      Hongera for your coming wedding!

      Quote By Preta
      ha ha ha.....will be back soon....siamini mwenyekiti wa kamati uje utoe siri hadharni namna hii.....
      hii harusi ilikuwa siri.....au unataka Amyner na mtu chake waweke pingamizi....?
      Erickb52 likes this.

    18. #16
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,746
      Rep Power : 15105
      Likes Received
      7204
      Likes Given
      6870

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Amefanya kazi ya Mtoboa siri!
      Hongera for your coming wedding!
      asante mkuu....karibu uje kula ubweche.....
      Erickb52 likes this.

    19. #17
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By pakajimmy
      wenyewe hatuna hamu na tukio hili...wametuacha hoi!
      Juzijuzi eric alimhakikishia remmy kuwa atafunga naye pingu za maisha, sielewi msichana huyu wa kimasai preta kamlisha nini eric!...huenda ndio kampa kitu inaitwa loshoroo!
      ya ngoswe tumuachie ngoswe, ngoja nikae kimya!
      Erickb52 likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    20. #18
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14520
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By Bishanga
      Amyner keshatupwa kurrrrrrreeeeeeeeeeeeee!!!!! Huyo ndo erick bana zee la mazabe,asipofumaniwa hasikii raha ya kungononeka.
      khaaaaaaaa Erickb52 kweli ni kiboko!
      Erickb52 likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    21. #19
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7469
      Likes Given
      4604

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Quote By Bishanga
      Amyner keshatupwa kurrrrrrreeeeeeeeeeeeee!!!!! Huyo ndo erick bana zee la mazabe,asipofumaniwa hasikii raha ya kungononeka.

      Mekumiss wewe tu jf nzima!
      Erickb52 and Mwanyasi like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    22. #20
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7469
      Likes Given
      4604

      Default Re: Harusi ya Preta Yasogezwa Mbele...!

      Afu PakaJimmy una utani na mtu chake eeh?...........mie hapa yangu majicho
      Erickb52 likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...