Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jei Efu Bana..

    Report Post
    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567
    Results 121 to 138 of 138
    1. #1
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Jei Efu Bana..

      ...nakumbuka zamani humu tulikuwa tunaitana Mkuu, bila kujali Umri wala jinsia.. Siku hizi watu wamebadilishana majina wanaitana Hane, Babu, Switi Hati, Laazizi, asali wa moyo n.k. Hii inatufanya mabachela tujisikie wapweke (au mkiita basi mtuite wote. Yes! haki sawa kwa wote).

      ... nakumbuka zamani watu walikuwa hawatongozani hovyo. Ila siku hizi siyo ajabu tena kukuta watu wanapigana denda hadharani kwenye masredi,, huko tuendako usishangae unafungua sredi unakuta watu wakifanya ngono humo.

      ...halafu sasa, zamani Bana vidume ndiyo tulikuwa tunarusha ndoano kwa mabinti humu JeiEfu, lakini siku hizi unashangaa Binti anakutongoza wewe tena macho makavu. Wengine hii mambo tunaogopa Bana, raha ya mchuchu uhangaike naye siyo yeye ndiyo ahangaike na wewe (wewe nanihii, ukinisumbua tena nakuanzishia sredi!!!!)

      ... nakumbuka watu walikuwa hawajisifu humu, wanasubiri wasifiwe, lakini siku hizi mtu hata akijamba basi atakuja kujisifu jinsi alivyoacha mtafaruku kwenye daladala baada ya kuachia kijambo cha kisailensa eti!!

      ...nakumbuka zamani watu walikuwa hawalewi hovyo humu JeiEfu, lakini siku hizi unaweza kufungua thread ukakutana na harufu kali sana ya Kangara, Mbege, Chang'aa, Kimpumu, Mnazi, nakazalika (wahusika mnajijua, hasa wewe babu sijui nani).. Kwa kuongezea siku hizi kuna kibabu kinajifanya kinafanya ukaguzi wa vibinti vya watu (ndiyo, wewe hapo unajijua!).

      ... nakumbuka zamani tulikuwa hatugombanii michuchu humu, lakini siku hizi hata ukimsalimia tu mchuchu wa mtu basi unaanzishiwa sredi huku ukisakamwa kama vile umeiba hela..

      ... Zamani Bana wanaume tulikuwa siyo wambeya, lakini siku hizi tuna wanaume (mwanaume?) wambeya (mbeya?) humu mpaka wanasutwa (I hopu ze meseji delivadi)

      ....nakumbuka,,,,, aaagh TANESSSSSSSSSSSSSSSKOOOOOOOOOO OOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!

      Ngoja niwashe kibatari, narudi.
      Bishanga, Kaizer, Remmy and 10 others like this.
      Do Something......

    2. Miaka 50

    3. #121
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8073
      Likes Given
      7565

      Default Re: Jei Efu Bana..

      The secretary,uko wapi baby,yaani dadii nasimangwa we upo kimya tu?
      The secretary likes this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    4. #122
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Jei Efu Bana..

      morning chit chatters! lol!
      KARIA likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    5. #123
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,728
      Rep Power : 19054
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      129

      Default Re: Jei Efu Bana..

      nipo baby mi niliwaona nikawapotezea wanaonesha ni namna gani wanavyokupenda bila kukutaja hawali nawarembo wao bishanga tumekuzimia lakini unawapotezea.
      Bishanga likes this.
      slow down slow down i'm on the wright direction

    6. #124
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,728
      Rep Power : 19054
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      129

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Na huyu TANMO msamehe akikua ataacha
      slow down slow down i'm on the wright direction

    7. #125
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8073
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By The secretary
      nipo baby mi niliwaona nikawapotezea wanaonesha ni namna gani wanavyokupenda bila kukutaja hawali nawarembo wao bishanga tumekuzimia lakini unawapotezea.
      baby,chagua mwenyewe hili busu litue sehemu gani ya ngozi yako nyororo.....mmmmmmmwwaaaaaaaaa !!!!!

    8. RukaaJuu Final

    9. #126
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,399
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8073
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By The secretary
      Na huyu TANMO msamehe akikua ataacha
      nasubiri amalizie mgomo wa walimu maana nasikia ye ndo kinara,baada ya hapo atajua bishanga ni nani.

    10. #127
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,609
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2299

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Mmmmmmmmh haya mahabuba, acha nipite mie.....

    11. #128
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,056
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5006

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Erickb52
      Kama ummu kulthum hujaniona vizuri angalia na hii ya mzee b52 original sio huyo unayemuona
      Attachment 60336
      Then muite na cacico aje akwambie kama hujakosea hayo mawazo yako
      abeeeeeeee! rabekha!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    12. #129
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,035
      Rep Power : 7215
      Likes Received
      2790
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By BADILI TABIA
      Mmmmmmmmh haya mahabuba, acha nipite mie.....
      Hivi mahabuba kesharudi ? Nilisikia kasafiri !

    13. #130
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Kwahiyo zamani ni raha kuliko sasa? Mi nasubiri vya sasa viitwe zamani ili nione tofauti.

    14. #131
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,609
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2299

      Default

      Najua basi mahabuba huyu kwa mapozi loh......


      Quote By Judgement
      Hivi mahabuba kesharudi ? Nilisikia kasafiri !

    15. #132
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,728
      Rep Power : 19054
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      129

      Default Re: Jei Efu Bana..

      kama kako kwenye mgomo mpotezee inawezekana alikuwa anaondoa stress.hivi ameshapata mshahara kweli mlipe basi
      slow down slow down i'm on the wright direction

    16. #133
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,728
      Rep Power : 19054
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      129

      Default Re: Jei Efu Bana..

      ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!kun ako baby ngozi ya mwili wangu yote ni nyororo mi mwili wangu bado maji yanateleza hayajagoma bado
      slow down slow down i'm on the wright direction

    17. #134
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By TANMO
      ...nakumbuka zamani humu tulikuwa tunaitana Mkuu, bila kujali Umri wala jinsia.. Siku hizi watu wamebadilishana majina wanaitana Hane, Babu, Switi Hati, Laazizi, asali wa moyo n.k. Hii inatufanya mabachela tujisikie wapweke (au mkiita basi mtuite wote. Yes! haki sawa kwa wote).

      ... nakumbuka zamani watu walikuwa hawatongozani hovyo. Ila siku hizi siyo ajabu tena kukuta watu wanapigana denda hadharani kwenye masredi,, huko tuendako usishangae unafungua sredi unakuta watu wakifanya ngono humo.

      ...halafu sasa, zamani Bana vidume ndiyo tulikuwa tunarusha ndoano kwa mabinti humu JeiEfu, lakini siku hizi unashangaa Binti anakutongoza wewe tena macho makavu. Wengine hii mambo tunaogopa Bana, raha ya mchuchu uhangaike naye siyo yeye ndiyo ahangaike na wewe (wewe nanihii, ukinisumbua tena nakuanzishia sredi!!!!)

      ... nakumbuka watu walikuwa hawajisifu humu, wanasubiri wasifiwe, lakini siku hizi mtu hata akijamba basi atakuja kujisifu jinsi alivyoacha mtafaruku kwenye daladala baada ya kuachia kijambo cha kisailensa eti!!

      ...nakumbuka zamani watu walikuwa hawalewi hovyo humu JeiEfu, lakini siku hizi unaweza kufungua thread ukakutana na harufu kali sana ya Kangara, Mbege, Chang'aa, Kimpumu, Mnazi, nakazalika (wahusika mnajijua, hasa wewe babu sijui nani).. Kwa kuongezea siku hizi kuna kibabu kinajifanya kinafanya ukaguzi wa vibinti vya watu (ndiyo, wewe hapo unajijua!).

      ... nakumbuka zamani tulikuwa hatugombanii michuchu humu, lakini siku hizi hata ukimsalimia tu mchuchu wa mtu basi unaanzishiwa sredi huku ukisakamwa kama vile umeiba hela..

      ... Zamani Bana wanaume tulikuwa siyo wambeya, lakini siku hizi tuna wanaume (mwanaume?) wambeya (mbeya?) humu mpaka wanasutwa (I hopu ze meseji delivadi)

      ....nakumbuka,,,,, aaagh TANESSSSSSSSSSSSSSSKOOOOOOOOOO OOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!

      Ngoja niwashe kibatari, narudi.
      Hahahaaaaaa uwiiiiii sweetlady hata kunitonya jamani kuwa napitwa huku looh!!! Kipipi wangu hata weye???!!!
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    18. #135
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By giLESi
      ndyoko, Bujibuji na rev. Masanilo where u @?
      Asante ndugu, nipo sema tu majukumu yamebana kidogo ndugu!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    19. #136
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,215
      Rep Power : 12016
      Likes Received
      2664
      Likes Given
      1584

      Default Re: Jei Efu Bana..

      samahani mkuu TANMO, wewe ni mwandishi wa gazeti gani? mia

    20. #137
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,215
      Rep Power : 12016
      Likes Received
      2664
      Likes Given
      1584

      Default Re: Jei Efu Bana..

      samahani mkuu TANMO, wewe ni mwandishi wa gazeti gani? mia

    21. #138
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By figganigga
      samahani mkuu TANMO, wewe ni mwandishi wa gazeti gani? mia
      JF Udaku Mkuu...
      figganigga likes this.
      Do Something......

    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...