Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JF Hall Of Fame

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. C6
      #1
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,078
      Rep Power : 19360
      Likes Received
      1767
      Likes Given
      1511

      Default JF Hall Of Fame

      leo nimeamua kuacknowledge baadhi ya wanamajamvi ambao kwa njia moja au nyingine wamekuwa ni role model wangu tangu nilipoingia jf, ntataja baadhi tu ambao watawakilisha wengine kwenye majukwaa ambayo uwa napitia pitia

      1. Science na Tech nampenda kumtaja chief-mkwawa
      2. jf photos , natambua uwepo wa Mbuzi Mzee bila kumsahau Boflo
      3. jf mmu, hapa uwa kuna mtu anajiita Mtambuzi
      4. jf chit-chat kuna pipo kama Bishanga na wengineo
      5. jf doctor, hapa siwezi kumuacha kumtaja MziziMkavu

      hawa ni baadhi tu, waweza ongeza list
      Mtambuzi, Remmy, afrodenzi and 3 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,914
      Rep Power : 5060
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2653

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Mule mule umelenga! Mbuzi mzee kila uzi yeye ni photo tu!

    4. #3
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,094
      Rep Power : 27013
      Likes Received
      8228
      Likes Given
      17325

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Duh! mfumo dume, yaani wote ulio-acknowledge kuwa ndio role mode wako ni midume mitupu, ina maana kida dada na kina mama haiwa - hu.....! gfsonwin, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Kaunga, MadameX, Madame B, King'asti, jeneneke, cacico, farkhina, MwanajamiiOne, Lizzy, na kina dada wengine wanaonogesha mijadala mbalimbali humu JF................Naamini nao wanastahili kuwa - acknowledged
      Remmy, afrodenzi, Roulette and 2 others like this.

    5. #4
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,332
      Rep Power : 28558
      Likes Received
      7980
      Likes Given
      5842

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Duh! mfumo dume, yaani wote ulio-acknowledge kuwa ndio role mode wako ni midume mitupu, ina maana kida dada na kina mama haiwa - hu.....! gfsonwin, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Kaunga, MadameX, Madame B, King'asti, jeneneke, cacico, farkhina, MwanajamiiOne, Lizzy, na kina dada wengine wanaonogesha mijadala mbalimbali humu JF................Naamini nao wanastahili kuwa - acknowledged
      Kwa kweli bora hata ndg Mtambuzi umeliona hilo jambo.
      MtotoSix kuwapendelea vidume wenzako ndio nini?
      Ina mana sisi akina dada hatuwapi 'stimu' ya kuingia ktk majukwaa?
      Hv unajua kwamba bila sisi wanawake,wamama na wadada kuwepo humu Jf mngekuwa mnang'aa macho tu wenyewe kwa wenyewe?
      Piga ua galagaza She ndo mulemule humu.

      Tunaweka mgomo sasa humu Jf,tuone mtakavyokonda.
      Mtambuzi, Remmy, afrodenzi and 2 others like this.

    6. #5
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,369
      Rep Power : 33548
      Likes Received
      8023
      Likes Given
      7528

      Default

      Quote By Madame B
      Kwa kweli bora hata ndg Mtambuzi umeliona hilo jambo.
      MtotoSix kuwapendelea vidume wenzako ndio nini?
      Ina mana sisi akina dada hatuwapi 'stimu' ya kuingia ktk majukwaa?
      Hv unajua kwamba bila sisi wanawake,wamama na wadada kuwepo humu Jf mngekuwa mnang'aa macho tu wenyewe kwa wenyewe?
      Piga ua galagaza She ndo mulemule humu.

      Tunaweka mgomo sasa humu Jf,tuone mtakavyokonda.
      Msamehe bure,hajui atendalo.
      Mtambuzi, Kongosho and gfsonwin like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,211
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Mbona gelofrendi wangu (mke wa Bishanga) hujamtaja?
      Kongosho, Mamndenyi and gfsonwin like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    9. #7
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,307
      Rep Power : 1695
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3308

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Mtakatifu sijatajwa naandamana..........
      MadameX likes this.

    10. #8
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,332
      Rep Power : 28558
      Likes Received
      7980
      Likes Given
      5842

      Default

      Quote By Bishanga
      Msamehe bure,hajui atendalo.
      Ye muache tu,
      atalambwa bakora na kikundi cha She humu Jf.
      Nyie wenyewe mnajua,bila sisi,hamjiwezi.

    11. #9
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,332
      Rep Power : 28558
      Likes Received
      7980
      Likes Given
      5842

      Default

      Quote By Nyani Ngabu
      Mbona gelofrendi wangu (mke wa Bishanga) hujamtaja?
      Ndo hapo chacha,
      hadi Shem wako ametoswa,
      we,acha kbs.

    12. C6
      #10
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,078
      Rep Power : 19360
      Likes Received
      1767
      Likes Given
      1511

      Default Re: JF Hall Of Fame

      jamani hao ni wawakilishi wa wooote wanaonikosha kwenye hayo majukwaa japo wapo wengi, afu nilijua tu wataibuka wadada kulaani kitendo cha kuto wataja


      Quote By Mtambuzi
      Duh! mfumo dume, yaani wote ulio-acknowledge kuwa ndio role mode wako ni midume mitupu, ina maana kida dada na kina mama haiwa - hu.....! gfsonwin, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Kaunga, MadameX, Madame B, King'asti, jeneneke, cacico, farkhina, MwanajamiiOne, Lizzy, na kina dada wengine wanaonogesha mijadala mbalimbali humu JF................Naamini nao wanastahili kuwa - acknowledged
      afrodenzi likes this.
      MY PORTFOLIO: http://www.mtotosix.info

    13. #11
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,616
      Rep Power : 26573
      Likes Received
      5846
      Likes Given
      5721

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By MtotoSix
      jamani hao ni wawakilishi wa wooote wanaonikosha kwenye hayo majukwaa japo wapo wengi, afu nilijua tu wataibuka wadada kulaani kitendo cha kuto wataja
      silaani chochote bana..
      kila mtu anauchaguzi na uamuzi wake maishani.
      wao ndio wanaoongoza kuwemo kwenye hayo majukwaa
      na mi binafsi nakuunga mkono 120% .....

      usema ukweli uliwataja hata mi nawapa "gold medal"
      hongereni sana wakubwa.. keep it up great job
      life goes on.....

    14. #12
      jeneneke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 709
      Rep Power : 487
      Likes Received
      294
      Likes Given
      268

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Nashukuru Mtambuzi umewakilisha Wabeijing lakini ye ametaja test zake,inategemea kwake mada gani ni muhimu akiwa anapita humu.
      Mtambuzi likes this.

    15. #13
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,440
      Rep Power : 32076
      Likes Received
      14542
      Likes Given
      22033

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By MtotoSix
      leo nimeamua kuacknowledge baadhi ya wanamajamvi ambao kwa njia moja au nyingine wamekuwa ni role model wangu tangu nilipoingia jf, ntataja baadhi tu ambao watawakilisha wengine kwenye majukwaa ambayo uwa napitia pitia

      1. Science na Tech nampenda kumtaja chief-mkwawa
      2. jf photos , natambua uwepo wa Mbuzi Mzee bila kumsahau Boflo
      3. jf mmu, hapa uwa kuna mtu anajiita Mtambuzi
      4. jf chit-chat kuna pipo kama Bishanga na wengineo
      5. jf doctor, hapa siwezi kumuacha kumtaja MziziMkavu

      hawa ni baadhi tu, waweza ongeza list
      Aisee inakuwaje sijaona mafellow tablets klorokwini na panadol yakitajwa wakati haya ndo majembe kwenye jukwaa la Great Thinkers?? Ukiugua hatutakuponya wallah!!
      Kongosho likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    16. #14
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,532
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By Madame B
      Kwa kweli bora hata ndg Mtambuzi umeliona hilo jambo.
      MtotoSix kuwapendelea vidume wenzako ndio nini?
      Ina mana sisi akina dada hatuwapi 'stimu' ya kuingia ktk majukwaa?
      Hv unajua kwamba bila sisi wanawake,wamama na wadada kuwepo humu Jf mngekuwa mnang'aa macho tu wenyewe kwa wenyewe?
      Piga ua galagaza She ndo mulemule humu.

      Tunaweka mgomo sasa humu Jf,tuone mtakavyokonda.
      Huo mgomo wenu ni batili maana hili swala liko mahakamani kwa sasa so itabidi tu muendelee kuchangia
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    17. #15
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,169
      Rep Power : 621
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By st. Paka mweusi
      mtakatifu sijatajwa naandamana..........
      madai yako hayatekelezeki..!!

    18. #16
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,169
      Rep Power : 621
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By mtotowamjini
      huo mgomo wenu ni batili maana hili swala liko mahakamani kwa sasa so itabidi tu muendelee kuchangia
      mtoto wa mjini umeniwahi asee!

    19. #17
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 953
      Rep Power : 889
      Likes Received
      339
      Likes Given
      324

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By St. Paka Mweusi
      Mtakatifu sijatajwa naandamana..........
      andamana shemeji!! hiv we role model a jukwaa gani vle!!??

    20. #18
      Madame B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Location : KINO CLAIN
      Posts : 12,332
      Rep Power : 28558
      Likes Received
      7980
      Likes Given
      5842

      Default

      Quote By mtotowamjini
      Huo mgomo wenu ni batili maana hili swala liko mahakamani kwa sasa so itabidi tu muendelee kuchangia

    21. #19
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,307
      Rep Power : 1695
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3308

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By princess enny
      andamana shemeji!! hiv we role model a jukwaa gani vle!!??


      Mimi napatikana sana jukwaa la Mbuzi mzee lakini nimeona nihamie huku shemeji naona kuna kaubaguzi wanataka kukaanzisha huku,mchuchu wangu hajambo lakini sijamuona akipita anga hizi msalimie mwambie ninammisije sasa.....
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    22. #20
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,307
      Rep Power : 1695
      Likes Received
      1564
      Likes Given
      3308

      Default Re: JF Hall Of Fame

      Quote By SALOK
      madai yako hayatekelezeki..!!



      Mkuu SALOK kama hawatanitekelezea madai yangu kitakachofuata ni mgomo.......
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...