Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 46
    1. #1
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Eti kwa aina hii ya ndevu wengine huvutiwa zaidi! Wanaume wamekuwa wakijiuliza je, ni vizuri kunyoa ndevu kipara kabisa au kuziacha zikue na kuwa mzee madevu?.
      Je, nitaonekana navutia nikiwa nimenyoa ndevu au sijanyoa ndevu?

      Utafiti huko Uingereza unaonesha kwamba wanawake wengi (si wote) huvutiwa sana na wanaume wenye videvu vyenye ndevu kidogo (Stubble) kuliko wale wasio na ndevu kabisa (clean shaved) au wenye vichaka vya ndevu (full beards) kwa ajili ya sex, mapenzi na ndoa.
      ... Njia rahisi ya kuvutia wanawake ni mwanaume kuwa na kidevu chenye ndevundevu na si kuwa kipara au nyingi kama akina Osama.

      Kuwa na ndevu (kwa mwonekano wa aina hiyo) hudhihirisha uwezo kinguvu, uimara, ukomavu kijamii na mvuto (best romantic partners)
      Kuwa na ndevu ni kiungo cha nguvu kijamii na kimapenzi kwani ni alama ya kuonesha ukomavu kibaolojia.
      Wale wasio na ndevu kabisa huonekana hawajakomaa na wale wenye vichaka vya ndevu huwa na sura inayotisha mno au kuonekana wababe na hawavutii sana.
      Je, huu utafiti una ukweli wowote? labda wanawake wanaweza kutoa maoni!

      AMEN......
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 587
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      dwuh.. emh ngoja waje ila nadhani ni kweli ndo mana ata ninii bado anang'ang'ania na utu tundev twangu twakishkaji

    4. #3
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By Junior. Cux
      dwuh.. emh ngoja waje ila nadhani ni kweli ndo mana ata ninii bado anang'ang'ania na utu tundev twangu twakishkaji
      eeeeh ngoja waje wafunguke kabisaa, kama watapenda wenye ndevu tujiandae kutafuta za kichana sasa......
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    5. #4
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Junior. Cux
      dwuh.. emh ngoja waje ila nadhani ni kweli ndo mana ata ninii bado anang'ang'ania na utu tundev twangu twakishkaji
      Mim beibe nasty my jg anaachaga stubble n anjua huwa navifanyiaga nin na ofcoz zinamvuto bt zikikua tu namwambiaga bby u av to shave n maisha ni briiiiiiii na cocacola

    6. #5
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By beibe nasty
      Mim beibe nasty my jg anaachaga stubble n anjua huwa navifanyiaga nin na ofcoz zinamvuto bt zikikua tu namwambiaga bby u av to shave n maisha ni briiiiiiii na cocacola
      Kumbe zina kazi yake eeeh, zinakuna kuna..........
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    7. Miaka 50

    8. #6
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 587
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By beibe nasty
      Mim beibe nasty my jg anaachaga stubble n anjua huwa navifanyiaga nin na ofcoz zinamvuto bt zikikua tu namwambiaga bby u av to shave n maisha ni briiiiiiii na cocacola
      nazile ndevu zake ka stilwire afu zimefunika mashav yote hayo lazima uote sugu

    9. #7
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By Junior. Cux
      nazile ndevu zake ka stilwire afu zimefunika mashav yote hayo lazima uote sugu
      Hahahahahahaaaaaa aote sugu sehemu gani sasa?.......................
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    10. #8
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Kimbweka
      Kumbe zina kazi yake eeeh, zinakuna kuna..........
      Zina kazi ndio ila kama hujui tumia hapo chacha

    11. #9
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Junior. Cux
      nazile ndevu zake ka stilwire afu zimefunika mashav yote hayo lazima uote sugu
      Ajira sikuhiz hakuna so afadhali unavojikeep biz kujisugulisha kichwaa juu ya mwanaume mwenzio shauriro halaf ni sawa wewe somalia unanjaa halafu waleta kibur kwa FAO utalala njaa

    12. #10
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By beibe nasty
      Zina kazi ndio ila kama hujui tumia hapo chacha
      Hivi na ndevu unaweza nyoa kiduku eeeh?.........
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    13. #11
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Kimbweka
      Hivi na ndevu unaweza nyoa kiduku eeeh?.........
      For gentleman huwez nyoa wazimu huo kiduku manake nin na hao wanaojiita masharo wafanye nin hizo muachie junior

    14. #12
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By beibe nasty
      For gentleman huwez nyoa wazimu huo kiduku manake nin na hao wanaojiita masharo wafanye nin hizo muachie junior
      Inamaana junior siyo gentleman?
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    15. Aza
      #13
      Aza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2010
      Location : popote
      Posts : 1,421
      Rep Power : 718
      Likes Received
      119
      Likes Given
      263

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      uzalendo umenishinda leo niseme!!
      kwakweli unaniacha hoi na unapomalizia sentensi "AMEN" khaaa Kimbweka
      A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
      The greedy people are the victims to the evil people.

    16. #14
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By Aza
      uzalendo umenishinda leo niseme!!
      kwakweli unaniacha hoi na unapomalizia sentensi "AMEN" khaaa Kimbweka
      Hahahaha Aza umeenifanya nijichekeleshe tu.....
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    17. Aza
      #15
      Aza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2010
      Location : popote
      Posts : 1,421
      Rep Power : 718
      Likes Received
      119
      Likes Given
      263

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      poa wangu Kimbweka
      yani ilinifanya nifatilie kila tundiko lako asee and
      A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
      The greedy people are the victims to the evil people.

    18. #16
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Kimbweka
      Inamaana junior siyo gentleman?
      Bado hakifikia utafahamu

    19. #17
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 587
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By beibe nasty
      Bado hakifikia utafahamu
      sina haja ya kudhihilisha ugentlmn wangu kwako.. Lakini am sure unalijua

    20. #18
      beibe nasty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 1,499
      Rep Power : 4544
      Likes Received
      418
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By Junior. Cux
      sina haja ya kudhihilisha ugentlmn wangu kwako.. Lakini am sure unalijua
      Fivestar wanamhitaji mwimbaji mmoja wahi nafasi hiyo junior

    21. #19
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,881
      Rep Power : 7241
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      105

      Default Re: Wanawake hupende mwenye Ndevu au Asiye na Ndevu?

      Quote By beibe nasty
      Fivestar wanamhitaji mwimbaji mmoja wahi nafasi hiyo junior
      Hahaha chokochoko hizo utachokolewa na wewe shauri yako......
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    22. #20
      Junior. Cux's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 832
      Rep Power : 587
      Likes Received
      153
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By beibe nasty
      Fivestar wanamhitaji mwimbaji mmoja wahi nafasi hiyo junior
      kazi yangu unaijua vizuri tu na ndo ambayo ulikua unanilipa kwa ajiri yake, sina haja na five star wakati watu ka nyie mnaniitaji sana.!!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...