True story niikumbukayo katika hili , nakumbuka nikiwa na 6 yrs.
Kuna magari yalikua yakiitwa Factor films yakipita kila mkoa ama wilaya kwa mwezi mara 1 yakionesha sinema, na hiyo ndiyo siku ya mgao wetu tr. 23 monthly!
Baba alishanipa warning mapema kua sitakiwi kwenda sinema siku hiyo kwakua mapema ya hiyo siku nilionekana nina symptoms za malaria.
Warning ya Baba haikufanya kazi mi nikaenda, niliporudi alinipa kichapo cha haja.
Baada kichapo nikamfata Maa nikamuuliza "hivi mama , huyu baba ni ndg yetu?"
akaniuliza , "kwanini ? " nikamwambia kanichapa akaniuliza tena "kwa hiyo unataka tumfanyaje?" nikajibu
"kwanza leo asile kwetu, usimpe chakula chetu alafu tumfukuze kwetu"
Follow Us Here