Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pitia hapa.

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      stevoh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 2,629
      Rep Power : 4307
      Likes Received
      897
      Likes Given
      194

      Default Pitia hapa.

      kwa wale ambao ni wana jamvi nawasalimu kwanza wakubwa SHIKAMOO na rika langu HABARI YAKO MSOMAJI!.

      Ninaomba kwa wale wanaotoa maoni yao au wanaoandika "threads" uzi kwa jina lingine hapa jukwaani naombeni mzingatie katika "UANDISHI" jitahidi mtoa mada au mchangiaji atumie "LUGHA INAYOSOMEKA NA KUELEWEKA" ili waweze kufikisha "UJUMBE" Uliokusudia kwani wapo watu wa "RIKA" tofauti tofauti ambao baadhi yao "WATAWEZA KUSOMA NA WENGINE WATASHINDWA" Hivyo kushindwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.

      Naomba kusisitiza
      "MATUMIZI YA LUGHA YAANI UANDISHI"

      Naomba KUWASILISHA.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Arushaone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Location : Arusha
      Posts : 6,449
      Rep Power : 40153
      Likes Received
      5091
      Likes Given
      16275

      Default Re: Pitia hapa.

      Umesomeka mkubwa.

    4. #3
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,481
      Rep Power : 28588
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5906

      Default Re: Pitia hapa.

      Ila ni kweli mkuu,
      maana si wote wanaelewa kile kiandikwacho.
      Kwa hlo hapo utakuwa umesaidia na wengine waso na uelewa.
      Big Up,
      UMESOMEKA MKUU stevoh

    5. #4
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,929
      Rep Power : 5064
      Likes Received
      3203
      Likes Given
      2661

      Default Re: Pitia hapa.

      Una undugu na kifimbo cheza?
      St. Paka Mweusi likes this.

    6. #5
      Wajad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2012
      Posts : 429
      Rep Power : 1307
      Likes Received
      113
      Likes Given
      0

      Default Re: Pitia hapa.

      Toa mifano tafadhali!

    7. Miaka 50

    8. #6
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default Re: Pitia hapa.

      mi naaamini mara nyingi kiswahili na kingereza ndo utumika na watu naona wanachangia tuu ila labda vile vijineno vya vibarazani ndo shida ila unless other wise umeeleka shivoooo oooooops samahan i,mean stevoh

    9. #7
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Madame B
      Ila ni kweli mkuu,
      maana si wote wanaelewa kile kiandikwacho.
      Kwa hlo hapo utakuwa umesaidia na wengine waso na uelewa.
      Big Up,
      UMESOMEKA MKUU stevoh
      Shikamoo madame mekumis jamaniii

    10. #8
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,882
      Rep Power : 17536
      Likes Received
      4897
      Likes Given
      5322

      Default Re: Pitia hapa.

      nmkpata kwa uzr! stevoh

    11. #9
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4317
      Likes Given
      1306

      Default

      Quote By Madame B
      Ila ni kweli mkuu,
      maana si wote wanaelewa kile kiandikwacho.
      Kwa hlo hapo utakuwa umesaidia na wengine waso na uelewa.
      Big Up,
      UMESOMEKA MKUU stevoh
      morning wangu?

    12. #10
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4317
      Likes Given
      1306

      Default Re: Pitia hapa.

      Nime kusoma stevoh

    13. #11
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,481
      Rep Power : 28588
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5906

      Default

      Quote By beibe nasty
      Shikamoo madame mekumis jamaniii
      Markhabaaaa!!!
      Mtoto mzuri beibe nasty,
      hata nami nimekumiss mmwaahhh!!! Mdogo wangu.
      Vp lakini umeamka swalama?

    14. #12
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,481
      Rep Power : 28588
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5906

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      morning wangu?
      Fineee!!! wangu,
      ila usiku wa leo sijalala vizuri si unajua ukishiba sana then ukashushia na maji ya dhahabu lazima ulale chali?
      Ndicho kilichonitokea.
      Ila niko poa baby() wangu,
      Missing u!!
      Ded:
      Try It On My Own-Whitney H.

    15. #13
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,279
      Rep Power : 13088
      Likes Received
      14161
      Likes Given
      15016

      Default Re: Pitia hapa.

      Ningekugongea lyk, ila my cm ita-cm 2moro.

    16. #14
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Madame B
      Markhabaaaa!!!
      Mtoto mzuri beibe nasty,
      hata nami nimekumiss mmwaahhh!!! Mdogo wangu.
      Vp lakini umeamka swalama?
      Swalama tuu dada madame mi nauzun bana cl antaka ondoka iiiiiiiiiiiiiiiiiiii eeeeeeeeeeeh nashindwa kuandika jinsi ya kupenga kamasii fyeeefyeee im in tears mim dada

    17. #15
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,481
      Rep Power : 28588
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5906

      Default

      Quote By beibe nasty
      Swalama tuu dada madame mi nauzun bana cl antaka ondoka iiiiiiiiiiiiiiiiiiii eeeeeeeeeeeh nashindwa kuandika jinsi ya kupenga kamasii fyeeefyeee im in tears mim dada
      Jamani beibe,
      me mwenyewe nackia huzuni kwa Shost wangu kutaka kujivua humu Jf,
      Ila ni heri huku anapewa udhia na watu asiowaona wala kuwajua zaidi ya Fake name,
      je,huko uraiani kwenye real name na anawaona kwa sura halisi si anaweza kuzichapa nao?

      Ila dawa ni kuwapotezea mazima.

      Basi my young don,utaniliza na mimi.

    18. #16
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,109
      Rep Power : 17239
      Likes Received
      1624
      Likes Given
      1125

      Default Re: Pitia hapa.

      Quote By charminglady
      nmkpata kwa uzr! stevoh
      charminglady wenye akili nzito hapo wanaweza wasikusome umeyaungaunga, mi nimekupata
      Stevoh nimekupata ila wakati mwingine tunakuwa tunapunguza ukali wa maneno kdg.. mkuu maneno mengine mpaka umalize kuliandika ushasimamisha.
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    19. #17
      Maprosoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Location : Sinza/Dar es salaam
      Posts : 2,380
      Rep Power : 1010
      Likes Received
      263
      Likes Given
      57

      Default

      Quote By Wajad
      Toa mifano tafadhali!
      Kwanini tuandikie mate ...... kama hivi
      Quote By Kongosho
      Ningekugongea lyk, ila my cm ita-Cm 2moro.
      au hivi
      Quote By Charminglady
      Nmkpata kwa uzr! stevoh
      Last edited by Maprosoo; 12th August 2012 at 01:55.

    20. #18
      stevoh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 2,629
      Rep Power : 4307
      Likes Received
      897
      Likes Given
      194

      Default

      Quote By Wajad
      Toa mifano tafadhali!
      Kuna thread niliiona jukwaa la MMU kaitafute imeandikwa na mtu katoka chuo juzi

    21. #19
      stevoh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 2,629
      Rep Power : 4307
      Likes Received
      897
      Likes Given
      194

      Default

      Quote By beibe nasty
      mi naaamini mara nyingi kiswahili na kingereza ndo utumika na watu naona wanachangia tuu ila labda vile vijineno vya vibarazani ndo shida ila unless other wise umeeleka shivoooo oooooops samahan i,mean stevoh
      Haya mama ufupisho uwe na mipaka au usiwepo kabisa niwaachie Mods

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...