Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mikataba feki ya mapenzi pm

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 30
    1. #1
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default mikataba feki ya mapenzi pm

      Bila shaka mikataba feki ya malavidavi inasainiwa kwenye inbox zenu a.k.a pm ajabu watu wakishagundua mikataba ni ya kifisadi wanakwenda mahakamani MMU' ombi langu kuanzia sasa mikataba yote iliyosainiwa pm iishie huko huko pm'

      Nawasilisha

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      Hahahahahahahahahahahahaha
      Ngongoseko yame kukuta nini?
      kweli kabisa wamegeuka serikali kukimbilia mahakamani

      umenichekesha hadi watu wananishangaa

    4. #3
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Hahahahahahahahahahahahaha
      Ngongoseko yame kukuta nini?
      kweli kabisa wamegeuka serikali kukimbilia mahakamani

      umenichekesha hadi watu wananishangaa

      Ruta,hayajanikuta ila naona mashtaka mengi mahakamani MMU uchunguzi wng nimegundua mikataba hii feki inasainiwa pm tu hakuna kwingine

    5. #4
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default

      Kweli kabisa ni bora wawe wana tuweka wazi kuhusu mikataba walio saini kuliko kutushirikisha wakati mikataba inapokuwa imevunjika!
      Quote By Ngongoseke
      Ruta,hayajanikuta ila naona mashtaka mengi mahakamani MMU uchunguzi wng nimegundua mikataba hii feki inasainiwa pm tu hakuna kwingine

    6. #5
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Kweli kabisa ni bora wawe wana tuweka wazi kuhusu mikataba walio saini kuliko kutushirikisha wakati mikataba inapokuwa imevunjika!
      Hahhaa kweli naukitaka kuamini kama hyo mikataba inasainiwa pm angalia comment zao chini utawajua tu waliosaini mikataba hiyo feki

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default

      Kweli hili jambo nilikuwa sija wai kujiuliza kabisa! Ila kuna mmoja alishaa kiri kusaini mkataba na mtu hapa na huyo aliye sign naye alichukulia ana sign mkataba wa utani kumbe mwenzie alikuwa serious mwisho wasiku akaenda mahakamani(MUM) lakini alikataa kumtaja aliye sign naye mkataba!

      Quote By Ngongoseke
      Hahhaa kweli naukitaka kuamini kama hyo mikataba inasainiwa pm angalia comment zao chini utawajua tu waliosaini mikataba hiyo feki

    9. #7
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,120
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      2617
      Likes Given
      1583

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      mimi pm napenda sana. unajua ukitaka ujue viumbe wa jf wanajua kuandika kimahaba basi ni kwenye pm. wanabembeleza hao!!..we acha tu. yaani utafikiri ni madoctor wa mapenzi. mi napenda. walio nipm vizuri wote nawachumu..Mmwaaaaaa...!!!. mia
      Mamndenyi likes this.

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default

      Hahahahahahahahahahahahah
      Quote By figganigga
      mimi pm napenda sana. unajua ukitaka ujue viumbe wa jf wanajua kuandika kimahaba basi ni kwenye pm. wanabembeleza hao!!..we acha tu. yaani utafikiri ni madoctor wa mapenzi. mi napenda. walio nipm vizuri wote nawachumu..Mmwaaaaaa...!!!. mia
      figganigga likes this.

    11. #9
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,615
      Rep Power : 26572
      Likes Received
      5845
      Likes Given
      5721

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      pole mkuu
      life goes on.....

    12. #10
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 958
      Rep Power : 576
      Likes Received
      154
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ngongoseke
      Bila shaka mikataba feki ya malavidavi inasainiwa kwenye inbox zenu a.k.a pm ajabu watu wakishagundua mikataba ni ya kifisadi wanakwenda mahakamani MMU' ombi langu kuanzia sasa mikataba yote iliyosainiwa pm iishie huko huko pm'

      Nawasilisha
      imekula kwako mda huu ndiyo unafunguka,pole sana.

      Usirudie tena na katika kipengele cha mkataba ongeza hairuhusiwa mkataba huu kupelekwa sehemu nyingine tofauti na pm

    13. #11
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 11,886
      Rep Power : 31774
      Likes Received
      5869
      Likes Given
      19165

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      unabeep ukipigiwa unahaha, kazi kwako.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    14. #12
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By figganigga
      mimi pm napenda sana. unajua ukitaka ujue viumbe wa jf wanajua kuandika kimahaba basi ni kwenye pm. wanabembeleza hao!!..we acha tu. yaani utafikiri ni madoctor wa mapenzi. mi napenda. walio nipm vizuri wote nawachumu..Mmwaaaaaa...!!!. mia

      Bila ubishi figga umeshasaini huo mkataba

    15. #13
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By Comi
      imekula kwako mda huu ndiyo unafunguka,pole sana.

      Usirudie tena na katika kipengele cha mkataba ongeza hairuhusiwa mkataba huu kupelekwa sehemu nyingine tofauti na pm
      Comi ' mimi sijasaini nimeshtuka mapema

    16. #14
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,282
      Rep Power : 33530
      Likes Received
      7954
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By figganigga
      mimi pm napenda sana. unajua ukitaka ujue viumbe wa jf wanajua kuandika kimahaba basi ni kwenye pm. wanabembeleza hao!!..we acha tu. yaani utafikiri ni madoctor wa mapenzi. mi napenda. walio nipm vizuri wote nawachumu..Mmwaaaaaa...!!!. mia
      Hujakoma tu pamoja na kugandishwa zenji?

    17. #15
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default

      Mh watu mnavogombana na keyboard zenu

    18. #16
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By mtotowamjini
      Mh watu mnavogombana na keyboard zenu

      Umewaona eeehhh!!!

    19. #17
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 778
      Rep Power : 577
      Likes Received
      248
      Likes Given
      241

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
      Happiness is not a reward it is a consequence









    20. #18
      Edoedward1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 314
      Rep Power : 419
      Likes Received
      54
      Likes Given
      142

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      Me mbona sijawahi kupata PM yoyote ya mahabaaa??

    21. #19
      stevoh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Arusha
      Posts : 2,567
      Rep Power : 4294
      Likes Received
      850
      Likes Given
      193

      Default Re: mikataba feki ya mapenzi pm

      mimi sijapata mkataba wowote.

    22. #20
      Ngongoseke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,049
      Rep Power : 581
      Likes Received
      246
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By Edoedward1
      Me mbona sijawahi kupata PM yoyote ya mahabaaa??
      Haaa au mlijiunga jf bila kujitambulisha?

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...