Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jei Efu Bana..

    Report Post
    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast
    Results 101 to 120 of 138
    1. #1
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,100
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default Jei Efu Bana..

      ...nakumbuka zamani humu tulikuwa tunaitana Mkuu, bila kujali Umri wala jinsia.. Siku hizi watu wamebadilishana majina wanaitana Hane, Babu, Switi Hati, Laazizi, asali wa moyo n.k. Hii inatufanya mabachela tujisikie wapweke (au mkiita basi mtuite wote. Yes! haki sawa kwa wote).

      ... nakumbuka zamani watu walikuwa hawatongozani hovyo. Ila siku hizi siyo ajabu tena kukuta watu wanapigana denda hadharani kwenye masredi,, huko tuendako usishangae unafungua sredi unakuta watu wakifanya ngono humo.

      ...halafu sasa, zamani Bana vidume ndiyo tulikuwa tunarusha ndoano kwa mabinti humu JeiEfu, lakini siku hizi unashangaa Binti anakutongoza wewe tena macho makavu. Wengine hii mambo tunaogopa Bana, raha ya mchuchu uhangaike naye siyo yeye ndiyo ahangaike na wewe (wewe nanihii, ukinisumbua tena nakuanzishia sredi!!!!)

      ... nakumbuka watu walikuwa hawajisifu humu, wanasubiri wasifiwe, lakini siku hizi mtu hata akijamba basi atakuja kujisifu jinsi alivyoacha mtafaruku kwenye daladala baada ya kuachia kijambo cha kisailensa eti!!

      ...nakumbuka zamani watu walikuwa hawalewi hovyo humu JeiEfu, lakini siku hizi unaweza kufungua thread ukakutana na harufu kali sana ya Kangara, Mbege, Chang'aa, Kimpumu, Mnazi, nakazalika (wahusika mnajijua, hasa wewe babu sijui nani).. Kwa kuongezea siku hizi kuna kibabu kinajifanya kinafanya ukaguzi wa vibinti vya watu (ndiyo, wewe hapo unajijua!).

      ... nakumbuka zamani tulikuwa hatugombanii michuchu humu, lakini siku hizi hata ukimsalimia tu mchuchu wa mtu basi unaanzishiwa sredi huku ukisakamwa kama vile umeiba hela..

      ... Zamani Bana wanaume tulikuwa siyo wambeya, lakini siku hizi tuna wanaume (mwanaume?) wambeya (mbeya?) humu mpaka wanasutwa (I hopu ze meseji delivadi)

      ....nakumbuka,,,,, aaagh TANESSSSSSSSSSSSSSSKOOOOOOOOOO OOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!

      Ngoja niwashe kibatari, narudi.
      Bishanga, Kaizer, Remmy and 10 others like this.
      Do Something......


    2. #101
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Kaizer View Post
      Hapa mna diskasheni gani msilale hadi mida hii?

      who is causing havoc here...
      sweetlady, ummu kulthum, TANMO, Platozoom,
      Judgement
      , dogo Erickb52, Bishanga, Remmy, princess enny

      whats not hapenning?

      Mnatudisturb tunakula daku mara makelele sebuleni!


      Hahahaaaaaaaaaaaaaaa
      Jei efu bana......!
      Kaizer likes this.

    3. #102
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 972
      Rep Power : 897
      Likes Received
      344
      Likes Given
      329

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Kaizer View Post
      Yaani ni kama wewe uniite habitt halafu yeye apige makelele?? Inahusu princess enny?

      daku njema!
      tenah usjarbu!! anaweza akakupa hata ban ya moyo!! habitt TANMO karbu tule daku!!
      Kaizer likes this.

    4. #103
      Collins's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 145
      Rep Power : 377
      Likes Received
      45
      Likes Given
      37

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By princess enny View Post
      tenah usjarbu!! anaweza akakupa hata ban ya moyo!! habitt TANMO karbu tule daku!!
      napata wivu
      Bishanga likes this.
      I'm sorry for you son!

    5. #104
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Kaizer View Post
      Hapa mna diskasheni gani msilale hadi mida hii?

      who is causing havoc here...
      sweetlady, ummu kulthum, TANMO, Platozoom, Judgement, dogo Erickb52, Bishanga, Remmy, princess enny

      whats not hapenning?

      Mnatudisturb tunakula daku mara makelele sebuleni!
      Hahahahaha lol Kaizer nimecheka mpaka majirani wameamka hahahaha !
      Kaizer likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    6. #105
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,444
      Rep Power : 21988
      Likes Received
      7369
      Likes Given
      8221

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Hahahahaha lol Kaizer nimecheka mpaka majirani wameamka hahahaha !
      ndo uwaaambie kunani sweetlady?
      sweetlady likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]


    7. #106
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 972
      Rep Power : 897
      Likes Received
      344
      Likes Given
      329

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By 99 Problems View Post
      napata wivu
      uspate wivu swtyto!! hata kula cjaanza nakusubiri wewe!!

    8. #107
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Judgement View Post
      SL !
      Ntakerazi mie Alhaji ujue ?
      Afu mie kama shem wako , hujui kama nikuupiga juu ya meza unazurika ?
      Haya ntakerazi kabla sijakusasambulia!
      Ohooo!
      Ntamwaga ? Usinifanye nikasaula ! In front of ze pipo .
      Oooooh !!!! Samahani shemeji kipenzi ulimi umeteleza sirudii tena shem !Usisaule tafadhali !
      Life without problems never make a strong and good person!

    9. #108
      CHIEF MP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 272
      Rep Power : 456
      Likes Received
      30
      Likes Given
      71

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Modernization!"

    10. #109
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Kaizer View Post
      ndo uwaaambie kunani sweetlady?
      Hapo sasa !!!! kama ni kule kijijini kwetu si wangenidai mbuzi eti eeh ?
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #110
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Kaizer View Post
      Hapa mna diskasheni gani msilale hadi mida hii?

      who is causing havoc here...
      sweetlady, ummu kulthum, TANMO, Platozoom, Judgement, dogo Erickb52, Bishanga, Remmy, princess enny

      whats not hapenning?

      Mnatudisturb tunakula daku mara makelele sebuleni!
      tatizo watu humu wanasafiria nyota za wenzao..................af kigoma cha daku ndo kinapita nikimaliza kula ntarudi
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    12. #111
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By princess enny View Post
      uspate wivu swtyto!! hata kula cjaanza nakusubiri wewe!!
      Mwezi mtukufu hayo maneno kwenye red hayaruhusiwi jf !
      Life without problems never make a strong and good person!

    13. #112
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      tatizo watu humu wanasafiria nyota za wenzao..................af kigoma cha daku ndo kinapita nikimaliza kula ntarudi
      Hahahahahaha ummu kulthum fanya urudi uje ufafanue manake hili zito kidogo lol
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #113
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 972
      Rep Power : 897
      Likes Received
      344
      Likes Given
      329

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Mwezi mtukufu hayo maneno kwenye red hayaruhusiwi jf !
      astaghfrulah!! sweetlady karbu tule daku mumy!!

    15. #114
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,444
      Rep Power : 21988
      Likes Received
      7369
      Likes Given
      8221

      Default Re: Jei Efu Bana..

      princess enny hata mi nimesikia wivu apo juu sijui kwa nini?
      Bishanga likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    16. #115
      Collins's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 145
      Rep Power : 377
      Likes Received
      45
      Likes Given
      37

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By princess enny View Post
      uspate wivu swtyto!! hata kula cjaanza nakusubiri wewe!!
      swtyto tupo wangapi
      I'm sorry for you son!

    17. #116
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,139
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      2871
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Kaizer View Post
      ndo uwaaambie kunani sweetlady?
      Hapa kunani !
      Hapa Platozoom ndiyo kuna waliokua wakijaribu kumtilia ndimu mitandao yake!
      Btw kijana katoa nje mishuti hatarishi iliyokua ikielekezwa kwake !
      Kajitahidi ukizingatia mishuti mpira Jabulani !

    18. #117
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 7,139
      Rep Power : 7239
      Likes Received
      2871
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Oooooh !!!! Samahani shemeji kipenzi ulimi umeteleza sirudii tena shem !Usisaule tafadhali !
      Ilibakia tumba tu! Avatar yangu kama unavyoiona kusaula already!
      Pale ni kugeuka tu!
      Semea tu kule mbele yangu kuna mtu ambae ye hadhurigaki coz she's owner ! Ndo alinikawizisha .

    19. #118
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14716
      Likes Given
      22280

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      P hajalogwa bwana, aliyelogwa ni asp tena kalogwa vibaya na wa kumlogololowa naye kalogwa.af E leo mbona unaonekana na kama chale chale hivi hapo usoni umepigwa lini hizo chata wng.usipinge hii kitu wt wote wanakushangaa leo, go moja kwa moja kwa ans
      Bibie ummu kulthum umeniita nikuitike?
      ummu kulthum likes this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    20. #119
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,674
      Rep Power : 47341
      Likes Received
      8315
      Likes Given
      7739

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      Eti nyani nini...?
      haoni masaburi yake,kha! namshangaa TANMO,yeye ndo mmbeya numero uno humu jamvini halafu hajitaji,we subiri Zinduna apone appendex tuje tumsute mpaka ahame jamvi,kudadadadadaddeki.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    21. #120
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,674
      Rep Power : 47341
      Likes Received
      8315
      Likes Given
      7739

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Ntakuitia Nyani Ngabu sasa hivi......afu Bishanga ujue ulivolog in tu harufu kali ya pombe ya kienyeji imesambaa humu chit chat !
      sweetlady,no wonder Vin Diesel kakupiga chini,unaongea sana.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...