Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jei Efu Bana..

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 138
    1. #1
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,100
      Rep Power : 7784
      Likes Received
      1834
      Likes Given
      3454

      Default Jei Efu Bana..

      ...nakumbuka zamani humu tulikuwa tunaitana Mkuu, bila kujali Umri wala jinsia.. Siku hizi watu wamebadilishana majina wanaitana Hane, Babu, Switi Hati, Laazizi, asali wa moyo n.k. Hii inatufanya mabachela tujisikie wapweke (au mkiita basi mtuite wote. Yes! haki sawa kwa wote).

      ... nakumbuka zamani watu walikuwa hawatongozani hovyo. Ila siku hizi siyo ajabu tena kukuta watu wanapigana denda hadharani kwenye masredi,, huko tuendako usishangae unafungua sredi unakuta watu wakifanya ngono humo.

      ...halafu sasa, zamani Bana vidume ndiyo tulikuwa tunarusha ndoano kwa mabinti humu JeiEfu, lakini siku hizi unashangaa Binti anakutongoza wewe tena macho makavu. Wengine hii mambo tunaogopa Bana, raha ya mchuchu uhangaike naye siyo yeye ndiyo ahangaike na wewe (wewe nanihii, ukinisumbua tena nakuanzishia sredi!!!!)

      ... nakumbuka watu walikuwa hawajisifu humu, wanasubiri wasifiwe, lakini siku hizi mtu hata akijamba basi atakuja kujisifu jinsi alivyoacha mtafaruku kwenye daladala baada ya kuachia kijambo cha kisailensa eti!!

      ...nakumbuka zamani watu walikuwa hawalewi hovyo humu JeiEfu, lakini siku hizi unaweza kufungua thread ukakutana na harufu kali sana ya Kangara, Mbege, Chang'aa, Kimpumu, Mnazi, nakazalika (wahusika mnajijua, hasa wewe babu sijui nani).. Kwa kuongezea siku hizi kuna kibabu kinajifanya kinafanya ukaguzi wa vibinti vya watu (ndiyo, wewe hapo unajijua!).

      ... nakumbuka zamani tulikuwa hatugombanii michuchu humu, lakini siku hizi hata ukimsalimia tu mchuchu wa mtu basi unaanzishiwa sredi huku ukisakamwa kama vile umeiba hela..

      ... Zamani Bana wanaume tulikuwa siyo wambeya, lakini siku hizi tuna wanaume (mwanaume?) wambeya (mbeya?) humu mpaka wanasutwa (I hopu ze meseji delivadi)

      ....nakumbuka,,,,, aaagh TANESSSSSSSSSSSSSSSKOOOOOOOOOO OOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!

      Ngoja niwashe kibatari, narudi.
      Bishanga, Kaizer, Remmy and 10 others like this.
      Do Something......


    2. #61
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      P hajalogwa bwana, aliyelogwa ni asp tena kalogwa vibaya na wa kumlogololowa naye kalogwa.af E leo mbona unaonekana na kama chale chale hivi hapo usoni umepigwa lini hizo chata wng.usipinge hii kitu wt wote wanakushangaa leo, go moja kwa moja kwa ans
      Niko fiti mrembo.....unaniangalia kwa wasiwasi eeeeh?
      Hebu niangalie hapo chini....
      Click image for larger version. 

Name:	b52.jpg 
Views:	0 
Size:	96.2 KB 
ID:	60335
      Bishanga and sweetlady like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    3. #62
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Erickb52 View Post
      Niko fiti mrembo.....unaniangalia kwa wasiwasi eeeeh?
      Hebu niangalie hapo chini....
      Click image for larger version. 

Name:	b52.jpg 
Views:	0 
Size:	96.2 KB 
ID:	60335
      Kama ummu kulthum hujaniona vizuri angalia na hii ya mzee b52 original sio huyo unayemuona
      Click image for larger version. 

Name:	b60.jpg 
Views:	0 
Size:	138.1 KB 
ID:	60336
      Then muite na cacico aje akwambie kama hujakosea hayo mawazo yako
      sweetlady, platozoom and cacico like this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    4. #63
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default

      Quote By Erickb52 View Post
      Hahahaaa huyu dogo nimemsoma sana aisee hasa akiwa Tilalila loh hakamatiki we tulia lazma atakuja kwako kuomba majaribio ya ukaguzi
      mmmh embu njoo ujibu hizi shutuma,mbona mapenzi kizungumkuti jamani!!
      Erickb52, sweetlady and platozoom like this.

    5. #64
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      mmmh embu njoo ujibu hizi shutuma,mbona mapenzi kizungumkuti jamani!!
      Hahahaaaa mi simo ila akitaka ukweli ntasema
      sweetlady likes this.
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    6. #65
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      salaam ama baada salam.nauliza hivi,kwani amefanya nini tena zaidi ya kuwa mlevi? wasalaam wako ummu kulthum PLATOZOOM
      Hehehehhe mie mzima ummu kulthumu platozoom lol.....sikujua kumbe wewe na platozoom mshakuwa mwili mmoja tehe hongereni ila mie nimemuiga Erickb52 hayo mengine muulize yeye lol
      Life without problems never make a strong and good person!


    7. #66
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Hehehehhe mie mzima ummu kulthumu platozoom lol.....sikujua kumbe wewe na platozoom mshakuwa mwili mmoja tehe hongereni ila mie nimemuiga Erickb52 hayo mengine muulize yeye lol
      Mi sitaki maswali..najiandaa kula daku labda aniulize kesho ndio itakuwa poa
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    8. #67
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Erickb52 View Post
      Hahahaaa huyu dogo nimemsoma sana aisee hasa akiwa Tilalila loh hakamatiki we tulia lazma atakuja kwako kuomba majaribio ya ukaguzi

      Hahahahah akija namreport abuse lol
      Life without problems never make a strong and good person!

    9. #68
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,501
      Rep Power : 4549
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Erickb52 View Post
      Mi sitaki maswali..najiandaa kula daku labda aniulize kesho ndio itakuwa poa
      Imiss u my shem biz nw days sijui ndo majukumu yamekufanya hivi mana hupatkan saana had nikuwinde
      Haya g9t shem

    10. #69
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Erickb52 View Post
      Mi sitaki maswali..najiandaa kula daku labda aniulize kesho ndio itakuwa poa

      Hahahaha unakula daku sa 3 lol......unavunja sharia bana !
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #70
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By ummu kulthum View Post
      mmmh embu njoo ujibu hizi shutuma,mbona mapenzi kizungumkuti jamani!!
      Hehehehe ulikuwa hujui eeh ?
      ummu kulthum likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    12. #71
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 4,086
      Rep Power : 8295
      Likes Received
      2774
      Likes Given
      3794

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By Erickb52 View Post
      Hahahaaaaa kale kazee noma..kaliiba uchawi wa Asprin then kakamroga Asprin apende Ile kitu namesa mwenzake kuliko kula ndio maana siku hizi babu anaweza kukagua siku nzima bila kula hadi anashindwa kuamka!
      Ila platozoom nae naona anakuja kwa kasi sijui nayeye kalogwa
      Unamsikiliza huyo dogo TANMO sura kama kopo la komoni
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    13. #72
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 4,086
      Rep Power : 8295
      Likes Received
      2774
      Likes Given
      3794

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Hahahahahahaha lol wewe ujue nusura nivunje mbavu hahahaha ! kumbe na wewe umemstukia platozoom eeh ? Nimecheka sana walah daaah !
      Mdomo uliponza kichwa
      sweetlady and ummu kulthum like this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    14. #73
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 4,086
      Rep Power : 8295
      Likes Received
      2774
      Likes Given
      3794

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By TANMO View Post
      Hivi kumbe ile mimba ya Yummy huyu Bwana Rocky naye alichangia damu?
      Hivi kumbe Kipipi na Catherine nao pia ni nyumba ndogo zako?
      Amyner anawatambua hawa ma wife mates wake?
      Huyu Platozoom uliyemtaja kwani amechatoka rumande baada ya kukutwa na kiroba cha Msuba?
      Hivi kwa huyu Badili Tabia tupo wangapi jamani?
      Babu Asprin alishinda ile kesi yake ya kumshika makalio mama muuza wa mtaani kwao?
      Platozoom the man himself
      sweetlady and ummu kulthum like this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    15. #74
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By platozoom View Post
      Unamsikiliza huyo dogo TANMO sura kama kopo la komoni
      platozoom ummu kulthumu
      platozoom and ummu kulthum like this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    16. #75
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By platozoom View Post
      Mdomo uliponza kichwa
      Umeonae huu mdomo wa Erickb52 huu we muache !
      platozoom likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    17. #76
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 4,086
      Rep Power : 8295
      Likes Received
      2774
      Likes Given
      3794

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By sweetlady View Post
      Umeonae huu mdomo wa Erickb52 huu we muache !
      Domo lako wewe huyo
      sweetlady likes this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    18. #77
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Quote By platozoom View Post
      Domo lako wewe huyo

      Tobaaaa we platozoom toka lini mimi na wewe tukadhuriana ?
      platozoom likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    19. #78
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 8,334
      Rep Power : 12083
      Likes Received
      5561
      Likes Given
      5417

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Hapo zamani, hapo zamani, mambo yalikuwa shwariii!

    20. #79
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,693
      Rep Power : 47345
      Likes Received
      8337
      Likes Given
      7748

      Default Re: Jei Efu Bana..

      Tatizo lako we TANMO umekuwa ka pimbi aliyegawa mikia yote akasahau kujibakizia,yaani katika wambeya wa jf umesahau kujioridhesha pamoja na mpaka kuanzisha kiu/ijumaa ya jf?
      Ama kweli nyani haoni kundule!
      sweetlady likes this.

    21. #80
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,693
      Rep Power : 47345
      Likes Received
      8337
      Likes Given
      7748

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Tobaaaa we platozoom toka lini mimi na wewe tukadhuriana ?
      na wee mke wa mtu acha kutongoza vijana hazarani!
      sweetlady and platozoom like this.

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...