Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 129
    1. #1
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Wakulu salama....??

      Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.



      Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni BAGAH na mwingine ni Erickb52
      Kisichana kilichotinga blue ndo Mamndenyi wakati cha kulia kabisa ndio ummu kulthum. Kushoto mwa Erickb52 ni KARIA nyuma yake ndo princess enny. Kidume kilicho mbele bila shati ndio Kaizer sasa. Kulia kwa Kaizer ni kilimasera na kushoto kwake ndio Madame B. Nyuma ya Madame B yuko Judgement. Hako kalikobebwa na Kongosho ndio charminglady. Anayechungulia kwa nyuma kabisa ni HYGEIA wakati yule tall kuliko wote ndio Eversmilin Gal



      Hapa ni beibe nasty, wahida, Cantalisia na Catherine wakikata mkonyonyo. Radio ya philips haionekani hapo wala DJ Bishanga naye kamera haikumnasa

      Sasa hebu angalia watu wanavyobadilika:



      Mentor
      na Catherine





      Kongosho
      akimshikisha adabu Erickb52



      Bishanga
      akiwa kishashiba



      @Mamndenyi akimchekesha Yummy



      Kaizer
      akimsindikiza mwaJ



      charminglady
      na platozoom



      Wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico, ile albamu nyingine mmeiweka wapi??
      Invisible, mwaJ, Kaizer and 12 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    2. Miaka 50

    3. #2
      KARIA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 3424
      Likes Received
      455
      Likes Given
      1126

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Wewe uko wapi kwenye hiyo picha?
      Erickb52, Mamndenyi and Yummy like this.
      MWENYE MVI NA MWENYE KIPARA NANI MKUBWA?

    4. #3
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By KARIA
      Wewe uko wapi kwenye hiyo picha?
      Mie ndo nlikuwa mpiga picha.... Umeelewa??

      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    5. #4
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,459
      Rep Power : 50824
      Likes Received
      9372
      Likes Given
      14588

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Heheheeee babu Kongosho haniwezi hata siku moja....hao walikuwa ni platozoom na mkewe wa zamani sio ummu kulthum
      Asprin and ummu kulthum like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    6. #5
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,451
      Rep Power : 28582
      Likes Received
      8052
      Likes Given
      5849

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Jamani eee,naskia rahaaa utamu,rahaaa utamu.
      Asprin asubuhi hii jamani.
      Asprin and Erickb52 like this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      KARIA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 3424
      Likes Received
      455
      Likes Given
      1126

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Asprin
      Mie ndo nlikuwa mpiga picha.... Umeelewa??

      Hii nimeipenda sana inajieleza vizuri mno! la sigara lipo, swali vp kuhusu bango la ngono?
      Asprin and Erickb52 like this.
      MWENYE MVI NA MWENYE KIPARA NANI MKUBWA?

    9. #7
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Madame B
      Jamani eee,naskia rahaaa utamu,rahaaa utamu.
      Asprin asubuhi hii jamani.
      Haya kam zis way nikukate kiu...
      Erickb52 and KARIA like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    10. #8
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,023
      Rep Power : 7212
      Likes Received
      2779
      Likes Given
      12

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Du! Kwa kutunza kumbukumbu babu!
      Nimekukubali !
      Hebu tuletee na hiyo albam ya pili !
      Asprin and Erickb52 like this.

    11. #9
      KARIA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 3424
      Likes Received
      455
      Likes Given
      1126

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Asprin
      Haya kam zis way nikukate kiu...
      Kitu gold! Mbona unanitia hamu!
      Asprin and Erickb52 like this.
      MWENYE MVI NA MWENYE KIPARA NANI MKUBWA?

    12. #10
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,451
      Rep Power : 28582
      Likes Received
      8052
      Likes Given
      5849

      Default

      Quote By Asprin
      Haya kam zis way nikukate kiu...
      Dah!
      Kitu cha Ndovu bardiiiii,
      Kinatema umande na unyevunyevu wa ubaridi.
      Na pembeni kuna mguu wa mbuzi wa kuchoma,
      Made in Vingunguti area.
      Nisubiri nakuja to ur way Asprin.
      Erickb52 and KARIA like this.

    13. #11
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By KARIA
      Kitu gold! Mbona unanitia hamu!
      Nakutia hamu? Na huyu atasema anatiwa nini sasa??

      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    14. #12
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Madame B
      Dah!
      Kitu cha Ndovu bardiiiii,
      Kinatema umande na unyevunyevu wa ubaridi.
      Na pembeni kuna mguu wa mbuzi wa kuchoma,
      Made in Vingunguti area.
      Nisubiri nakuja to ur way Asprin.
      Umejiandaa lakini? Si unajua kazi nyingine ngumu??


      Erickb52 and KARIA like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    15. #13
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 953
      Rep Power : 889
      Likes Received
      339
      Likes Given
      324

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      heeee!!!! tulichomaje thatha!! lete album ya pili ndio tulipendeza sana!!
      Asprin and Erickb52 like this.

    16. #14
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,542
      Rep Power : 6990
      Likes Received
      1166
      Likes Given
      580

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Erickb52
      Heheheeee babu Kongosho haniwezi hata siku moja....hao walikuwa ni platozoom na mkewe wa zamani sio ummu kulthum
      ujue ya kale ni dhahabu unaposema mke wa zamani mwenzio naona wivu jamaa!
      Asprin and Erickb52 like this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    17. #15
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By ummu kulthum
      ujue ya kale ni dhahabu unaposema mke wa zamani mwenzio naona wivu jamaa!
      Huyu wa sasa hivi hakufikishi mawenzi??

      Erickb52, ummu kulthum and cacico like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    18. #16
      KARIA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 3424
      Likes Received
      455
      Likes Given
      1126

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Asprin
      Nakutia hamu? Na huyu atasema anatiwa nini sasa??

      huyu hamu! na huyo mtoto kasoma mno! anamsaidia baba yake maandalizi!
      Asprin, Erickb52, BAGAH and 1 others like this.
      MWENYE MVI NA MWENYE KIPARA NANI MKUBWA?

    19. #17
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By KARIA
      huyu hamu! na huyo mtoto kasoma mno! anamsaidia baba yake maandalizi!
      Si unajua wababa wengine ni wazembe sana?

      Erickb52, KARIA and cacico like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    20. #18
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,451
      Rep Power : 28582
      Likes Received
      8052
      Likes Given
      5849

      Default

      Quote By Asprin
      Umejiandaa lakini? Si unajua kazi nyingine ngumu??


      Hizo kwangu ni kama kumsukuma mlevi vile.
      Yani ni pacha kama kiungo na mkabaji.
      Asprin, Erickb52 and KARIA like this.

    21. #19
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,441
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14546
      Likes Given
      22033

      Default Re: Wana Chit-Chat enzi hizooooo!!

      Quote By Madame B
      Hizo kwangu ni kama kumsukuma mlevi vile.
      Yani ni pacha kama kiungo na mkabaji.
      Ahsante kwa taarifa. Nikukute kabisa tiyari, sawa eh?

      Erickb52, KARIA, BAGAH and 1 others like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    22. #20
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,451
      Rep Power : 28582
      Likes Received
      8052
      Likes Given
      5849

      Default

      Quote By Asprin
      Ahsante kwa taarifa. Nikukute kabisa tiyari, sawa eh?

      Haya,
      ila mziki wangu mnene,
      cd 990!!
      Usije ukakata roho mtoto wa watu,nikapata murder kesi.
      Asprin, Erickb52, KARIA and 2 others like this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...