Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: love triangle asprin umekwishaaa.....?

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 100
    1. #1
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,521
      Rep Power : 6985
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      577

      Default love triangle asprin umekwishaaa.....?

      @aspirin ni babu kijana na mpenda totoz, hivi katika hali ya sasa ilivyongumu kimapenzi,kisiasa ,kiuchumi anawezaje kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja na totoz kibao anazifukuzia humu kila kukisha na @cacio na BADILI TABIA hawaoni kwamba ni tatizo na huwa wanampa sapot katika kila kitu je hawaoneani wivu au wana ajenda ya kiambukizo huru?wanatumia nini kujilinda na magojwa ya kuambukiza?hawa watu wanaishije kama wake wenza?au kuna KITU kimejifisha? Sipendi kuwaingilia ila nawaonea huruma jaman poleni,ujumbe huu uwafakie marafiki wote wa babu akiwamo erick52 Young_master Bishanga AmKATRINA charminglady platozoom figganigga na wengine fuateni mazuri yake mabaya muachieni mwenyewe!!
      Swali la kizushi, kwa nini huwa haupendi kumshirika Yummy kwenye mambo yako ZAIDI YA hao wengine?.
      ASPRIN




      BADILI TABIA CACIO



      Mchezo wa mapenzi ni mchezo usiokuwa na refa na rafu nyingi kuliko fairplay

      Ushauri nasaha unahitaji kijanababu ataangamia na bila yeye chit-chat itapwaya wapi mzee wa maphoto!!!!

      angalizo: ushauri uwe mzuri na sio wa kumkejeli atalalia bar na kuamkia club
      maoni tafadhalini
      Last edited by ummu kulthum; 8th August 2012 at 18:36.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    2. Study Abroad

    3. #61
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,284
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7958
      Likes Given
      7506

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By ummu kulthum
      ki ukweli mie napenda sana swaga zake lakini mambo ya malovee no kwani tayari nimeshashumbiwa af ni kama ana mfumo dume kwa hawa dada.
      kwenye red hapo Ummy,that tells us everything,ngoja tusubiri wiki 40 zipite maana aspro zinakouzwa durex hajui.
      Erickb52 and ummu kulthum like this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    4. #62
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,284
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7958
      Likes Given
      7506

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By afrodenzi
      babu ana date kwa msimu..
      spring, winter, autumn na summer.
      samahani wpendwa mlio kwenye rada ya babu
      wakija wengine, wapya wanaohitaji kukaguliwa mtatemwa tu ..

      ujumbe kutoka kwa mjukuu wa zamani .......
      kwenye list ya babu kulikuwa na Mwanajamiione, Dena Amasi, maria Roza, Rose1980, Blaki Woman, Michell, Lizzy, afrodenzi, Preta, Wos, Maty, BelindaJacob, Nilham Rashid, First lady1, dahhhhhh na wengine wengi..

      Ni hivi msimu wako ukiisha una step down ..
      na kazi yako ni kuleta ugoro na mkongojo , hao wapya ndio
      wanabaki hapo pembeni ya babu ..... "Mzunguko tu " au vipi babu Asprin
      afrodenzi,una memory ni hatari.
      btw ina maana mwezi huu next year kina cacico itakuwa ni kilio mikono kichwani?
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    5. #63
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,284
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7958
      Likes Given
      7506

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By cacico
      khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, thanx nways Bishanga! ngoja niende nitarudi na zana, lol! watuache miaka 100000000!
      sio kwamba mum pige chini mumuache aendelee na Ummy?
      Erickb52 and cacico like this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    6. #64
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,135
      Rep Power : 12000
      Likes Received
      2623
      Likes Given
      1583

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      namimi mnifundishe kutongoza nyumba ndogo. mia
      Bishanga and Erickb52 like this.

    7. #65
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,424
      Rep Power : 32072
      Likes Received
      14529
      Likes Given
      22033

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By afrodenzi
      babu ana date kwa msimu..
      spring, winter, autumn na summer.
      samahani wpendwa mlio kwenye rada ya babu
      wakija wengine, wapya wanaohitaji kukaguliwa mtatemwa tu ..

      ujumbe kutoka kwa mjukuu wa zamani .......
      kwenye list ya babu kulikuwa na Mwanajamiione, Dena Amasi, maria Roza, Rose1980, Blaki Woman, Michell, Lizzy, afrodenzi, Preta, Wos, Maty, BelindaJacob, Nilham Rashid, First lady1, dahhhhhh na wengine wengi..

      Ni hivi msimu wako ukiisha una step down ..
      na kazi yako ni kuleta ugoro na mkongojo , hao wapya ndio
      wanabaki hapo pembeni ya babu ..... "Mzunguko tu " au vipi babu Asprin
      Unajua afrodenzi ule mkongojo uloninunulia ushapinda? hebu kam zis wei nikunong'oneze jambo baba..... si wajua ya kale zahabu??
      Erickb52 and afrodenzi like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    8. Miaka 50

    9. #66
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,424
      Rep Power : 32072
      Likes Received
      14529
      Likes Given
      22033

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By afrodenzi
      babu ana date kwa msimu..
      spring, winter, autumn na summer.
      samahani wpendwa mlio kwenye rada ya babu
      wakija wengine, wapya wanaohitaji kukaguliwa mtatemwa tu ..

      ujumbe kutoka kwa mjukuu wa zamani .......
      kwenye list ya babu kulikuwa na Mwanajamiione, Dena Amasi, maria Roza, Rose1980, Blaki Woman, Michell, Lizzy, afrodenzi, Preta, Wos, Maty, BelindaJacob, Nilham Rashid, First lady1, dahhhhhh na wengine wengi..

      Ni hivi msimu wako ukiisha una step down ..
      na kazi yako ni kuleta ugoro na mkongojo , hao wapya ndio
      wanabaki hapo pembeni ya babu ..... "Mzunguko tu " au vipi babu Asprin
      Unajua afrodenzi ule mkongojo uloninunulia ushapinda? hebu kam zis wei nikunong'oneze jambo baba..... si wajua ya kale zahabu??
      Erickb52, afrodenzi and Kongosho like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    10. #67
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,284
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7958
      Likes Given
      7506

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By figganigga
      namimi mnifundishe kutongoza nyumba ndogo. mia
      habari ya zanzibar figganigga?
      figganigga and Erickb52 like this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    11. #68
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By Bishanga
      afrodenzi,una memory ni hatari.
      btw ina maana mwezi huu next year kina cacico itakuwa ni kilio mikono kichwani?
      unaomba niachike, na nikiachika jiandae kunioa! nataka unipeleke miami nikakae na muke ya mudhungu!
      Asprin, Erickb52 and ummu kulthum like this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    12. #69
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By Bishanga
      sio kwamba mum pige chini mumuache aendelee na Ummy?
      tumpige chini utatuoa weye?? ukaguzi unauweza au utatupekua tu!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    13. #70
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,284
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7958
      Likes Given
      7506

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By cacico
      tumpige chini utatuoa weye?? ukaguzi unauweza au utatupekua tu!
      kawapiga misumari asprin,ndo mana haishi kwenda handeni kila kukicha.
      Asprin and cacico like this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    14. #71
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,135
      Rep Power : 12000
      Likes Received
      2623
      Likes Given
      1583

      Default

      Quote By Bishanga
      habari ya zanzibar figganigga?
      poa tu mkuu. unaendeleaje na Cantalisia? mia

    15. #72
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,709
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By cacico
      unaomba niachike, na nikiachika jiandae kunioa! nataka unipeleke miami nikakae na muke ya mudhungu!
      Thubutu na pembe tatu yenu hukohuko subiri kumwagwa hamna wa kukuzoa
      Asprin, ummu kulthum and cacico like this.

    16. #73
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,709
      Rep Power : 19049
      Likes Received
      1448
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By figganigga
      poa tu mkuu. unaendeleaje na Cantalisia? mia
      Cantalisia tena una utani na Rejao wewe
      figganigga likes this.

    17. #74
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,424
      Rep Power : 32072
      Likes Received
      14529
      Likes Given
      22033

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By Bishanga
      kawapiga misumari asprin,ndo mana haishi kwenda handeni kila kukicha.
      Quote By The secretary
      Thubutu na pembe tatu yenu hukohuko subiri kumwagwa hamna wa kukuzoa
      Vitu adimu kama hivi tunavyopeana na cacico kuha kumwagana au sababu yoyote ya kwenda Handeni?

      cacico likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    18. #75
      valid statement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Posts : 2,549
      Rep Power : 896
      Likes Received
      419
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Baba V
      Ukiona wake wenza wanapatana hivyo ujue mume wao ni joka la kibisa na kati yao hakuna anayemuonea wivu mwenzie kwa kuwa wanajua hamna cha kufaidi zaidi ya matatizo, kile kibabu nlishasema hamna kitu mle,wanakilia tu vijihela vyake,Cacico shahidi
      una hakika na maneno yako mkuu???
      ummu kulthum and cacico like this.

    19. #76
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,135
      Rep Power : 12000
      Likes Received
      2623
      Likes Given
      1583

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By The secretary
      Cantalisia tena una utani na Rejao wewe
      hahahahaaaa...siku hizi hujui watu wanamiliki nyumba ndogo?. mia
      If you obey all the rules, you miss all the fun.

    20. #77
      valid statement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Posts : 2,549
      Rep Power : 896
      Likes Received
      419
      Likes Given
      0

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By Asprin
      Vitu adimu kama hivi tunavyopeana na cacico kuha kumwagana au sababu yoyote ya kwenda Handeni?

      vitu mnavyopeana sio hivyo... ni hivi hapa.
      Asprin likes this.
      “If you don’t build your dream, someone will hire you to build theirs.,,,,,Tonny Gaskins

    21. #78
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By valid statement
      una hakika na maneno yako mkuu???
      bora ulivyotutetea! nimekupenda bureeeeeee!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    22. #79
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By Asprin
      Vitu adimu kama hivi tunavyopeana na cacico kuha kumwagana au sababu yoyote ya kwenda Handeni?

      nakupendaje zaidi sasa??
      Asprin likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    23. #80
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: love triangle asprin umekwishaaa.....?

      Quote By The secretary
      Thubutu na pembe tatu yenu hukohuko subiri kumwagwa hamna wa kukuzoa
      na mtangoja sana nimwagwe! siachwi ng'o! The secretary mzima weye?
      Asprin likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    24. FemaTV & Radio
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...