Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mungu na vifo vya binadamu

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Nameless-'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2009
      Posts : 47
      Rep Power : 522
      Likes Received
      0
      Likes Given
      8

      Unhappy Mungu na vifo vya binadamu

      Wakuu kuna misemo naisikia mara nyingi hususan katika misiba na sielewi hasa maana yake, mwenye uelewa eneo hili naomba anieleweshe. Mfano, mtu anaposema "Tulimpenda zaidi huyu (yaani marehemu) lakini Mungu kampenda zaidi" Hivi Mungu anapenda mauti yatukute wanadamu? Hii kauli huwa inanitatanisha na hasa ninapoambiwa ktk misiba niliyopoteza ndugu zangu.


    2. #2
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,052
      Rep Power : 3723
      Likes Received
      3621
      Likes Given
      5885

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      mmh Nikitoka Lunch nitakuja ...
      Nadhani mungu anakuwa ameamua kuvuna katika shamba lake
      KARIA likes this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    3. #3
      Nameless-'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2009
      Posts : 47
      Rep Power : 522
      Likes Received
      0
      Likes Given
      8

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      "...kuvuna katika shamba lake", mmmh, msamiati mwingine.

    4. #4
      The Infamous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 666
      Rep Power : 648
      Likes Received
      85
      Likes Given
      116

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      tukiwa matumboni mwa wazazi wetu, tunaweka ahadi na mungu juu ya vifo vyetu, hivyo tunapokufa ni ahadi tulizoweka zimetimia tu, ndio maana wanasema tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi. na huu ni msemo kuwafariji ndugu wa marehemu.
      KARIA likes this.

    5. #5
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,924
      Rep Power : 7252
      Likes Received
      1306
      Likes Given
      109

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      Bwana AMETOA na bwana AMETWAA jina la bwana libarikiwe......
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."


    6. #6
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,924
      Rep Power : 7252
      Likes Received
      1306
      Likes Given
      109

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      Quote By The Infamous View Post
      tukiwa matumboni mwa wazazi wetu, tunaweka ahadi na mungu juu ya vifo vyetu, hivyo tunapokufa ni ahadi tulizoweka zimetimia tu, ndio maana wanasema tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi. na huu ni msemo kuwafariji ndugu wa marehemu.
      Duh uongo mtakatifu hahahahahaaaa......
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    7. #7
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,710
      Rep Power : 47349
      Likes Received
      8342
      Likes Given
      7748

      Default Re: Mungu na vifo vya binadamu

      hii thread ni mahsusi kwenye jukwaa la 'dini'.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...